Viongozi wakubwa duniani wajitokeza kulaani shambulio la Israel dhidi ya watu wa msaada

adriz

JF-Expert Member
Sep 2, 2017
10,962
23,120
Moja kwa Moja..

Baada ya Jeshi la Israel kufanya Sbambulizi la anga katika mwa Gaza na kukenga gari la shirika la msaada la chakula na kuuwa wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa ndani wakiweno raia watatu wa Uingereza , raia wa Poland , Australia na Palestina viongozi mbalimbali wamejitokeza kulaani hilo shambulio hilo pamoja na kuibua hasira kutoka watu pande mabalimbali duniani.

IMG_20240403_141843.jpg

IMG_20240403_141829.jpg


Miongoni mwa viongozi waliojitokeza kulaani hadharani tukio hilo n Joe Biden, Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak, Waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese and Waziri wa mambo ya nje wa Canada Melanie na wengineo.

Kauli ya Waziri mkuu wa Poland "Waziri Mkuu wa Poland Donald Tusk alisema mgomo mbaya wa Israel dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kigeni huko Gaza umezorotesha uhusiano kati ya nchi hizo mbili, huku majina zaidi ya waathiriwa yakidhihirika.

"Shambulio la kutisha dhidi ya watu waliojitolea na majibu yako yanazua hasira inayoeleweka," Tusk alisema kwenye mtandao wa kijamii Jumatano.

Tusk alisema kuwa Poland imeonyesha mshikamano baada ya shambulio la kigaidi la Oktoba 7 lililofanywa na Hamas.

"Leo, unaweka mshikamano huu katika mtihani," alisema, akihutubia moja kwa moja Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu.


Papa Francisc nae ajitokeza.

IMG_20240403_135623.jpg


#Uzi Unaendelea
 
Kauli ya Familia ...

"Kama familia, tumehuzunika sana kwa kumpoteza mpendwa wetu James Kirby. Pamoja na watu wengine sita waliopoteza maisha yao kwa kusikitisha, atakumbukwa kama shujaa.

"James alielewa hatari ya kujitosa ndani ya Gaza, kutokana na uzoefu wake katika Jeshi la Wanajeshi la Uingereza, ambako alihudumu kwa ujasiri katika ziara za Bosnia na Afghanistan. Licha ya hatari, tabia yake ya huruma ilimsukuma kutoa msaada kwa wale waliokuwa na uhitaji mkubwa.

"Muungwana wa kweli, James alikuwa tayari kutoa mkono wa kusaidia kwa mtu yeyote, hata katika hali ya ukatili usio na maana. James alipoteza maisha yake akijaribu kuokoa wengine, hawezi kujua ni utupu gani alioacha, familia yetu haitakuwa kamwe. sawa.

"Tunajivunia sana James alikuwa nani na alifanikisha nini. Usiache kuwajali na kujaribu kusaidia watu, mwishowe upendo utashinda chuki "
 
Angekua ameuwawa babaako mzee Nyambonde nahisi hyo Viva ingekua Vivo
Binadamu tumefikia hapa sasa , uovu unapogezwa wakati Raia wake hawamtaki kila siku wanaandamana ajiondoe madarakani.
 
Acheni unafiki na kujipa uchungu feki.Siyo ninyi mliopiga mbinja za shangwe walipouawa na kutekwa watu pale Israeli?
Acha kufanya Generalization wapo walioshangilia na wapo walioona tukio Hilo sio sawa tokea day one ,hata hivyo hayo yote hayatoi justification ya kuuwa watu wasio na hatia hovyo.
 
Back
Top Bottom