Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Hahaha atajijuaMburra! Ndoa za rasha rasha zina kuwa na haya mauza uza.
Hahaha atajijuaMburra! Ndoa za rasha rasha zina kuwa na haya mauza uza.
Na baada ya kufwata mashart ya mganga ndo walitokawatu wanaongea kama vile hiyo familia imezijulia hela kwa Erasto
wakati udalali wake katolewa na baba yake aliekuwa akimiliki mgodi
Nimejifunza kitu muhimu sana kuhusu nidhamu. Ahsante kwa shule mkuu.Wakuu tunapaswa kufahamu pesa inahitaji maarifa makubwa kuitawala, la sivyo, italeta madhara makubwa sana
Katika harakati zetu za utafutaji, maarifa na nidhamu ya hali ya juu inahitajika sana. Si katika kutafuta tu, bali kutawala fedha nyingi ulizotafuta
Watu wanaokuzunguka wanapaswa kuwa na maarifa na nidhamu hiyo pia la sivyo utawatia matatizoni
Marehemu Erasto hakujua wale kuzingatia haya, ndio sababu kubwa ya huu msururu wa matukio
Unafikiri alikua bilionea zaidi ya Mo, Mengi na Bakhresa? La hasha! Alikosa maarifa na nidhamu inayopaswa kuitawala pesa
Jina zuri lakini ni muuaji lol!
Uchunguzi ufanyike na sheria ichukue mkondo wake....
Don't trust a woman even a dead one.
Hela ya erasto ya kwanza kapata kwa mawe ya lemakoo.....na ndio yalijenga sg ile ya mwanzo....namjua akiwa na corrola 90 enzi hizooNa baada ya kufwata mashart ya mganga ndo walitoka
Wewe ndio utakua hujui hela iliyomtoa ni mawe ya lemakoo mmasai ndio akajenga sg ile ya kwanza akiwa n corrola 90.....mawe ya mgodi wa mzee kikaango hakupata mengi.....pia mawe ya tanzaniteone ndio yamejenga sg hii ya leo na kununua meza luna .....mawe ya bomu ndio yamemjenga kiuchumi hata kifo chake kimechangiwa na bomu la tanzaniteonewatu wanaongea kama vile hiyo familia imezijulia hela kwa Erasto
wakati udalali wake katolewa na baba yake aliekuwa akimiliki mgodi
Dont trust a man even a dead one in front of a woman (even a 200 year old woman)
Huyu mama basi ni shida sana,ataozea jela.Haijawahi tokea ubaya kuushinda wemaHUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
akumbuka mkuu....wewe ni zaidi ya SpayWakati nilisema akipatikana hg tu kila kitu kitafumuka
Weeee mamboooyaaa dyuuudyuuuu nayoooyamooouwiiiiiNa ishu za mapenz zinahusika sana
MDA UNAFIKAA SOOONA WASIOKUAMINIHuu mziki ndio umeanza yetu macho ila mama mkwe na dada wa erasto ndio tatizo kubwa....mauaji ya erasto na mauaji haya ya anneth hayana uhusiano hata chembe....huyu mama cdhani kma anahusika mana mariam mali yote ni yke alitafuta yeye n mumewe
Umenifurahisha imebidi nikanywe dompolightPolisi wakiamua kufanya kazi hakuna atakayesalimika. Hawakosei
Mambo ya watz bhana mkuu vipi unaundugu na msuya?Wewe ndio utakua hujui hela iliyomtoa ni mawe ya lemakoo mmasai ndio akajenga sg ile ya kwanza akiwa n corrola 90.....mawe ya mgodi wa mzee kikaango hakupata mengi.....pia mawe ya tanzaniteone ndio yamejenga sg hii ya leo na kununua meza luna .....mawe ya bomu ndio yamemjenga kiuchumi hata kifo chake kimechangiwa na bomu la tanzaniteone