Mara ya kwanza kufanya mapenzi, ilikuwaje?

Mara ya kwanza kufanya mapenzi, ilikuwaje?

😂😂😂😂 na usipoitoa siku hiyo hiyo watu wanaweza kukusaidia kuitoa
Yeah, hakalali siku hiyo kanatafuta mwamba mwingine atoe lock 🔓
 
  • Kicheko
Reactions: Oho
Mimi nikuwa najua kukojoa ni huu mkojo wa kawaida hivyo nilikunywa maji ya kutosha, sinta sahau yale matusi...nilimkojolea mpaka akashangaa😂😂😂
Labda kama wewe ni mwanamke lakini kwa mwanaume haiwezekani kukojoa mkojo wakawaida wakati watendo
 
Nilikuwa nasikia story tu kwamba lazima ukatike ukifanya mapenzi
Sasa siku nafanya kwa mara ya kwanza nilisikia maumivu hadi nikawaza sasa hapa nakatikaje 🤣
 
Labda kama wewe ni mwanamke lakini kwa mwanaume haiwezekani kukojoa mkojo wakawaida wakati watendo
Yawezekana hakuingiza kabisa, alienda kumwagilia kama bomba juu ya mwili wake.
 
Nilikuwa nasikia story tu kwamba lazima ukatike ukifanya mapenzi
Sasa siku nafanya kwa mara ya kwanza nilisikia maumivu hadi nikawaza sasa hapa nakatikaje 🤣
😅😅, walikuingiza king hao, siku ya kwanza uanze kuikatikia, labda walihisi wewe ni mzoefu...
 
Back
Top Bottom