Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Nadhani anajisahau anadhani bado ni waziri wa mambo ya ndani, kwa hiyo vitu vyote vya ndani ni vyake.
No. Hakuwahi kutofautisha kati ya fedha yake na fedha za serikali kwani zote zilikuwa zake.
No.Mali ya serikali ni ya wote akichukua yeye na ikibaki pale si sawa tu? Wenje ana roho mbaya.
Samani zina Hirizi si vema kumuachia Wenje Hirizi zitamdhuru.
Ali sota sanawakati wakunua samani hizo vipi Wenje apate raha?
Kila mwaka kuna bajeti ya samani za mbunge huyu wenje vipi? si aende akadai zake?
Mimi naitwaga Masha, Niliishigi Marekani na madingi wangu wakimbizi, naongea makiingreza hayo wee! Hata Mkwere anazimiaga kabisa.Nikaendaga kusomaga UDSM nikaitwaga Mniga kwa sababu ya makiingereza yangu, nikaibiaga rire ribeki rikubwa nikawaga mirionea kupitia rikampuni ra kijani. nikagombeaga uupunge nikashindaga Riraisi rikanipaga uwazir wa miporizi yote pamocha na riporisi rikubwa kabisa riMwema naro rikiwa chini yangu kabisa. Nikapitaga bira kupingwa harafu nikapingwa na riwenje nikashindwaga upunge kwenye makura, nikariaga mimachozi kweri ri mkwere hrikuja kunisaidia,kwa mihasira yangu ya kingosha nikaiba misamani ya opisi ya upunnge mimi naitwaga Lau siongopi riporisi rorote hata rire riMwema.
No. Hakuwahi kutofautisha kati ya fedha yake na fedha za serikali kwani zote zilikuwa zake.
No.Mali ya serikali ni ya wote akichukua yeye na ikibaki pale si sawa tu? Wenje ana roho mbaya.
Samani zina Hirizi si vema kumuachia Wenje Hirizi zitamdhuru.
Ali sota sanawakati wakunua samani hizo vipi Wenje apate raha?
Kila mwaka kuna bajeti ya samani za mbunge huyu wenje vipi? si aende akadai zake?
Mimi naitwaga Masha, Niliishigi Marekani na madingi wangu wakimbizi, naongea makiingreza hayo wee! Hata Mkwere anazimiaga kabisa.Nikaendaga kusomaga UDSM nikaitwaga Mniga kwa sababu ya makiingereza yangu, nikaibiaga rire ribeki rikubwa nikawaga mirionea kupitia rikampuni ra kijani. nikagombeaga uupunge nikashindaga Riraisi rikanipaga uwazir wa miporizi yote pamocha na riporisi rikubwa kabisa riMwema naro rikiwa chini yangu kabisa. Nikapitaga bira kupingwa harafu nikapingwa na riwenje nikashindwaga upunge kwenye makura, nikariaga mimachozi kweri ri mkwere hrikuja kunisaidia,kwa mihasira yangu ya kingosha nikaiba misamani ya opisi ya upunnge mimi naitwaga Lau siongopi riporisi rorote hata rire riMwema.