Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

hata kama ni mimi ndugu wa erasto nisingekubali mali za ndugu yangu ziliwe na mwanaume mwingine....Hizo mali za erasto zirudi kwa ndugu zake pamoja na watoto wake ...mama saimoni aende akatunzwe na huyo mume wake mpya

Kwa kweli Marry kaeleza vizuri sana kiasi cha kuwaongoza hata wapelelezi wakajua pakuanzia au kuendeleza.Mke wa Erasto na kama walivyo wengi hakutumia busara hata kidogo.Hii inaonyesha hata marehemu Erasto akiwa hai huyu mkewe alikuwa anachepuka sana.Kwa kipindi kifupi hivi asingeweza kutafuta wa kumwoa kwani wazazi na ndugu bado walikuwa na machungu ya kumpoteza kijana alietegemewa na wote.Kama hamu zilimzidi angekutana na bwanake kwenye vyumba vya hoteli zake.Kwa vyovyote vile hasira za mawifi na wakweze ziliamshwa kwa kuona mali za ndugu yao Erasto zinaenda kumnufaisha mwanamme mwingine asiyezitolea jasho.Hili kibinadamu halivumiliki na ndicho kilichosababisha hata baba mkwe wake kuacha nadhiri yake na kutafuta ukweli wa kifo cha mwanae kwa waganga na kwa vyovyote vile ingawa siko akilini mwake alikuwa anataka kujua kama mkwewe alihusika na kifo hicho kwa kuona hakikumgusa sana na kutafuta mme mwingine.Huyu mke wa marehemu Erasto inaonyesha hayuko karibu na watu vinginevyo wangemshauri aache mpango huo kwani bado mapema na anao watoto wa kulea.
 
uzinzi ni dhambi wewe? wewe kama unazini kimpango wako usipangie watu zinaa
eti akazini hotelini ? halafu wakristo sijui huwa mkoje nakumbuka mke wa sedekia nae aliolewa watu wakachonga sana
 

Sawa comrade...ila anachoacha siyo 'evidence' bali 'clue'...evidence ni ngumu mtu kuacha ila clue unaweza kuacha...wataalamu wa criminology wanajua...ila ofcourse hata 'clue' inaweza kugeuka ikawa 'evidence'...
 

wanam-flame>>>>>>>>>>>>>>>wanam-frame
 
so interesting, Tanzanians we are talking bwana, then tunatumia mdomo akili ikiwa mbali, don't you see hii ni sensitive issue na maneno yako yanaweza kukuingiza pabaya, as long as hujui hata wanasoma ni nani. Kuna shida mahali

Nakubaliana na wewe...
 
Huwezi jua labda huyo mume wake mpya kamroga mpaka kakubali, kwani watu wengi upenda mtelemko
 
Hao mafiwi si watafute mali za kwao, kwani hata wao wakizipata hizo mali si watatumia na wanaume wao,sasa wao watakazitumia hizo mali za erasto ambayo nao si ndugu yao,
 
Hao wanatake advantage tu ya situation
 
Ila ukweli unabaki tu kwamba MTU mweusi hana Asili ya PESA siamini kama jamaa alikuwa na mapesa kuwazidi wahindi...na..watu wengine weupe mbona wao MTU akizima maisha yanaendelea? Lkn kwa mswahili akiwa na Mali mambo nikama namna hii....sijui tuseme tumelaaniwa au nini
 
uzinzi ni dhambi wewe? wewe kama unazini kimpango wako usipangie watu zinaa
eti akazini hotelini ? halafu wakristo sijui huwa mkoje nakumbuka mke wa sedekia nae aliolewa watu wakachonga sana
Kwani imeandikwa wapi mtu ukifiwa huruhusiwi kuolewa aliyekufa kafa na wala hawezi kurudi na maisha yanaendelea na sio kwamba mume akifa anakufa na feelings zake na za mkewe bado ni mdogo umri wake unaruhusuu hata kama angeamua kuolewa na si ni bora yule ambaye mume kafa ndio anaolewa kuliko hao wengine ambao wanaolewa hata zaidi ya mara 3
 
sasa mbona huyu mama kafa mnachonga na mke wa sedekia aliolewa mkachonga huko makanisani ? mnadhani zinaa kitu kidogo sio?
 

Well said Elungata, namshauri Mary Msuya atafute namba ya simu awasiliane na IGP moja kwa moja aeleze wasi wasi wake kuhusu mwenendo mzima wa kukamatwa mke wa Msuya - wakichelewa huyu mama anaweza kupata matatizo makubwa kwa kusingiziwa au kulazimishwa kukili mashtaka kutokana na vitisho vya Polisi, kumbuka wamemkatalia asiwe na wakili wake wakati wa mahonjiano, sasa katika mazingira kama hayo anaweza kusingiziwa chochote.

Elungata wewe ni mwelewa wa mambo mengi - kisa hiki kinanikumbusha novels za mzaliwa wa Uingereza one Agatha Christie.
 

Exactly my sentiments!

Although I'm not privy to all the details of the case, I just can't shake off the hunch that the police will charge someone or some people falsely.

I can see trumped-up charges coming down the pike very soon!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…