KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Dadayangu Adela wa Madilu huyu angekuwa na hirizi angeshinda ubunge lasivyo aliyempa alimdanganya na imekula kwake........
Hiyo kauli mbiu ina ukweli na nadhani wengi ukweli wake wanaukubali kimoyomoyo......
Dadayangu Adela wa Madilu huyu angekuwa na hirizi angeshinda ubunge lasivyo aliyempa alimdanganya na imekula kwake........
Duh jamani hawa jamaa wanaongea mno na vyombo vya habari. Sasa kama issue ndogondogo hivi zinashindwa kumalizwa kimya kimya, je complex issues itakuwaje?
Na Frederick Katulanda, Mwanza
Nyambala, kwa vile amevinunua kwa fedha zake za mfukoni, basi anavyo haki navyo maana ni jasho lake, lakini hili la kufikia kungoa hadi vitasa, ni umasikini wa roho. Hapa anatuaibisha Wasukuma, ni kabila la watu ambao ni matajiri sana wa roho, hatuna roho za kimasikini na ile roho ya kwanini.
Kwa waliosoma ile tamthilia ya 'Song of Lawino' mwandishi alisisitiza sana from time to time "The Pumpkin of the old homestead must not be aprooted", akimaanisha ukihama makazi, sio lazima ungoe mpaka maboga ambayo kwa kuyang'oa yatakufa na hatakufaidia chochote huko uendako kwenye makazi mapya.
Lets give Mh.Masha the benefits of doubt kuwa hali yake ya kiuchumi ni mbaya sana kwa sasa, hivyo amekosa fedha za kununulia kitasa kwenye makazi yake, na kwa vile kitasa kile alikinunua yeye kwa fedha yake, bora akaking'oe na kukipachika kwake, sambamba na lile zulia, then he is right.
Tafadhali ndugu yangu Masha si Msukuma ni Mshosha! Wasukuma si wajinga kama Masha.
ni comment yangu mkuu....
sometimes we have to take a mickey out of the situation hadi tujue kama aliweka yeye au la; pia ni vizuri kupata facts kwani bongo waweza zushiwa chochote
KUMBUKA KUNA MTU ALISEMA MASHA KAKIMBILIA MAREKANI NA NAFASI YAKE IMMMA KAMUACHIA MTOTO WA KARUME