Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,483
- 51,057
We are reading to much into this!!
Zenj ni ndogo kuliko mkoa wa Kagera,Katavi,au kigoma,idadi ya watu wake ni Sawa na idadi ya watu wa Dar,
Unakuta mtu hana viwanja hata kwenye mikoa mitatu ya Bara!!lakini akikosa kiwanja Zenj,inakuwa nongwa!!
Kungekuwa na Cha upekee sana Zenj,ningeelewa,ardhi ya huku iliyopo ufukweni inauzwa mpaka bilioni moja,
Wangapi wanaweza hii,hata hivyo wabara kibao wapo Zenj,wamejenga na wanamiriki ardhi.
Wewe huna hata viwanja kumi kwenye mikoa mitwno ya Bara,lakini unaona vibaya ukikosa kiwanja Zenj!!??
Hatuna shida na wao peke yao kumiliki ardhi yao huko kwao.We are reading to much into this!!
Zenj ni ndogo kuliko mkoa wa Kagera,Katavi,au kigoma,idadi ya watu wake ni Sawa na idadi ya watu wa Dar,
Unakuta mtu hana viwanja hata kwenye mikoa mitatu ya Bara!!lakini akikosa kiwanja Zenj,inakuwa nongwa!!
Kungekuwa na Cha upekee sana Zenj,ningeelewa,ardhi ya huku iliyopo ufukweni inauzwa mpaka bilioni moja,
Wangapi wanaweza hii,hata hivyo wabara kibao wapo Zenj,wamejenga na wanamiriki ardhi.
Wewe huna hata viwanja kumi kwenye mikoa mitwno ya Bara,lakini unaona vibaya ukikosa kiwanja Zenj!!??
Tuna shida wao kumiliki ardhi huku kwetu halafu sisi haturuhusiwi huko kwao.
Ndiyo maana tunasema, wao wamiliki ardhi huko kwao na sisi tumiliki huku kwetu, kila mtu amiliki kilicho chake tusileteane habari za chako nataka lakini changu sikupi