Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Marafiki, mie nilipata mwenza hapa

Kumbe mimi ni mtu mwenye bahati sana...........!
Ila kuna pini humu, we acha tu. Lakini ndo hadi ubahatishe. Kuna jamaa yangu alinihamasisha kujiunga jf sababu hiyo. Ana mtoto mkale alimtoa humu humu
 
Na Wengine Tunafall In Love Na Majina Tu, Yaani Ukiona Jina Unapata Picha Ya Mwenye Jina Kama Hilo Anayekuzuzua Lakini Ameshabebwa #R***C**3
ahahaahaha!! kuna majina matamu mpaka basi mfano ''...............'' huwa nikiliona nalivutia picha fulani hivi.
 
aliyeko humu ndo huyo huyo unayekutana naye kwenye daladala,sokoni,chuoni,mtaani kwako,hosptalini,club sema social network zimeturahsishia sana
 
Kweli kabisa...JF MMU is a world of its own.

Wakati mwingine unakuta kuna couples humu tena kwa hata miaka...lakini hata kukutana hawajahi.

Vituko vya humu bana...full burudani.
Hakika full burudani
 
Heaven on Earth, nakutafuta sana, toka enzi za mama B pale coko! mda sana! embu nambie bado uko kule chini university?
haaaaa siamini ujue.
jamani umepotea aisee tutafutane ... niko kule kule Karibu sana. Mama B kafanya watu tukapotezana.
 
Ndomana mimi nipo huru sana kuropoka ropoka humu kwakua najua the business ends herehere!
 
Hahahahahahahahaha nilikua wapi wakati uzi unaanza hebu ngoja nianze mwanzo kusoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom