Nina uhakika dada mmoja alitembea Na erasto huyu aliyeuwawa sijui...wacha kujizongondoaHujui, pengine ni kwasababu ulichosema ni uongo au ni fununu tuu ambazo hazina ukweli wowote. Watu wengine muwe mnaongea vitu mlivyo na uhakika navyo au kama ni fununu sema ni fununu. Duh!
yeah huwezi juaKwasababu uliwashuhudia wakivuana nguo na Erasto akifanya hilo tendo nae? Kama hujawahi kuwaona wako uchi wa mnyama na wakifanya tendo, then your "uhakika 220%" is rubbish.
Hahaha OK.....toka mwanzo wa huu uzi umekuwa una comment kwa mihemko sana; hata km unaifahamu hiyo familia sio lazima ujue kila kitu kinachowahusu!, naona sasa umeanza kuleta story za vijiweni!, km umeishiwa maneno kaa kimya, utazame comment za wengine!
Kwasababu alikuwa ananilazimisha kukiri jambo ambalo sikiloshuhudiaAhsante kwa taarifa lkn tililika kdg kisa kilikuwa nn mpaka akushikie Bastola...
Weka picha yake hapa.
Khaaaanilisikia baada ya mazishi akatoa 20% ya mali ya mumewe akawapa ndugu pamoja na babake Erasto halafu akawapiga stop
Mbona muuaji wa Kennedy (rais wa marekani) hakupatinakana??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????ID extra.naamini ukweli utajulikana kwa shida sana maana kuna hela inatembea hapo#ila kuplan tukio la mauaji huwa ni ngumu sana kwa hiyo sio jambo la kufanya
Hata ulaya penyewe huwa wauaji wanaishia kukamatwa sana tu hasa ukiangalia Chanel zao maana muuaji hata awe makini vipi huacha evidence hii ni kwa sababu tukio lenyewe huwa sio la kawaida labda police waache tu kufatilia kwa makusudi.
Double rodger... WILCOINVESTIGATORS SHOULD LEAVE NO STONE UNTURNED
Bila Shaka huyo mwanamke atakuwa ni mmachame tuu!!yeah name nimehisi hilo, yawezekana aliona huyo ndio kikwazo cha kuipata mali kama alivyokusudia. Let wait maana yaweza kuwa katajwa tu kwa chuki binafsi
Umenifurahisha imebidi nikanywe dompolight
Unakumbukaaa alietangazwa NA Kamanda wetu kuhusu alirtaka kumuua Dk ulimboka sijuikama utakuwa ulisharudi bongo enzihizo
Walitutangazia MTU mkenya badae wakatuambia amekwenda kukiri kanisa la uffuufuo NA uzima kwa GWAJIMA hahaaa sijui niendeleee
Gwajima akakanaa ajawahikumsikia huyokijana ..akafikishwa mahakamaani..hahaaa.mahakama ikamwachiaa huru hahusiki hatakidogo
Tafuta mwishoo wahiikesi uelewe nao n binadamu
hapo hakuna chuki wala nn , huyo kuna huwezekano mkubwa amehusika ,yeah name nimehisi hilo, yawezekana aliona huyo ndio kikwazo cha kuipata mali kama alivyokusudia. Let wait maana yaweza kuwa katajwa tu kwa chuki binafsi
msuya jina la mumewe , anaweza hasiwe mparea , ila lazima atakuwa mtu wa nyanda za hukoMsuya_Mpare
pia ua muuaji hatakuwa ndani ya hiyo familia, huyo Miriam akiojiwa ataweka waziSo inawezekana kuna watu wanamflame huyu mama ili afungwe,wao wafaidi mali,unajua kuna haja ya kuacha wosia kuwa wazazi wakifa mali ziwekwe trust fund kwa ajili ya watoto.
Bado huyu housegirl ndo analo jibu lote,kama mama kashiriki kuua wifi yake,ama kuna watu wanaplay smart
Ni mpare sio mchaga. Jamani. .Chezea wanawake wa kichaga, pesa mbele
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Huu ni uropokaji na lazima tujirekebisha, kutokuja msibani tayari umeshabwabwaja hivi?