Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Umefanya sg?!
Umefanya sg?!
SijawahiUmefanya sg?!
Nilikuwa po zamaniiiiiiiiiiiiiiiDuuuh kumbe ulifanya sg ile ya kitambo...wewe utakua unajua mengi
HahahaYes nina ukaribu naye ni aunt yangu na namjua kuliko hao wanaoongea vitu wasivyovijua kwa kutaka tu kushabikia kwa sababu wameona imetangazwa au kusikia
KinachokuchekeshaHahaha
Umbea kunogaaa, loohNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Sasa tutegemee nini km ni shangazi yako kuwa utakuja kumponda hapa,?! Erasto hakuwa analala. Na anat......?!Hana tabia ya kunyanyasa mtu ila ni mwanamke au boss ambaye hapendi longolongo na wala hapendi mtu anayefanya vitu kinyume na yeye ukiona kakufanyia unayosema ujue wewe una matatizo na ndio maana mkashindwana na wewe nahisi utakuwa mfanyakazi wa kwanza kulalamika anakaaga na wafanyakazi mpaka wakiondoka wanamkumbuka nenda kwenye hotels zake SG RESORT HOTEL na MEZALUNA hotel kawaulize wafanyakazi wake utaona jinsi wanavyohuzunika hawamuoni boss wao coz wanaishi naye vizuri so acha unafki
Natamami miwe mpelelezi wa hii kesi jaman, mbona patamuAiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa
hata kama ni mimi ndugu wa erasto nisingekubali mali za ndugu yangu ziliwe na mwanaume mwingine....Hizo mali za erasto zirudi kwa ndugu zake pamoja na watoto wake ...mama saimoni aende akatunzwe na huyo mume wake mpyaKwanza mm kama hilo zoezi la mariamu kuumua wifi yake sio kweli kabsa kwangu nakataa hadi siku ya kiaama,,kwanza ebu kila mtu ajiulize baada ya mazishi mamake aneth alitoka mererani kwenda dar na hadi leo hajarudi pili yule mfanyakazi wa ndani kukamatwa nikwanini mama aneth na dadazake aneth waliomba wamhoji faraga? Je hayo maongezi yalilekodiwa na kujua walizungumza nini? Je polisi inajua hiyo faraga walizungumza nini na huyo mfanyakazi wa ndani?kwasbbu huyo msuchana kutoka kwao hadi nyumbani kwa mamake aneth kuna umbali wa 149mt nikama jurani na usitoshe yy mamaaneth ndie waliomtafuta huyo housegiry kwenda kufanya kazi kwa aneth,na lingine ukiangalia mkewa wa erasito anakaa arusha na kutoka arusha hadi nyumbani kwao mererani ni 64km,je mwenye ukaribu wa kushawishi ubaya kwa house girl ni nani kati ya mama erasto na mke wa erasto? Jamni yaani usilolijua ni usiku wa giza!! Mbona swala liko wazi jamni ebu vyombo vya dola nawaomba tumieni akili saana kwenye hii pointi kuna tagerti iko hapo!! Chazo cha hayo yote nikwamba kwanza babake marehemu aliapa mahakamani kwamba baada ya erasto kufa amemwachia mungu! Na mkewa erasto akawambia mawifi km mnataka gari kwaajiri ya ushahidi mahakamni mbona baba mkwe amekataa na amesema amemwachia mungu basi na Mimi pia nimesema naachana na hiyo kesi,ss hapo ndipo mawifi wakachachamaa!! Na mkewamarehemu akaona aolewe na mwaume mwingine,na waliposikia kwamba mke wa marehemu ameolewa na mtu mwingine sasa ikawa ni kero hadi kwa mama aneth, hasra zikapanda kwa ndugu hususani mawifi, na ndio maana walimpiga marufuku kuja kuzika wifi yake siokwamba yy ndo aliktaa apana,mamakemarehemu alisema kabla ya aneth hajafikwa na mauti akimuona mke wa marehemu anatamni hata ampigie ukunga kisa ana bwana mwingine ambae anakula Mali ya mwanae erasto,ndo chazo cha kutohudhulia msiba wa aneth sio vingunevyo,na baba yake baada ya kusema amemwachia mungu kwa ajiri ya mauaji ya erasto na akakiuka na kuanza kwenda tena kwa waganga sasa kilichompata tena mzee wa watu nimungu anajua,sijui kafanyeje mikono yote imeungua na moto hata wiki haijaisha,je na hiyo ni mkewa erasto ndo alimuunguza???? Jambi kumi ni kumi lkn ukitoa sufuri inabaki moja sio kumi tena!!!! hausegirl amesomeshwa na mama aneth na dadazake aneth wa sio vinginevyo wadau,mamaaneth arudi tu mererani aje ampeleke bwanake hospitl kaungua mikono
Nakucheka unaoanic kwani anti yako km unavyidai ni malaika?!Kinachokuchekesha
Hahaha wacha keleleAngalizo: nyie wenye usajili wa Muda humu ndani, kuna uwezekano mkaisaidia polisi uchunguzi. Naona mmeingia JF kichwa na miguu.
Mama saimon hajaolewa na hao ndugu hata wakipewa Mali hawatawasaidia watoto wa kaka yao coz walishawakana kuwa hawawatambui kama watoto wa familia wakipewa hizo Mali watoto wa marehemu watateseka na pia erasto alitafuta Mali kwa ajili ya familia yake mkewe na watoto na sio ukoo mzima wa wasuya mirathi yao walishapewa Mali zilizobaki erasto aliandika ziwe chini ya uangalizi wa mke wake kwa ajili ya watoto wakehata kama ni mimi ndugu wa erasto nisingekubali mali za ndugu yangu ziliwe na mwanaume mwingine....Hizo mali za erasto zirudi kwa ndugu zake pamoja na watoto wake ...mama saimoni aende akatunzwe na huyo mume wake mpya
Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anatheSasa tutegemee nini km ni shangazi yako kuwa utakuja kumponda hapa,?! Erasto hakuwa analala. Na anat......?!
Huyu Ant yako hakuwa analalamika chumba namba 7 Na, antuj ambaye ni dd wa erasto baada ya kugundua mashart ya mganga wenu yanasema alale Na mama au ndugu zake?! Chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Haaa okHayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe
Nakuunga mkono mkuu...Hapo umeongea ukweli na ukiangalia km huyo Dada wa kazi kweli ameshauliwa na akajidanganya sasa kule kunakoelekea hao waliomshauli huyo mtoto itakula kwao,pili aliempeleka huyo msichana wa kazi kwa aneti ni nani? Je ni mamake aneth? Au ni mkewa wa erasto, au ni mawifi zake mke wa erasto, au ni nani baada ya kupata jibu ilikuwa waanze nae,alfu kati ya hao wote nani ana ukaribu mkubwa na yule mfanyakazi wa ndani na aneth mbona jibu litatoka km jipu la kwapa
Mpaka mahakama ithibitishe.....Miriam hana HATIA PERIOD.
Erasto Simon Msuya aliuawa tarehe 07/08/2013.Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe
Nifah,Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa