Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,065
- 14,702
Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya miaka mitano itakayotekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030, yenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 3.14 kupitia uwekezaji wa pamoja wa nchi hizo mbili.
Makubaliano hayo yanajengwa juu ya mafanikio ya ushirikiano wa muda mrefu kati ya Tanzania na Marekani katika sekta ya afya, yakilenga kuimarisha mifumo ya afya kwa kuboresha hospitali, maabara na uwezo wa wataalamu wa afya ili kuboresha utoaji wa huduma
Makubaliano hayo yanajengwa juu ya mafanikio ya ushirikiano wa muda mrefu kati ya Tanzania na Marekani katika sekta ya afya, yakilenga kuimarisha mifumo ya afya kwa kuboresha hospitali, maabara na uwezo wa wataalamu wa afya ili kuboresha utoaji wa huduma