contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Jamani, mie nilipata mwenza hapa, nikawa nafurahia mazungumzo baada ya habari, tatizo lilikuja pale nilipokuwa mkweli kwake kwamba kwa hakika hawezi kunila kwasababu nilijua kila nililokuwa nikilisema Kwake halikuwa na ukweli, mie ilikuwa fab time to chill after stress za siku nzima, lakini pia jamani msiwe mnatongoza watu huku, wengine majini, shauri yenu kama hamtaki kusikia.