Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,114
Humu ndani inaonesha wapo wengi mnaoweza kusaidia Jamhuri ktk hii kesi
haikuhusu ?............................ wala siendelezi hapo ndo nimefikia mwisho japo ninayo mengi tu ya kusema hapa,To a sababu za kutishiwa bastola NA ulichukua hatua gani Jf HII sio ya majungu kuinama....ulimfikisha wapi.....
hahahaha hapana .................... hata sisi tuanmfahamu mama sgMshana Jr
SRC ya huuyo wifiyaoo pesa za kakayaooo
Tafutaa mda kaana mmoja wa wanafamilia
AMA watoto upate kilichotokea baada ya msiba wa erasto. N shida kubwa ...ndugu wanahaha NA Mali za kaka ambazo awajui mke alifanya nn wakazipata
Kinachofanyika sasa n kumuingixa wakitarajia hizo Mali azitakuwa NA msimamizi infact ningumu kufanikiwa nawalipoyaonaa hayo walijiandaa NA wanasheria kuhusu maliza mumewe
Mwenye akili niwakumbushe tu mwanamke ana Mali nyingi sana hakuna mazingira ya yeye kumfanya amuue wifiyake kamwe kwa lipi??kilakitu kipo official kwa mjane .......NA nisahahihishe Huyo WiFi(marehemu) alikuwa akifwatilia Yale mauwaji ya kakayake nasio maliza kakake
Then amwoni mke ndie angetakiwa kuwana umoja NA wifie kwann akamuue???....
Shida kubwa ya malumbano n Mali za marehemu NA nahisi zitawamaliza kwa style HII ..nawatakia Amani ya Bwana ikawatangulie KWENYE uchunguzi wao......
Huyu bibie
Kaka mshana Jr alishindwa hats kwenda kuzika wifiee sababu yavitisho alivyopigiwa NA MTU mmoja akijihusisha NA ukaribu wa msiba
Hats mm nisingeendaa kamanatishiwa tuwaachie police wafanye uchunguzi wakweli
Hata wewe usiyejitambua unaweza saidia kwenye hii kesi.Humu ndani inaonesha wapo wengi mnaoweza kusaidia Jamhuri ktk hii kesi
Duuh....ya mtu mmoja hayaAcha kujibu kwakutumia makalio wee mkabila mbwatukaji,unasema hovyo kama umekunywa mataputapu fisi maji wewe
U will b a stupid if won't trust them while thy make food for u bwasheeDon't trust a woman even a dead one.
Hahahahaha kwa hiyo hata kama kafa ataamka au umenichekesha sanaDon't trust a woman even a dead one.
Ukwelii uko hivyooo hataaa wewee ulieshikiwa bastola elezea sababu za kushikiwa NA ulichofanyaaaaaaa ulimshitaki wapi ili WATU wasiamini majungu
Labdaa nikushirikishe kama wewee n mmoja waoo baada ya kutoka pale msibani naamini ulikiwepo huyuu mama amejitenga NA kuiogopa kabisa hip familiaaaaa...
NA mpakaa sasa amekuwa hapendwi kabisa NA familiaaa hasaa ndugukadhaaa ambaoo wamekuwaa wakimiminika kuomba omba misaada kwahuyo mamaa NA HII n baada ya kupewa info usiwachekee hao awana jema NA wewee
kwani sg ni nini si majina ya watoto simon and gloria?UNAWEZA KUFANYA YOOTE LAKINI UWEZI KU PLAN MAUWAJI YA MTU KIRAHISI UKAMHUSISHA MTU...
PAMOJA NA MALUMBANO NA PESA ZOTAKAZOTEMBEA MWISHO WA SIKU TUKOHAPA UKWELI UTADHIHIRIIKAAA
WAZO TU
MUMEOO AKIWA NA PESA NA MALI JITAHIDI SANA MUANDIKISHANE MAJINA YA WATOTO ..HILI N MSAADA MKUBWA KWAKO HUKO BADAE BILA KUJIJUA..MTAPOTEZA HAKI ZA WATOTO.SOO KILA NDUGU ANAEKUCHEKEA ANAKUTAKIA MEMA SUBIRI BAADA YA KIFO CHAKO UONE
Mkuu hivi hujui kabisa kinachoendelea?Alisharekehisha asante kwa kuja

Mkuu hivi hujui kabisa kinachoendelea?
Mm naamini lazma unajua hebu tuelezee kidogo![]()
![]()
kesi iko mahakamaniacha kumwongezea kuni mwenzako kwenye moto ambao tayari unamuunguzaNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Kalale ukueSijaelewa mada. Sijaelewa kilichoandikwa. Sijaelewa namna ulivyo andika.
Usiseme hivyo mkuu,mimi ni mwanamke pia ujue?Don't trust a woman even a dead one.



Ndo mapya haya yanayoibuliwaacha kumwongezea kuni mwenzako kwenye ambao tayari unamuunguza