Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Haya maono yana chembechembe za uhalisia ...Ninachowaza ni nani atafuata?Haya ni maono tu.
Leo hii tunashuhudia mashtaka na vifungo dhidi ya watawala ngazi ya mikoa na Wilaya.
Huu ni ufunguo wa mashtaka na vifungo dhidi ya viongozi ngazi ya juu.
Let's watch and see.
kwaherini kwa leo
WAPOLOO A.K.A WAHUNI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!