Kati mambo ya hovyo ambayo Mwl Nyerere alituachia ni huu muungano chawa.
Mdau mkipewa uhuru wa kumiliki ardhi Zanzibar, wenyeji wote mtawahamisha, maana aridhi yao ni ndogo sana, hebu fikiria mkoa wa Dar Es Salaam kwa ukubwa wake linganisha na Zanzibar kisha oanisha wakaazi wa miji yote miwili.

Yaani Zanzibar ingejaa miaka 20 iliyopita na hata zile taka za mji mkongwe zisingekuwepo, maana wenye pesa wangefanya yao
 
Bora wamejiwekea hua utaratibu maana wangeruhusu tumiliki ardhi yao tungewalaza baharini...
 
Kwetu sisi bara Mzanzibar anapewa Ardhi na ana milikiArdhi. Lakini Mtu anaye toka Bara Aka Tanzania Bara akienda unguja anakodishwa Aradhi kwa muda maalum Je kweli kuna haki hapo? Hata sisi Wabara tukienda unguja tunaonekana ni wageni .Lakini Wa-Zanzibar wakija huku bara ni kwao wanafanya wanavyotaka lohhh Majangaa kweli Huu Muungano wetu.

12ccc6cd-20a3-45b0-9ac4-7db104182d44.jpg
 
Hatari Kubwa Hii
Mtakipasua Chama Ninyi Wenyewe Ama Kwahakika Sasa Yanatimia Yaliyonenwa
 
Kwetu sisi bara Mzanzibar anapewa Ardhi na ana mili Ardhi. Lak,ni Mtu anaye toka Bara Aka Tanzania Bara akienda unguja anakodishwa Aradhi kwa muda maalum Je kweli kuna haki hapo? Hata sisi Wabara tukienda unguja tunaonekana ni wageni .Lakini Wa-Zanzibar wakija huku bara ni kwao wanafanya wanavyotaka lohhh Majangaa kweli Huu Muungano wetu.

View attachment 2517418
Wakija huku unabaki kuimba. mpemba, mpenda. Huku wakimiriki ardhi. Dah.
 
Kwetu sisi bara Mzanzibar anapewa Ardhi na ana mili Ardhi. Lak,ni Mtu anaye toka Bara Aka Tanzania Bara akienda unguja anakodishwa Aradhi kwa muda maalum Je kweli kuna haki hapo? Hata sisi Wabara tukienda unguja tunaonekana ni wageni .Lakini Wa-Zanzibar wakija huku bara ni kwao wanafanya wanavyotaka lohhh Majangaa kweli Huu Muungano wetu.

View attachment 2517418
So watanzania bara hatuna tofauti na wazungu?
Kuna faida Gani ya Wazanzibari kumiliki ardhi ya Tanzania bara?
 
Hao sisi watanganyika wanatuona kama mavi, wanathamimi waarabu kuliko WATANGANYIKA
 
Kwetu sisi bara Mzanzibar anapewa Ardhi na ana mili Ardhi. Lak,ni Mtu anaye toka Bara Aka Tanzania Bara akienda unguja anakodishwa Aradhi kwa muda maalum Je kweli kuna haki hapo? Hata sisi Wabara tukienda unguja tunaonekana ni wageni .Lakini Wa-Zanzibar wakija huku bara ni kwao wanafanya wanavyotaka lohhh Majangaa kweli Huu Muungano wetu.

View attachment 2517418
Hivi! Kwa nini huwezi kupata shamba kwenye hifadhi ya Ngorongoro, Mikumi n. k? Au kwa nini huwezi kujenge nyumba yako juu ya mlima Kilimanjaro?
Sababu ni kwamba maamuzi/sheria etc. tuliyojiwekea kama taifa na tunayafuata ndiyo maana tuna ishi raha mustarehe.
Pia maamuzi/sheria mojawapo ni wananchi wa bara kutokimbilia kuhodhi ardhi Zanzibar - maana kipengele hicho kikitolewa, ndani ya miezi kadhaa Zanzibar itajaa na hapatakuwepo pakupumulia.
Tanzania Bara ina ardhi kubwa sana tena sana. Mimi nashauri pawepo na kipaumbele kuwaomba wazanzibari, 3/4 ya wakazi wote wahamie bara, Zanzibar wabaki robo hivyo muungano utakuepo wa serikali moja bila mjadala wowote!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom