Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
nilisikia baada ya mazishi akatoa 20% ya mali ya mumewe akawapa ndugu pamoja na babake Erasto halafu akawapiga stop
hahaa huyu mwanamke alikuwa katili anasura inayosomeka kabisaa............Malipo hapa hapa tu...wanadhani shetani ni jidudu flan lenye Sura yakutisha kumbe Shetani ni MTU wakawaida kabisa daaah..
OK, KUMBE MPARE ILA SISHANGAI CKU HIZI HATA WANAWAKE WA KIGOGO WANAUA SHAURI YA MALI...mpare
hashindwi yule mama kanasura ya ukatili khaaaaaaaaaaaanilisikia baada ya mazishi akatoa 20% ya mali ya mumewe akawapa ndugu pamoja na babake Erasto halafu akawapiga stop
kuna wanadamu wengine wapuuzi sana ............ hata hivyio kalizaliwa kwenye umasikini sana naona kaliona katazikwa na hizo mali...........,ali zenyewe za kishirikina ptyuuuuuuuuuuuuuuuuu mbakaOK, KUMBE MPARE ILA SISHANGAI CKU HIZI HATA WANAWAKE WA KIGOGO WANAUA SHAURI YA MALI...
NGOJA AKAOLEWE BILA HATA SHILINGI NA HUKO JELA.....kuna wanadamu wengine wapuuzi sana ............ hata hivyio kalizaliwa kwenye umasikini sana naona kaliona katazikwa na hizo mali...........,ali zenyewe za kishirikina ptyuuuuuuuuuuuuuuuuu mbaka
Soma vizuri usikurupuke Kama unaoga njeHapo mwisho rekebisha kuna shida kidogo. Aliyekamatwa sio dada wa marehemu bali mke kufuatia maelezo aliyotoa binti wa kazi wakati wa mahojiano na polisi
haha atashaa .................... maisha ya uraiani huku ni mazuri sana ......... hata kama aunakula ugali wa kulumangiaNGOJA AKAOLEWE BILA HATA SHILINGI NA HUKO JELA.....
Chezea wanawake wa kichaga, pesa mbeleNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
NGOJA AKAJIFUNZE HUKO KWANN KUKU HAKOJOI NA KWANN MLENDA HAUOSHWI.....haha atashaa .................... maisha ya uraiani huku ni mazuri sana ......... hata kama aunakula ugali wa kulumangia
Naomba nikujibu kwa upole kwamba kulikuwa na makosa kwenye hiyo post yake , nikaliona kosa nikamweleza kupitia reply hii naye akaliona na kulirekebishaS
Soma vizuri usikurupuke Kama unaoga nje
Ni kwel hakuhudhuria ila ni baada ya mama mkwe kukutaa akidai kua akimuona atapata presha na anaweza kufa lkn pamoja na kuzuiwa kwenda alitoa wafanyakaz wa hotel yake na rambirambi shs million 3,,hiyo yote inasemekana wakwe na mawifi wanazitaka mali za marehemu ndo mana wanamsumbua mke wa bilionea Erasto,pia ndugu wa Erasto wamekuwa wakimletea watoto wa nje wakidai ni wa marehemu ili awape urithi na huyo dada anatoa tu hapo police wafanye uchunguz wa kina kuna kitu kinatafutwaNasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Don't trust a woman even a dead one.Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Hapo mwisho rekebisha kuna shida kidogo. Aliyekamatwa sio dada wa marehemu bali mke kufuatia maelezo aliyotoa binti wa kazi wakati wa mahojiano na polisi
sawa mkuu
Ndio habari ilivyosema, aliyekamatwa ni mke na sio dada. Sioni pakurekebisha.
Mwenye post alishaona na kurekebisha asante kwa kuja
Mshana Jr ulichokisema mbona muhandishi hajaandika hivyo au umesoma story vibaya jaribu kusoma tena
Alisharekehisha asante kwa kuja
Hahahaha poa brother
jjmm jifunze kufuatilia mjadala kabla hujakurupuka kumjibu mtuS
Soma vizuri usikurupuke Kama unaoga nje
Inaonyesha una utaalamu na uzoefu!!uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
naomba unisamehe bure samahani Sana asante kwa jibu LA upoleNaomba nikujibu kwa upole kwamba kulikuwa na makosa kwenye hiyo post yake , nikaliona kosa nikamweleza kupitia reply hii naye akaliona na kulirekebisha
Nitakuwekea uone ni nani kakurupuka kati yangu mimi na wewe
Mkuu kauli yako ina habar kubwa mno hebu weka waziPoleniiii Sana'a msioelewa amkutakiwa kuelewa
.walioelewa wameanza kutafutana kwa msg nbox.............