Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya

Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya

Omukisa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,502
Reaction score
2,895
Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Rais Donald Trump kulivunja shirika la misaada la Marekani - USAID.

Chini ya makubaliano hayo, Marekani itaipa Kenya dola bilioni 1.6 katika kipindi cha miaka mitano ili kushughulikia masuala ya afya ikiwa ni pamoja na kupambana na VVU na malaria na kuzuia polio. Kenya itachangia dola milioni 850 nyingine kwa makubaliano ya kuyachukua majukumu mengine zaidi hatua kwa hatua.

Ruto alisema makubaliano hayo yatachangia vipaumbele vya Kenya ikiwemo kununua vifaa vya kisasa kwa ajili ya hospitali na kuimarisha nguvu kazi kwenye sekta ya afya.

NOTE: Kuna nchi ambayo wananchi wake wanabebeshwa mzigo wa mkubwa wa gharama za afya wakati kula yao ni shida. Inasikitisha sana.

"Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya – DW – 05.12.2025" Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya – DW – 05.12.2025
 
Huyu anayewauliza wazungu who are U ataendelea kula kwa. macho tu, analeta jeuri
 
Huyu anayewauliza wazungu who are U ataendelea kula kwa. macho tu, analeta jeuri
 
Huyu anayewauliza wazungu who are U ataendelea kula kwa. macho tu, analeta jeuri
 
Nchi hii ni bora kuhama tu maana kwa hali hii na aina ya viongozi tunaenda kupigika vibaya sana

We are goin down!

NB:Who are you guyz viazi!
 
Huyu anayewauliza wazungu who are U ataendelea kula kwa. macho tu, analeta jeuri
Anawatesa wananchi wake. Anajitoa ufahamu kwakuwa yeye anapata huduma ya ki-VIP. Muda si mrefu atawajibika tu kwa matendo yake.
 
Nchi hii ni bora kuhama tu maana kwa hali hii na aina ya viongozi tunaenda kupigika vibaya sana

We are goin down!

NB:Who are you guyz viazi!
Uchumi unaenda kuwa mbaya sana. Viongozi haramu wanaiharibu Tanganyika na Zanzibar.
 
Samuya katuletea matatizo makubwa sana. Ameharibu nchi.
Mkuu mbona watu hawasemi kama nchi inaenda Shimano?
Lakini wakati wa Magufuli Wakina Kinana na Mzee Makamba na watoto wao walikua wana msema Magufulu ana haribu nchi,lakini kwa huyu Mzanzibar ambaye ndiyo anaibobomoa kabisa watu wapo kimya na hawasemi ameharibu mahusiano ya Kimataifa, Huyu Samuya wakati ndiyo anaingia Ikulu miezi ya Mwanzo alikua ana mponda Maguli kwa kuvuluga Diplomasia ya Kimataifa na yeye akaja na Kuifungua nchi. Ukiangali tu kati Ya yeye na Maguli yeye ndiyo kaja kuibobomoa kabisa Nchi na Nchi Baada ya miaka Kumi ndiyo itaanza kutambaa ten.
 
Mkuu mbona watu hawasemi kama nchi inaenda Shimano?
Lakini wakati wa Magufuli Wakina Kinana na Mzee Makamba na watoto wao walikua wana msema Magufulu ana haribu nchi,lakini kwa huyu Mzanzibar ambaye ndiyo anaibobomoa kabisa watu wapo kimya na hawasemi ameharibu mahusiano ya Kimataifa, Huyu Samuya wakati ndiyo anaingia Ikulu miezi ya Mwanzo alikua ana mponda Maguli kwa kuvuluga Diplomasia ya Kimataifa na yeye akaja na Kuifungua nchi. Ukiangali tu kati Ya yeye na Maguli yeye ndiyo kaja kuibobomoa kabisa Nchi na Nchi Baada ya miaka Kumi ndiyo itaanza kutambaa ten.
Yani samuya kaharibu kila kitu. Hao wote uliowataja Wenda wanalamba asali ndiyo maana wapo kimya. Kiufupi utawala huu haufai maana ni wezi, wauwaji, wanyonyaji etc. wakiongozwa na rais.
 
Na juzi 1 Dec Zambia wamepokea dozi za kwanza za Lenacapavir.

Tz imekuwa kisiwa tumerudi miaka 200 nyuma kwenye diplomasia.
 
Na juzi 1 Dec Zambia wamepokea dozi za kwanza za Lenacapavir.

Tz imekuwa kisiwa tumerudi miaka 200 nyuma kwenye diplomasia.
Kaharibu kila kitu. Sijui anawaza nini huyu rais. ICC wanachelewa nini kuchukua hatua.
 
Kaharibu kila kitu. Sijui anawaza nini huyu rais. ICC wanachelewa nini kuchukua hatua.
Huyu mjinga sana tatizo ametokea kwenye jamii ya wajinga wasiojua Umuhimu wa Maendeleo ya Dunia kule kwa hawafanyi Maendeleo ya Kidunia, Mwinyi ndiyo kawazindua Usingizini, Yani kule kwa hakuna Maendeleo yoyote wanachojua ni Kusoma madras tu, Na kule bado wapo Nyuma kwenye Elimu na Na Afya upande wa Sekta binafsi yani kule hakuna Shule binafsi kama Tanganyika uku Tanganyika uwezo wako wa kipesa ndiyo unaamua Umpeleke shule gani Mtoto wako,Sasa kule ukiwa na pesa hakuna shule bora na Hospital bora
 
Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Rais Donald Trump kulivunja shirika la misaada la Marekani - USAID.

Chini ya makubaliano hayo, Marekani itaipa Kenya dola bilioni 1.6 katika kipindi cha miaka mitano ili kushughulikia masuala ya afya ikiwa ni pamoja na kupambana na VVU na malaria na kuzuia polio. Kenya itachangia dola milioni 850 nyingine kwa makubaliano ya kuyachukua majukumu mengine zaidi hatua kwa hatua.

Ruto alisema makubaliano hayo yatachangia vipaumbele vya Kenya ikiwemo kununua vifaa vya kisasa kwa ajili ya hospitali na kuimarisha nguvu kazi kwenye sekta ya afya.

NOTE: Kuna nchi ambayo wananchi wake wanabebeshwa mzigo wa mkubwa wa gharama za afya wakati kula yao ni shida. Inasikitisha sana.

"Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya – DW – 05.12.2025" Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya – DW – 05.12.2025
Elezea taarifa vizuri kwamba "kenya imekubali kuuza taarifa za vipimo vya kimaabara vya wakenya" usiiweke kama ni msaada wanapata, infact mahakama imeingilia kati

View: https://www.youtube.com/watch?v=WI_CoHTFFzs
 
Huyu mjinga sana tatizo ametokea kwenye jamii ya wajinga wasiojua Umuhimu wa Maendeleo ya Dunia kule kwa hawafanyi Maendeleo ya Kidunia, Mwinyi ndiyo kawazindua Usingizini, Yani kule kwa hakuna Maendeleo yoyote wanachojua ni Kusoma madras tu, Na kule bado wapo Nyuma kwenye Elimu na Na Afya upande wa Sekta binafsi yani kule hakuna Shule binafsi kama Tanganyika uku Tanganyika uwezo wako wa kipesa ndiyo unaamua Umpeleke shule gani Mtoto wako,Sasa kule ukiwa na pesa hakuna shule bora na Hospital bora
Upo sahihi. Mwinyi anafanya makubwa Zanzibar ambayo watangulizibwake hawakufanya. Tanganyika tumepata hasara.
 
Back
Top Bottom