Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,218
- 4,591
Mimi nauliza mnisaidie ,Mfano ikatokea Muungano umevunjika kwa hiyo hawa wazenji walioko huku bara watarudishwa kwao ? Vipi kuhusu kuzaliana maana tulishachanganyikana hatari ! Je watu ambao walishawekeza miradi yao mikubwa inakuaje hapo ?