The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,987
- 117,381
Unashitukia kitu tayari umepeleka matopeniKwa hiyo boti ilikuwa spidi hadi ikatoka majini ikaenda kunasa topeni, mbaya zaidi boti haina 4x4 Drive
Duuhh, kwa hiyo ulifurahia au ndo unajuta mpaka leo ( maana wengine wanasema wilitolewa kwa fujo, wengine wanasema wilitolewa kwa ufundi..)Nafikiri kwa jinsia ke majibu yatakuwa ni maumivu tu
Bikra yangu ilienda 2015, experience yake sitaki ijirudie
Kwani bikira inajirudia tena? Bikira na matiti havina rivasi. Titi likishaanguka halinyanyuki tena
1.Kwa MawazoUkimuangalia mwanamke kwa kumta.ani, umeshazini tayari. Ndio maana mwanaume hajaumbwa kuwa bikira
Kama kitendo cha kutolewa bikra ni maumivu,unafurahije maumivu mkuu?Duuhh, kwa hiyo ulifurahia au ndo unajuta mpaka leo ( maana wengine wanasema wilitolewa kwa fujo, wengine wanasema wilitolewa kwa ufundi..)
Watubu... Tu... Maana washaharibu¡ halafu wawatafute wanao fanananao...[/QUOTE]Mnawashaurije watu waliozikuta bikra zishatolewa na miamba
Faida zake ndo zimekuwa chache kuliko hasara zake mkuu.Sawa mkuu, ile kitu ina utamu usioelezeka aise, chumvi si chumvi sukari si sukari