Masikini my ex, kweli malipo ni hapahapa duniani

Masikini my ex, kweli malipo ni hapahapa duniani

Mabinti na pesa ni damu damu. Pole sana Amicus Curiae kwa kufikiri unaliliwa wewe, kumbe zina liliwa pesa zako. Wadada nanyi muwe na msimamo, kwa ugeu geu wa namna hii ndio maana wanaume wenye visasa wanaishiwa kuwawakojoloe mkojo wa kawaida midomoni na juu ya miili yenu na kula kona
 
Last edited by a moderator:
Mabinti na pesa ni damu damu. Pole sana Amicus Curiae kwa kufikiri unaliliwa wewe, kumbe zina liliwa pesa zako. Wadada nanyi muwe na msimamo, kwa ugeu geu wa namna hii ndio maana wanaume wenye visasa wanaishiwa kuwawakojoloe mkojo wa kawaida midomoni na juu ya miili yenu na kula kona

Hahahaa asante mkuu kwamtoro nimeshapoa!

Nina wasiwasi sana huenda ni kweli ameweweseka na huu usafiri.

Women are funny animals!
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa kachakaa hapo ndio ungesema malipo hapa duniani hivyo bado unampenda safari hii utapigwa na safari booty ushawahi kuisikia?
 
Ingekuwa kachakaa hapo ndio ungesema malipo hapa duniani hivyo bado unampenda safari hii utapigwa na safari booty ushawahi kuisikia?

Amelipwa ndio kwasababu AMEACHIKA kama alivyoniacha mimi
 
she don't love u anapenda pochi lako tu, ila mwambie kabisa kwamba gari uliazima uone kama ataendelea kusumbua akiendelea mpe nafasi ya mwisho.
 
she don't love u anapenda pochi lako tu, ila mwambie kabisa kwamba gari uliazima uone kama ataendelea kusumbua akiendelea mpe nafasi ya mwisho.

Shida ni kwamba nitaanzaje anzaje kumwambia?

Anyway, nitajaribu.
 
Ahaaaaa.... Maisha Mkuu hayapo vile tunavyotamani hata kidogo. Nadhani labda tunatamni kinyume au huwa yanaenda kinyume cha matarajio yetu labda.. ila sijui.

Nilichojifunza hadi sasa.. UKITAKA KUISHI VIZURI... TAMANI RAFIKI ZAKO WAFANIKIWE ZAIDI YAKO, WALIO CHINI YAKO WAFANIKIWE ZAIDI YAKO WALIO JUU WAENDELEE KUFANIKIWA ZAIDI NA WALIO KINYUME NAO WAENDELEE KUFANIKIWA.

Hivyo utajikuta wewe unainuka hata zaidi yao. Ulishawahi kujiuliza kwa mfano.. wakati unasoma waliokuwa kipanga waliendelea kuwa vipanga kwa sababu walikuwa wanajitolea sana kwa wasio vipanga kuwafundisha.. na kadri wanavyojitolea sio kwamba hawa wanainuka wanamzidi. wakai wanainuka yeyey anakuwa keshaenda level ya mbele zaidi na zaidi. japo wapo wachache wachoyo na hata hivyo hawanaga la maana.

Hii ni principle.

Kubali tu yalitokea na usonge mbele kigumu ivo ivo.
Nimefarijika sana mkuu

Aliniumiza mno huyu binti

Unajua ukiachana na mpenzi wako unawish ukija kuonana nae umkute amechoka

Ukimkuta yuko vzr roho inauma
 
Ahaaaaa.... Maisha Mkuu hayapo vile tunavyotamani hata kidogo. Nadhani labda tunatamni kinyume au huwa yanaenda kinyume cha matarajio yetu labda.. ila sijui.

Nilichojifunza hadi sasa.. UKITAKA KUISHI VIZURI... TAMANI RAFIKI ZAKO WAFANIKIWE ZAIDI YAKO, WALIO CHINI YAKO WAFANIKIWE ZAIDI YAKO WALIO JUU WAENDELEE KUFANIKIWA ZAIDI NA WALIO KINYUME NAO WAENDELEE KUFANIKIWA.

Hivyo utajikuta wewe unainuka hata zaidi yao. Ulishawahi kujiuliza kwa mfano.. wakati unasoma waliokuwa kipanga waliendelea kuwa vipanga kwa sababu walikuwa wanajitolea sana kwa wasio vipanga kuwafundisha.. na kadri wanavyojitolea sio kwamba hawa wanainuka wanamzidi. wakai wanainuka yeyey anakuwa keshaenda level ya mbele zaidi na zaidi. japo wapo wachache wachoyo na hata hivyo hawanaga la maana.

Hii ni principle.

Kubali tu yalitokea na usonge mbele kigumu ivo ivo.

Nimekuelewa mkuu, nashukuru.
 
Back
Top Bottom