We are reading to much into this!!
Zenj ni ndogo kuliko mkoa wa Kagera,Katavi,au kigoma,idadi ya watu wake ni Sawa na idadi ya watu wa Dar,
Unakuta mtu hana viwanja hata kwenye mikoa mitatu ya Bara!!lakini akikosa kiwanja Zenj,inakuwa nongwa!!
Kungekuwa na Cha upekee sana Zenj,ningeelewa,ardhi ya huku iliyopo ufukweni inauzwa mpaka bilioni moja,
Wangapi wanaweza hii,hata hivyo wabara kibao wapo Zenj,wamejenga na wanamiriki ardhi.
Wewe huna hata viwanja kumi kwenye mikoa mitwno ya Bara,lakini unaona vibaya ukikosa kiwanja Zenj!!??
We are reading to much into this!!
Zenj ni ndogo kuliko mkoa wa Kagera,Katavi,au kigoma,idadi ya watu wake ni Sawa na idadi ya watu wa Dar,
Unakuta mtu hana viwanja hata kwenye mikoa mitatu ya Bara!!lakini akikosa kiwanja Zenj,inakuwa nongwa!!
Kungekuwa na Cha upekee sana Zenj,ningeelewa,ardhi ya huku iliyopo ufukweni inauzwa mpaka bilioni moja,
Wangapi wanaweza hii,hata hivyo wabara kibao wapo Zenj,wamejenga na wanamiriki ardhi.
Wewe huna hata viwanja kumi kwenye mikoa mitwno ya Bara,lakini unaona vibaya ukikosa kiwanja Zenj!!??
Hatuna shida na wao peke yao kumiliki ardhi yao huko kwao.

Tuna shida wao kumiliki ardhi huku kwetu halafu sisi haturuhusiwi huko kwao.

Ndiyo maana tunasema, wao wamiliki ardhi huko kwao na sisi tumiliki huku kwetu, kila mtu amiliki kilicho chake tusileteane habari za chako nataka lakini changu sikupi
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
Ajabu, hii haijawahi kuwa listed kama kero za muungano.
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
Wazanzibar sijui tutawabeba hadi lini. ningekuwa rais ningefanya juu chini muungano ufe hadi tuuzike. yaani wao wanapata ardhi hapa ya kumiliki lakini mimi Mtanzania mwenzao nikienda kwao naonekana mwekezaji? wao wanapata kazi bara lakini sisi tukienda kwao hatutakiwi kupata kazi, ujinga gani huu?
 
Rais Mwinyi ni Mzanzibar na anamiliki ardhi bara. Watanganyika sijui nani katuloga
jamani zanzibar ni nchi kamili na si sehemu ya tanzania bara.kama kweli hizi nchi zimeungana mbona tunabaguliwa kwenye ardhi wakati wanzanzibari wamejazana huku bara na wanamajengo na maardhi kibao.mm ninapoishi kuna wanzibar kama saba hivi wamejenga huku na wanamashamba ya kutosha tu sasa kwa nn sisi tunabaguliwa zanzibar.tuungane tuibadilishe katiba hii dhalimu pia tuufumue huu mfumo wa muungano.wazee wetu akina warioba mtusaidie katika hili la sivyo nchi yetu itaporwa yote na ss tutabaki watumwa ndani ya nchi yetu.
 
Hicho kilikuwa kifanyike Zamani sana lakini kwa bahati mbaya Walichelewa. Pahali Popote duniani Nchi zinapoungana na visiwa lazima visiwa vipewe Special Status kwa vile visiwa ardhi yake ni ndogo. Lazima ilindwe Ardhi na ulindwe utamaduni wa visiwa. Kwa akili ndogo watafikiria ni upendeleo , lakini wenye akili timamu watajua kua huo ni Uhalisia. Kama kila mtu anayetaka kununua Ardhi ajenge Zanzibar ataruhusiwa, baadae Zanziba igeuka Jangwa jee madhara yatakayopatikana yataikumbwa Zanzibar Peke yake au na Tanganyika pia? Hapo ndipo Wanzanziabri wanapolalamikia Muungano huu kua nia ilikuwa ni kuimeza Zanzibar na kuifuta kwenye ramani ya Dunia. Hebu tujiulizeni kuna mzanzibari alipendekeza kua tanganyika ife? Au hata nyinyi watanganyika wakati Tanganyika inakufa muliuzwa mukatoa maoni yenu au ilkuwa na maoni ya mtu mmoja?
Suala la udogo wa ardhi siyo hoja! Hoja hapa ni usawa baina ya wananchi wa pande mbili. Kwa udogo huo huo wangeruhusiwa wachache kupewa kama ambavyo wao wanapewa huku bara na ikiisha si imeisha tu.
 
"Mgeni sio kwamba ananunua ardhi, na sio kwamba anapewa umiliki wa 100% hapana anapewa kibali cha kuwekeza kwa miaka kadhaa. Kwa mtu anayetoka Tanzania Bara ambaye anataka kufanya Uwekezaji Zanzibar anatumia utaratibu huo huo" Rais wa Zanzibar, Dkt Hussein Ally Mwinyi.

View attachment 2028001
Zanzibar wataingia kwenye maajabu ya dunia iwapo
samia akimaliza mda wake waanze kulia tena wanaonewa na kuomba kuvunja muungano.
Niwakumbushe mda ndio huu raisi wa jamhuri hatakuwa mzanzibar milele.
 
Zanzibar wataingia kwenye maajabu ya dunia iwapo
samia akimaliza mda wake waanze kulia tena wanaonewa na kuomba kuvunja muungano.
Niwakumbushe mda ndio huu raisi wa jamhuri hatakuwa mzanzibar milele.
Amengilia dirisha dogo atii. Futani nafasi ya umakamu wa Rais kuwa Mzanzibariiii! Kwa hiyo mwisho liniiii? 2025 yakhee.
 
sielewi kwanini watanganyika tunanyimwa kuwa na ardhi zenji ilihali wao wana aardhi hapa wamemiliki sijui tatizo liko wapi jamani
We kwa bara tu unamiriki ardhi mikoa mingapi?
Umefika Katavi,masasi,murongo,kyelwa?kwanini mnaona nongwa kuwa na ardhi Zenj?ka sehemu kenyewe kadogo kuriko hata mkoa wa Geita!!,Zenj nzima inaweza ikaamia Dar na Wala hutaona tofauti!!tuache unafiki
 
Zanzibar wana ardhi ndogo sana; na hata idadi yao ni ndogo sana. kinachotakiwa ni kuwapa watanzania wote haki sawa popote ndani ya Jamhuri kusudi wanazibari wavamiwe na watanganyika ili nao waamke kutumia raslimali zilizoko Tanganyika kujenga level ground.
 
We kwa bara tu unamiriki ardhi mikoa mingapi?
Umefika Katavi,masasi,murongo,kyelwa?kwanini mnaona nongwa kuwa na ardhi Zenj?ka sehemu kenyewe kadogo kuriko hata mkoa wa Geita!!,Zenj nzima inaweza ikaamia Dar na Wala hutaona tofauti!!tuache unafiki

:oops: lugha gongana mkuu naona unasakata kabumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom