Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Wakuu tunapaswa kufahamu pesa inahitaji maarifa makubwa kuitawala, la sivyo, italeta madhara makubwa sana

Katika harakati zetu za utafutaji, maarifa na nidhamu ya hali ya juu inahitajika sana. Si katika kutafuta tu, bali kutawala fedha nyingi ulizotafuta

Watu wanaokuzunguka wanapaswa kuwa na maarifa na nidhamu hiyo pia la sivyo utawatia matatizoni

Marehemu Erasto hakujua wale kuzingatia haya, ndio sababu kubwa ya huu msururu wa matukio

Unafikiri alikua bilionea zaidi ya Mo, Mengi na Bakhresa? La hasha! Alikosa maarifa na nidhamu inayopaswa kuitawala pesa
 
Miriam anahusika? ...nimesisimka mwili.

Jina zuri lakini ni muuaji lol!
Uchunguzi ufanyike na sheria ichukue mkondo wake, kwenda kuzimisha ndoto za binti kama yule jamani....
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Kabila gani huyo mama?!
 
Ni kwel hakuhudhuria ila ni baada ya mama mkwe kukutaa akidai kua akimuona atapata presha na anaweza kufa lkn pamoja na kuzuiwa kwenda alitoa wafanyakaz wa hotel yake na rambirambi shs million 3,,hiyo yote inasemekana wakwe na mawifi wanazitaka mali za marehemu ndo mana wanamsumbua mke wa bilionea Erasto,pia ndugu wa Erasto wamekuwa wakimletea watoto wa nje wakidai ni wa marehemu ili awape urithi na huyo dada anatoa tu hapo police wafanye uchunguz wa kina kuna kitu kinatafutwa
We nu ndugu na mtuhumiwa?
 
uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Habari zinasema beki tatu aliondoka before tukio kutokea
 
So inawezekana kuna watu wanamflame huyu mama ili afungwe,wao wafaidi mali,unajua kuna haja ya kuacha wosia kuwa wazazi wakifa mali ziwekwe trust fund kwa ajili ya watoto.
Bado huyu housegirl ndo analo jibu lote,kama mama kashiriki kuua wifi yake,ama kuna watu wanaplay smart
 
Soma kwa nguvu utaelewa
Mkuu, uzi wa kwanza kuletwa kuhusiana na hii issue, uliletwa na somebody Pdidy. Kama unaweza, utafute then usome. Ukiuelewa bila ukakasi nitakupigia salute
 
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Haya majina ya kichaga chaga, wanaweza kuwa watu wa machame hawa..hatari sana
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................


daaa huyu mama ni balaaa
 
Kama huyo mke wa msuya ni kabila lileeee bas nikawaida yao kuwawaisha waume zao ili wachukue madaraka
 
so interesting, Tanzanians we are talking bwana, then tunatumia mdomo akili ikiwa mbali, don't you see hii ni sensitive issue na maneno yako yanaweza kukuingiza pabaya, as long as hujui hata wanasoma ni nani. Kuna shida mahali
 
Back
Top Bottom