Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Inawezekana namiliki jinsia mbili kwa wakati mmoja bibie ndo maana nikiulizwa jinsia yako tafadhali napata kigugumizi ha ha ha.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Inawezekana namiliki jinsia mbili kwa wakati mmoja bibie ndo maana nikiulizwa jinsia yako tafadhali napata kigugumizi ha ha ha.
Ni hatari kilo kumi, saivi hata nikimkuta kwenye thread akichangia...na mimi nikitia neno kidogo tu kwenye hiyo hiyo thread anakula kubwa simuoni tena hehehe ee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi nimeona picha zako si haba upo njema. Ila nyama kidoogo punguzangoja na mie niwe naingia
Ila ina uzuri na ubaya wakeHahahhh sipendi
Umenichekesha sana ndugu, na umenikumbusha mbali sanaAisee ni balaa, maana mi nilikuwa navutiwa na avatar tu. Siku katika pita pita zangu zile avatar nikaziona saluni, nilichoka! Nikaona isiwe tabu, nikawa nafanya kubahatisha labda ntampata naye mtaka. Siku nikazama tena kwa mtoto ana id nzuri na avatar nzuri ajabu enhee mwanaume nikajipinda hadi akatoa namba tukahamia wasapp...ndo shida ikaanzia hapo. Hataki kuntumia pic wala kuapload kwenye profile yake...wakati mi ananiambia nice capture u are so handsome. Kumbe demu alivyoniona akawa hana confidence, siku akaja kuweka picha kwenye profile yake... nilivyomuuliza ni wewe, akanijibu ndio! Hapo hapo nikafuta namba, sijarudia tena huo mchezo...
Ushaanza kuni imagine kwa uandishi... first class mistake lol
Mke si nilikizuia kuingia jamiiforums maana kuna watu wanazimika na hilo shape la avatar yakoNakufatilia tu ndoa yetu hainaga talaka
Yaani niliyokutana nayo hum jf sitasahau, kuna mabinti wanajua kutega humu we acha tu. Siunajua tena marijali tulivyo, kuna koment zngine ukisoma lazima kitu kiende Angola. Sasa ukifukuzia utakayokutanayo inabaki kuwa siri yako hehehe eeeUmenichekesha sana ndugu, na umenikumbusha mbali sana
khaaaAlaaa!
Mimi tena...swali lako ni sawa na kumwuliza Papa Francis kama yeye ni Mkatoliki.
Usije ukakutana na mwanaume tu [emoji28][emoji28]Ushawajengea taswira mkuu.
Mimi kuna moja uwa naielewa japo najua itakuwa kali zaidi ya huyo anayeitumia[emoji1]
Nyie hamna maana tujuane kwa avatar tu kisa cha kuja kuanikwa uku sina chura [emoji28][emoji28]Tutaanza kuogopana humu ndani tunavujisha siri za pm. Kuanzia sasa mimi team ukinipa sisemi[emoji4]
HahahhhNi hatari kilo kumi, saivi hata nikimkuta kwenye thread akichangia...na mimi nikitia neno kidogo tu kwenye hiyo hiyo thread anakula kubwa simuoni tena hehehe ee
Mm nataka peke anguIla ina uzuri na ubaya wake
Mmezid uhuniiii acha yawakuteYaani niliyokutana nayo hum jf sitasahau, kuna mabinti wanajua kutega humu we acha tu. Siunajua tena marijali tulivyo, kuna koment zngine ukisoma lazima kitu kiende Angola. Sasa ukifukuzia utakayokutanayo inabaki kuwa siri yako hehehe eee
Itabaki siri yetu... ila ukiona mawasiliano yamepungua baada ya kuonana jua hii series hazija bamba[emoji1]Nyie hamna maana tujuane kwa avatar tu kisa cha kuja kuanikwa uku sina chura [emoji28][emoji28]
[emoji30][emoji30][emoji30]Itabaki siri yetu... ila ukiona mawasiliano yamepungua baada ya kuonana jua hii series hazija bamba[emoji1]
Sio uhuni, unakuta binti analalamika kwenye koment anahamu ya paipu au ana shida na mtoto tu. Hapo unadhani marijali watafanya nn? Mfate pm sasa, ndo utaona varangati lake hehehe eeeMmezid uhuniiii acha yawakute
Mh nyama Na bia siachiii mpaka naingia kaburini by the way sitak hata kupendwa[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mimi nimeona picha zako si haba upo njema. Ila nyama kidoogo punguza