contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
- Thread starter
- #21
Ahahah naked fulani hivi amazing!Usinichekeshe nawaza hapa unanipatia picha gani
Ahahah naked fulani hivi amazing!Usinichekeshe nawaza hapa unanipatia picha gani
After hitting that Ass unexpectedly don't try relationship may be Friendship with Benefit. AhahahahNdo maana ni muhimu kutumia akili.
Usianze kuwatangazia watu kuwa wewe na flani ni couple wakati hata hamjuani.
Ila pia kuna wengine wanalika kirahisi mno.
Mnakutana leo..kesho mnakulana halafu eti mnaanza uhusiano.
Baada ya wiki mbili tatu, mnatemana.
What The ***!
Nlidhani sisi wanaume ndiyo tunawavua nguo wanawake kwa kuwawwzia kumbe hata nyie mnatuvuagaAhahah naked fulani hivi amazing!
After hitting that Ass unexpectedly don't try relationship may be Friendship with Benefit. Ahahahah
Ila pia kuna wengine wanalika kirahisi mno.
Mnakutana leo..kesho mnakulana halafu eti mnaanza uhusiano.
Baada ya wiki mbili tatu, mnatemana.
What The ***!
Hiyo ndiyo nzuri inaitwa shake before use if you see it didn't meet your expectations then unashukuru kwa kuonjeshwa[/QUOTE]After hitting that Ass don't try Relationship unless you real feel it. Friendship with Benefits make sense!
Ushaanza kuni imagine kwa uandishi... first class mistake lolDamn u must be a player man!
Damn real! Sex have become to easy to get, so cheap, it's not interesting anymore.You are right.
And you know why? The same way you smashed it quickly, others have and probably will in the future.
It's mighty important to use that gray matter inside the cranium.
Ayaaa, hujajua wewe!Nlidhani sisi wanaume ndiyo tunawavua nguo wanawake kwa kuwawwzia kumbe hata nyie mnatuvuaga
Kweli usilolijua..Ayaaa, hujajua wewe!
Then ua game must be tight!mimi na yeye tupo so so deep in love mtuache tulale[emoji4] [emoji4]
Karibu sana, this is the best place to be.mi ndo kwanza leo ya kwanza kuingia humu
Ndio raha ya maandishi, nothing more nothing less.Ushaanza kuni imagine kwa uandishi... first class mistake lol
haa aa sasa hapo ndio wengi tuna differ namna tunavyo view hayo maisha... btw kwani ukichukulia maisha serious huwezi ku enjoyNani anakuruhusu kuwa deep na upepo? Maisha are meant to be enjoyed not to be taken very seriously!
Sema kuna watu wamekutana humu wakatamaniana mpaka leo wako wote.Ndio raha ya maandishi, nothing more nothing less.
Huyu anatamani kupendwa! Raha kukitokea mkanganyiko wa aina hiyo, ni kuongea ukweli, wewe ni rafiki yangu, naheshimu hilo na kukipenda hivyo, si zaidi ya hapo.INATOKEAGA SANA ATA NJE YA JF. UNAWEZA UKAWA KARIBU NA MTU AKAHISI UNAMPENDA KUMBE NI URAFIKI TU WA KAWAIDA. AT THE END ANAANZA KUKUCHUKIA KISA TU UJAMTONGOZA.