Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Sanaaa sanaaa... kwa mapicha alioweka mitandaoni... wee na umbo sasa.. mtandaoni.. kumbeee...sio yeye.. sio kabisa.!!
Umejua nichekesha mpk machozi [emoji28][emoji28]
 
Ha ha ha ha haaaa..
Huyo ni mweusi, sio sana, ila sasa afya yake mbovu sana, kakongoroka, plus alivyokaa kaa, amekubuhu ktk industry ya kujiuza sana, ukimuona tu unakwepesha macho...!! alafu kaweka hadi makope ya kichina..!! Amekorogeka sana aiseee...!!

But mm demu akiwa mweusi sitaki kabisa.. hata awe vipi, mm mwenyewe mweupee, why nimuone black..? sitaki, ndio moyo wangu unanituma hivyo..!!
Watu tunatofautiana mm mweupe na napenda mwanaume mweusi sijui kwa nini sipendi weupe
 
Aisee ni balaa, maana mi nilikuwa navutiwa na avatar tu. Siku katika pita pita zangu zile avatar nikaziona saluni, nilichoka! Nikaona isiwe tabu, nikawa nafanya kubahatisha labda ntampata naye mtaka. Siku nikazama tena kwa mtoto ana id nzuri na avatar nzuri ajabu enhee mwanaume nikajipinda hadi akatoa namba tukahamia wasapp...ndo shida ikaanzia hapo. Hataki kuntumia pic wala kuapload kwenye profile yake...wakati mi ananiambia nice capture u are so handsome. Kumbe demu alivyoniona akawa hana confidence, siku akaja kuweka picha kwenye profile yake... nilivyomuuliza ni wewe, akanijibu ndio! Hapo hapo nikafuta namba, sijarudia tena huo mchezo...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kuna kifaa kimoja hiko nilikiomba date watsap kwa group ya MMU mwaka jana, ana pozi huyooo! Nikaja kumbumburua anitumie pics zake, akakomaa na zangu kwanza nikamtumia. Wacha nisifiwe, wakat mi sura yangu naijua mwenyewe, akawa anasita kunitumia, ile kumkomalia akaituma, dooooooh! Sura ka anapiga mluzi, halaf anajikuta ana pooooozi mwenyewe. Huwa anatuma tu texts watsap, sina muda wa kujibu
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Watu wana fall in love na avatars na uandishi wa watu humu ndani

Umenena kweli mkuu mimi kuna avatar ninazizimikia humu acha kabisa, avatar ya kasinde, heaven sent na Tzed.

Usiniulize swali la jinsia yangu tafadhali kwani sitakujibu.
 
Hii thread imenifundisha kitu yaan nimecheka mpk machozi usione mtu kafall in love kwako kumbe anakuektia jifanye kumtumia pic sasa unakuja kuanzishiwa thread apana kwa kweli bola tujuane hvi hvi kwa avatar [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ahhhahh polee

Asanteee... hahaa.. sometimes ukiwa mwanaume shombe kama mm, you have to follow ur heart but you hv to carry ur brain with you..!! ukiachia moyo tu.. utaliwa kweli..!! Governor ya moyo ni akili..!!

Na Kwaheriiiiiii...!!

 
Hahahhh sasa mkuu badoo si mtandao wa machangudoa [emoji28][emoji28]

Ha haaa... si unajua tena nn na nn... macho hayana pazia, nikaona mtoto mkaliiiiii... moyo ukaanza kiherehere, sbb kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu... sasa ukaanza kupenda wakati sio kazi yake... kiherehere cha moyo... nikaanza kufukuzia... nilirudi mkia nyuma kama mbwa mwoga.. weee.

Ebu acha bana, naona hata aibu...mambo mengine hayafai kuandika bana...!!

Mmmhh..haa.. ciaoo..!!
 
Umenena kweli mkuu mimi kuna avatar ninazizimikia humu acha kabisa, avatar ya kasinde, heaven sent na Tzed.

Usiniulize swali la jinsia yangu tafadhali kwani sitakujibu.
Ushawajengea taswira mkuu.
Mimi kuna moja uwa naielewa japo najua itakuwa kali zaidi ya huyo anayeitumia[emoji1]
 
Umenena kweli mkuu mimi kuna avatar ninazizimikia humu acha kabisa, avatar ya kasinde, heaven sent na Tzed.

Usiniulize swali la jinsia yangu tafadhali kwani sitakujibu.
Hahaha jinsia yako ina nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom