Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
....kwani mliachanaje achanaje kwanza????
Si kasema alimwagwa from nowhere?
....kwani mliachanaje achanaje kwanza????
Usicheze na evoque mkuu...very handsome
Mkuu naona umesome below the line!!! ipo tofauti kubwa sana ya kutumia AKILI na Hisia, kuna vitu ukitumia akili basi huwezi kuvifanya hata siku moja na kuvielewa ni rahisi, ila ukitumia HISIA unaweza kuvifanya ila VITAKUGHARIMU tu na kamwe ukieleweshwa huwezi kuelewa. sasa ili kuelewa your situation ndio nimeshauri utumie AKILI.Mkuu kama situmii akili natumia nini?
Lugha ya namna hii haifai.
Mkuu naona umesome below the line!!! ipo tofauti kubwa sana ya kutumia AKILI na Hisia, kuna vitu ukitumia akili basi huwezi kuvifanya hata siku moja na kuvielewa ni rahisi, ila ukitumia HISIA unaweza kuvifanya ila VITAKUGHARIMU tu na kamwe ukieleweshwa huwezi kuelewa. sasa ili kuelewa your situation ndio nimeshauri utumie AKILI.
Si kasema alimwagwa from nowhere?
Nilimpenda sana huyu binti ila siku isiyo na jina alinimwaga tena kwa mbwembwe. Niliumia sana! almanusura nichanganyikiwe!
Sasa jana mchana nikasema nikimbie Mlimani City kwenda kununua kitu fulani, nikamuazima mwanangu gari lake (Range rover evoque) nikamuachia la kwangu (Hyundai Coupe Sports car).
Sasa wakati napark pale Mlimani nikasikia naitwa, kugeuka nakutana uso kwa uso na huyo bibie!
At first alikua kama ametahayari alivoona nashuka kwenye ile ndinga! Nikasalimiana nae vizuri tu, tukaongozana kuingia Mlimani ndani!
Akaanza kuning'ang'ania, ooh Amicus I missed you, leo sikuachi nakwambia, nikazunguka nae mule ndani, nikawa najiuliza mbona yeye hanunui, alifwata nini M/city? halafu alikua 'restless'. Nikajua kapanic akidhani ule mkoko ni wangu, alizoea kuniona na Hyundai yangu.
Mara ooh naomba tuongozane! wakati hajui naelekea wapi!
Sikuwa mkaidi, nikatoka nae, tukazama kwenye ndinga nikampeleka lunch! akawa analisifia sana gari! wakati tunasubiri msosi akaanza kunisimulia yaliyomsibu huku anabubujikwa na machozi! hadi watu wakawa wanatushangaa! na yeye ameachika almost the same way kama alivyoniacha!
Ananisihi turudiane, sasa naogopa asije akawa ameweweseka na ile range, tukarudiana akaja kuleta wenge tena akijua kwamba ule usafiri si wangu! Uongo haufai, kiukweli me bado nampenda.
Ni kama alikua anatamani kuniuliza kuhusu lile gari ila akawa anashindwa!
Jamani hebu nishaurini mwenzenu, nahisi bado nampenda coz tangu tuachane imepita miezi 6 tu ingawa nilikua nimeshaanza kumsahau. Halafu amezidi kuwa mzuri, amekatika vibaya sana!
Ananisumbua sana kwenye simu wajameni!
Yeye yupo Chuo pale Muhimbili anasomea Udaktari.
Nina uhakika hayumo humu JF coz nilimuuliza jana akasema yeye sio big fan wa mitandao ya kijamii kwasababu mara nyingi anapiga msuli, kwa kifupi shule yake ni ngumu sana.
Jamani nishaurini, kwa wale mtakao-comment naomba muwe serious...nataka kesho asubuhi nimpe jibu.