johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Makabidhiano ya ofisi Kati ya Shehe wa mkoa aliyetumbuliwa Alhad Salum na Kaimu Shehe wa mkoa Walid Omar yamefanyika Kwenye ofisi ya Kadhi mkuu
Imeelezwa kuwa baadhi ya samani ( furniture) Kwenye ofisi ya Shehe wa mkoa wa DSM zimetoweka na alipoulizwa Shehe Alhad Salum alisema ofisi Hiyo inatumiwa na Taasisi nyingi ikiwemo Kamati ya Amani hivyo Wenyewe wamezichukua
Source: Mwananchi
Imeelezwa kuwa baadhi ya samani ( furniture) Kwenye ofisi ya Shehe wa mkoa wa DSM zimetoweka na alipoulizwa Shehe Alhad Salum alisema ofisi Hiyo inatumiwa na Taasisi nyingi ikiwemo Kamati ya Amani hivyo Wenyewe wamezichukua
Source: Mwananchi