Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,118
- 829,006
Nikajua nipo mwenyeweSijaelewa mada. Sijaelewa kilichoandikwa. Sijaelewa namna ulivyo andika.
Mpwa Pdidy mbona hapa kaandika the Best out of himSijaelewa mada. Sijaelewa kilichoandikwa. Sijaelewa namna ulivyo andika.
Mwili unanisisimka!!!🙁Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
HAHAMiriam anahusika? ...nimesisimka hadi mwili.
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Hahaha mlikuwa mnagombea nini?HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
M nawashauriii HII familiaaa msaliii Sana'a mwombeee Munguu
Kwa wasiokuwepo msiba wa erasto yaliamka mengi sana sana ikiwemo Mali za marehemu NA mahusiano ya ndugu NA maliza marehemu
Nawambiaaa olee kaeni mbali NA wajane ..aijalishi Huyodadaa kaambiwa nn ilii mpambane NA huyu mjane kama duniaa isshiivyooo......
Ndugu anapotoka NA kwenda kuoaa lazima mhrshimu kwamba ameachana NA familia yenu ameanzisha yake MPYA..anapoondoka dunian maisha yanabaki Mali nk yanabaki kwa familia yakeee...
Sidhan mnaitaji kuendeleaa kumsumbua mjane kiasi hikii pesa NA Mali n maliza MUNGU wetu...
Jambo la kujiuliza huyu WiFi aangaikr NA marehemu kwa Shidaa ipiii???kwaa njaa ipiii???alionayooo
Hakunaaa sehemu imeandikwa WiFi AMA shemeji anauwezo wa kudai Mali za nduguye anapokufa...nirekebishe web moja hakuna sehemu huyu marehemu alieuwawa aliwahi kungangania walakudai pesa za kakayake....
((KUTOHUDHURIA MSIBA WA WIFI YAKE))
Wapooo wengi wasiojuaaa kilichotokeaa NA kwann WiFi akwenda kumzika wifiyake Sikh ya msiba.......sidhan kama mnaweza kumlazimisha MTU kwenda kuzika...kwanyaliotokea baada ya msiba wa mumewe hats ningekuwa mm nisingrkanyaga hukoo
Huyuu mamaa aliangalia security yakeekwanzaa la pili AMA kws makusudi AMA kwakutotakaa asiwepo alipigiwa NA mmoja wa waafamiliaa hatakiwi kabisa kuonekana KWENYE msiba
Labda tuheshimu maamuzi yakeee nahaata kama alikuwa NA niaa kama unapigiwa usiende ukienda kitakachotokea sidhan unaweza sema n shetani....
So uamuzi wake eakutohudhuria usihushwe NA mauwaji .kama kuna sababu AMA ushahidi mwingine sio Basi ukweli udhiirike