Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Halafu wanamficha hajulikani kawekwa wapi maana hayupo kituo chochote cha police ndugu zake wameenda kumuona ila alikuwa ndani ya taxt kioo kikashushwa kidogo amejaa makovu akauliza watoto wake wanaendeleaje ile tu ndugu yake anamuuliza mbona unamakovu wakamwambia haruhusiwi kuongea tena wakawasha gari wakaondoka tangu ijumaa yupo na nguo zilezile walikataa asipewe hata nguo za kubadili
Mimi nakuelewa Mary mvungi,hata kama una uhusiano na mke wa marehem,lakin kwa maelezo yako nimejenga picha fulani.
Nashangaa baadhi ya watu kumuhukum mama simon.
 
Mpaka Miriam sijui Ma Sai idhibitishwe kaslaught or non at all...mipovu itakayotoka humu ni zaidi ya ze bingwaa
 
Weee Erasto mtu wa wafu wapi? Alimkana mwanae wa kuzaa mwenye kufanana nae mpaka matege na hakuwahi kumtunza licha ya DNA kuprove ni wake? Alikua maarufu kwa kutembea na wake za rafiki zake, na alikua ni mgeukaji mkubwa sana katika biashara. Hizi ndo sifa halali za Erasto
Kama huyo Erasto ndo alikuwa hivi.. iweje sasa mnamtupia lawama mkewe kuhusika na mauwaji ya mumewe na nduguze pia?
 
Mie bado naendelea kuamini huyu mm simon yuko framed na watu wauaji aonekane kama ni yeye anahusika.Swali kubwa la msingi polisi wanatakiwa wajiulize afanye haya mauaji ili apate faida gani haswa?? Something is not right somewhere, something fishy.
 
Hakuna nilijualo mama.
Ni mawazo tu.
Wahusika siwajui zaidi ya kuwasikia tu kupitia mitandao ya kijamii.
Soma posts humu,utawaona wa kusaidia police.
Kukusaidiaaaaa

Yulelee mamaa alijulikana haji msibani sikunne kbala ya kuaga tegeta NA shida n ile ilee nilioeleza mwanzoni ..

1))yaliotokea baada kifocha mumewe NA masimangoo yamali juuyake
2))maombi ya maliza marehemu mumewe kwenda kwa ukoo
3))mahusiano mabovu yaliotokea katiya mkewa erasto NA WiFi sake tangu NA baada ya kifo plus wazazi wake
....simu aliosema amepeigiwa ikimtisha NA kumtaja mzazi AMA MKWE ameaapa akimwona atadondoka anashauri asifie no mengi..

As usual tuwaachie serkl.ingawa n polisi hawahawa walisimamia kesi yaw auwaji wa erasto NA jaji felesh akashtuka kinachoendelea ...nahisi mtaelewa ilipofikia

Nashauri huyu dadaa abanwe aulizwe vizuri namànukweli atasema mwanzon alimhusisha mume wa marehwmu Anne alieachananae miakà kadhaa..leo kataja MKWE atujui mume kama ameachiwa .....tuwaachie polisi watoe taarifa
 
Yeah hayo ndio Maelezo ya mtoto ambayo yamenukuliwa alipokuwa akielezea tukio zima.
Nukuuu maelezoo yamwanzo yalisema mtoto alienda kumwambia mama kuna wageni n shida
 
MALI ZA MKEWA MAREHEMU ERASTO ZINAMAHUSIANO GANI NA HII KESI

JIONGEZENI..HIIKESI ITAAIIVISHA WATU MAPEMA TULIENI
 
acha hizo mkuu.
Niftah usihofu tunaitaji mwanga tu NA kusaidia mawazoyako KWENYE HII kesi...nimejaribu kuangalia watoa hoja we n mtumuhimusana kama awajui
 
Exactly my sentiments!

Although I'm not privy to all the details of the case, I just can't shake off the hunch that the police will charge someone or some people falsely.

I can see trumped-up charges coming down the pike very soon!
USa. Bybbbbb
 
NDUGUU WA MARY NASHAURI WAANDIKE BARUA YA WAKILI NA MHURIWAKE KWENDA KWA WAZIRI MWIGULU NA CC IGP NA WENGINEO WALIOPO HIOO ITALETA HESHIMA HUKOAENDAKOO..HAKUNA SEHEMU UNATUHUMIWA KIFO WAJEZOMBA ULICHONACHO..JIONGEZEN

ASIKUBALIKUONGEA NJE YA WAKILIWAKE HILO N MUHIMU ZAIDI NA SHERIA INAMLINDA.....
 
Hahaaaaaa ya las Vegas AMA ile ya Washington Mpwa..ngoja nikacheki ppt kama.zimetoka wanawiki.at I maganda ya ppt ayajawasiliii.kilakonaa Maria rosaaa Maria rosaaaa
 
Mnataka sababuzakifo cha erasto fungus

Woindeshizza.blogspot.com

Nukuu ya Kamanda Boaz
 
Hahaaaaaa ya las Vegas AMA ile ya Washington Mpwa..ngoja nikacheki ppt kama.zimetoka wanawiki.at I maganda ya ppt ayajawasiliii.kilakonaa Maria rosaaa Maria rosaaaa

PoaaPooooaaa mpwa ukija njoo basi dhdhdgdieksjshshwhsgd

Heudydusjshahskdodidiejs

Ieudhd7e6wgwbuw2ehdjsksksmshy
 
Back
Top Bottom