elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
How do you know your heart is beating under your chest?Afu umejuaje kwanza???nshawai kwambia nini???
How do you know your heart is beating under your chest?Afu umejuaje kwanza???nshawai kwambia nini???
ha ha ha ha kama ni huyo kaimaliza JFTegeta ? Jina lake la ukweli linaanzia na H ?
Ni wewe kumbe? Yalaaaa, mtume, uko wapi siku hizi? Bado na binti Chura?Duuu unaniumbua hivi???? Yalaaaaa,
Kitu ganiMmm!nimejifunza kitu hapa.
Hujamaliza kusoma tuHahahahahahahahaha nilikua wapi wakati uzi unaanza hebu ngoja nianze mwanzo kusoma
Nyie tudhalauni wasukuma Tu.Mungu anawaonaBwana wee jf kuna raha yake, unapoteza mawazo kiulaini, ukikamata msukuma wa kukupoza roho kwenye bed na ka whisky kako pembeni basi inakuwa burudani, sasa pale ambapo mtu anakuwa serious ndio anaharibu utaratibu kabisa yaani! Ooh mi nataka kugegedana, hayo mambo yanatakiwa sext nice kama kweli vile mtakutana, kumbe all in vain!!!!
Hii iliwahi kunitokea mimiINATOKEAGA SANA ATA NJE YA JF. UNAWEZA UKAWA KARIBU NA MTU AKAHISI UNAMPENDA KUMBE NI URAFIKI TU WA KAWAIDA. AT THE END ANAANZA KUKUCHUKIA KISA TU UJAMTONGOZA.
wee uko wapi nakutafuta!stastic kules ikuini ni PM...hahaaaahaaa we umewahi kukumbana na hiyo kitu ???