Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Umbea kunogaaa, looh
 
Hana tabia ya kunyanyasa mtu ila ni mwanamke au boss ambaye hapendi longolongo na wala hapendi mtu anayefanya vitu kinyume na yeye ukiona kakufanyia unayosema ujue wewe una matatizo na ndio maana mkashindwana na wewe nahisi utakuwa mfanyakazi wa kwanza kulalamika anakaaga na wafanyakazi mpaka wakiondoka wanamkumbuka nenda kwenye hotels zake SG RESORT HOTEL na MEZALUNA hotel kawaulize wafanyakazi wake utaona jinsi wanavyohuzunika hawamuoni boss wao coz wanaishi naye vizuri so acha unafki
Sasa tutegemee nini km ni shangazi yako kuwa utakuja kumponda hapa,?! Erasto hakuwa analala. Na anat......?!
Huyu Ant yako hakuwa analalamika chumba namba 7 Na, antuj ambaye ni dd wa erasto baada ya kugundua mashart ya mganga wenu yanasema alale Na mama au ndugu zake?! Chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa
Natamami miwe mpelelezi wa hii kesi jaman, mbona patamu
 
Kwanza mm kama hilo zoezi la mariamu kuumua wifi yake sio kweli kabsa kwangu nakataa hadi siku ya kiaama,,kwanza ebu kila mtu ajiulize baada ya mazishi mamake aneth alitoka mererani kwenda dar na hadi leo hajarudi pili yule mfanyakazi wa ndani kukamatwa nikwanini mama aneth na dadazake aneth waliomba wamhoji faraga? Je hayo maongezi yalilekodiwa na kujua walizungumza nini? Je polisi inajua hiyo faraga walizungumza nini na huyo mfanyakazi wa ndani?kwasbbu huyo msuchana kutoka kwao hadi nyumbani kwa mamake aneth kuna umbali wa 149mt nikama jurani na usitoshe yy mamaaneth ndie waliomtafuta huyo housegiry kwenda kufanya kazi kwa aneth,na lingine ukiangalia mkewa wa erasito anakaa arusha na kutoka arusha hadi nyumbani kwao mererani ni 64km,je mwenye ukaribu wa kushawishi ubaya kwa house girl ni nani kati ya mama erasto na mke wa erasto? Jamni yaani usilolijua ni usiku wa giza!! Mbona swala liko wazi jamni ebu vyombo vya dola nawaomba tumieni akili saana kwenye hii pointi kuna tagerti iko hapo!! Chazo cha hayo yote nikwamba kwanza babake marehemu aliapa mahakamani kwamba baada ya erasto kufa amemwachia mungu! Na mkewa erasto akawambia mawifi km mnataka gari kwaajiri ya ushahidi mahakamni mbona baba mkwe amekataa na amesema amemwachia mungu basi na Mimi pia nimesema naachana na hiyo kesi,ss hapo ndipo mawifi wakachachamaa!! Na mkewamarehemu akaona aolewe na mwaume mwingine,na waliposikia kwamba mke wa marehemu ameolewa na mtu mwingine sasa ikawa ni kero hadi kwa mama aneth, hasra zikapanda kwa ndugu hususani mawifi, na ndio maana walimpiga marufuku kuja kuzika wifi yake siokwamba yy ndo aliktaa apana,mamakemarehemu alisema kabla ya aneth hajafikwa na mauti akimuona mke wa marehemu anatamni hata ampigie ukunga kisa ana bwana mwingine ambae anakula Mali ya mwanae erasto,ndo chazo cha kutohudhulia msiba wa aneth sio vingunevyo,na baba yake baada ya kusema amemwachia mungu kwa ajiri ya mauaji ya erasto na akakiuka na kuanza kwenda tena kwa waganga sasa kilichompata tena mzee wa watu nimungu anajua,sijui kafanyeje mikono yote imeungua na moto hata wiki haijaisha,je na hiyo ni mkewa erasto ndo alimuunguza???? Jambi kumi ni kumi lkn ukitoa sufuri inabaki moja sio kumi tena!!!! hausegirl amesomeshwa na mama aneth na dadazake aneth wa sio vinginevyo wadau,mamaaneth arudi tu mererani aje ampeleke bwanake hospitl kaungua mikono
hata kama ni mimi ndugu wa erasto nisingekubali mali za ndugu yangu ziliwe na mwanaume mwingine....Hizo mali za erasto zirudi kwa ndugu zake pamoja na watoto wake ...mama saimoni aende akatunzwe na huyo mume wake mpya
 
hata kama ni mimi ndugu wa erasto nisingekubali mali za ndugu yangu ziliwe na mwanaume mwingine....Hizo mali za erasto zirudi kwa ndugu zake pamoja na watoto wake ...mama saimoni aende akatunzwe na huyo mume wake mpya
Mama saimon hajaolewa na hao ndugu hata wakipewa Mali hawatawasaidia watoto wa kaka yao coz walishawakana kuwa hawawatambui kama watoto wa familia wakipewa hizo Mali watoto wa marehemu watateseka na pia erasto alitafuta Mali kwa ajili ya familia yake mkewe na watoto na sio ukoo mzima wa wasuya mirathi yao walishapewa Mali zilizobaki erasto aliandika ziwe chini ya uangalizi wa mke wake kwa ajili ya watoto wake
 
Sasa tutegemee nini km ni shangazi yako kuwa utakuja kumponda hapa,?! Erasto hakuwa analala. Na anat......?!
Huyu Ant yako hakuwa analalamika chumba namba 7 Na, antuj ambaye ni dd wa erasto baada ya kugundua mashart ya mganga wenu yanasema alale Na mama au ndugu zake?! Chaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe
 
Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe
Haaa ok


Ngoja nilale nikiamka ntaendelea kusoma
 
Hapo umeongea ukweli na ukiangalia km huyo Dada wa kazi kweli ameshauliwa na akajidanganya sasa kule kunakoelekea hao waliomshauli huyo mtoto itakula kwao,pili aliempeleka huyo msichana wa kazi kwa aneti ni nani? Je ni mamake aneth? Au ni mkewa wa erasto, au ni mawifi zake mke wa erasto, au ni nani baada ya kupata jibu ilikuwa waanze nae,alfu kati ya hao wote nani ana ukaribu mkubwa na yule mfanyakazi wa ndani na aneth mbona jibu litatoka km jipu la kwapa
Nakuunga mkono mkuu...
Beki 3 zngne ovyooo kbs
 
Hayo ni maagano ya familia yao ya wasuya wala mama saimon hakushiriki ni kweli antuja alikuwa anatembea na kaka yake na hayo maagano yao itakuwa wanayaendeleza ndio maana wanakufa na wewe chunguza tarehe aliyokufa erasto ndio aliyokufa anathe
Erasto Simon Msuya aliuawa tarehe 07/08/2013.

Aneth Simon Msuya aliuawa tarehe 27/05/2016.

Huyu Erasto alishafariki na hana uwezo wa kujieleza kuhusu hayo anayotuhumiwa kuwa aliyafanya. Mimi nilibahatika kuzungumza nae kuhusu hiyo tuhuma yangu "incest". Nakumbuka alinijibu hivi "kaka katika jambo linaloniuma roho katika maisha yangu ni kupewa kashfa kuwa natembea na dada yangu. Lakini ipo siku Mungu atawadhihirishia hao mahasimu wangu ukweli kuhusu hilo jambo. Hebu chukulia picha wewe utembee na dada yako wa kuzaliwa nae, utaanzaje na wanawake wamejazana kila kona? Nilianza kushika pesa nikiwa mdogo wakati niko Advance, Makumira Sec, nilikuwa nikitoka shule kipindi cha likizo naenda kuzama mgodini kama nyoka wa viongozi wa MAREMA, nikawa napata hela, isipokuwa watu wanaona kama nilipata pesa ghafla kumbe nimefight sana ila Mungu ndiye anayejua".

Kwahiyo moyo wa mwanadamu ndio unaojua kilichpo ndani. Tuache kuzungumza maneno ambayo hayana ukweli wala faida. Tuzungumzeni tunayoyafahamu na tusiyoyafahamu tusitunge uongo ili uonekane unajua.
 
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Nifah,
It is possible, in law we say and believe that; when doubt creates doubt.....doubt prevails. Kuna uwezekano mkubwa Vifo vya hawa watu wa2 mtu na kaka yake, beyond readonable doubt vinatokana na huyu mwana mama mke wa marehemu Erasto.
Kwa kuwa ni mwanamke sina wasi wasi atasema tu.
Damu ya mtu haiendi bure na kwa mwanamke hata awe jasiri vipi hawezi vumilia hivi sasa anajuta na kutahayari na kulia kwa kusaga meno kwa nini alifanya.
Police wazingatie ushahidi wao kwa kuchukua statement of alibi yake ushahidi wa kuunga mkono tayari wanao ambao kisheria unaitwa " circumstantial evidence" ambao ni ule wa kutajwa na mshitakiwa mwenza ambao unatosha kumtia hatiani prosecution wakiweza kuupangilia vizuri. Vile vile sina shaka police wamepata ushahidi wa kutosha kupelekea kumkamata.
Huyu hakika ni binadamu mbaya kabisa!
Unaua mumeo!
Ametafuta kwa ujuzi na mafaniko muishi maisha mazuri unamuua! Ule hiyo pesa na nani?
Kwa mipango ya mungu labda ale mtoto yeye hatakula! Imekuwa Mali ya shetani kwake.
 
Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa

Tupe kidogo mkuu
 
Back
Top Bottom