ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Wajina nini?
Haswaaaaa "Miriam"
Wajina nini?
Nilikuelewa sana..Ila kumbuka Mumewe alipokufa hawakumkamata yy..why Leo..Police Wa Tanzania wasipoingiliwa Na amri toka juu wakaacha wenyewe..Trust Mimi Hata ujifiche wapi utakamatwa tu.They are so clever.issue ya kujitoa kwa mali na kusaidia sikuongea mimi wameongea wanaojua kua alitoa naye mchango na wafanyakazi wake walihudhuria, hicho ndio kiini cha hoja uliyoijibu awali
Yaani upo sahihi kabisa maana wanaacha nyayo.WAuaji wa kibongo huua bila kupangilia
Commiting a perfect murder.Every crime leaves a trail of evidence!
Mkuuu unawezakukiri polisi ukawageukaa mahakamani kama walikupiga AMA kukulazimshaa inaruhusiwa kusema kwelimahakaniCommiting a perfect murder.
Sina imani na polisi wetu. Ukiangalia IDx suspect halazimishwi kukiri hata kama polisi wanahisi kabisa huyu ndiye muuaji watamwachia huku wakiendelea kukusanya evidences.
Ni mara nyingi sana unakuta wanayemuhisi siye kabisa wakati dalili zote zilionyesha ndiye.
Sasa polisi wetu wakikuhisi kwa mateso na mikwara utakayopewa unaweza kukiri umeua.
Nimewekaa sababu Tisa Mpwa kama ukuzionaa zinafanyiwakaziKama marehemu Erasto alioa mke wa mtu kama baadhi mnavyodai, hamuoni kuwa huenda sababu za kifo chake zilikuwa nyingi?
Huna picha yake aisee.HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Hahahaha.Istoshe alishaenda kutangaza ndoa nyingine pindi tu mumewe alivyo fariki akili hana kaishia std 7 Mpare mpuuzi
Ngoja nikapakue makabrasha nilikuwa nayoHuna picha yake aisee.
Mwili umenisisimka
Erasto alikuwa anatembea Na dadake mke alijua alipoenda kushtaki familia ikamwambia atulie ndio lexus Na mapesa yanapotokaHahahaha.
Kule kwa Mange insta, kuna mtu kakoment kuwa, wanawake wa Kipare sio kabisa kuhusuana na hii ishu, watu walimnawa, hadi akaomba poo.
hahahaha.. Bange mbaya sanaHikiii NA hokoo NA do aliekulaa kona NA nguru ya kuchomaa kasema domsalale mwaaa
dada ake yupi huyo marehemu au....Erasto alikuwa anatembea Na dadake mke alijua alipoenda kushtaki familia ikamwambia atulie ndio lexus Na mapesa yanapotoka
Hii familia ina uchafu wa kutisha
Kwa marehemu sijui ila Kuna mwingine namfahamu Na ninajua alikuwa anatembea nayedada ake yupi huyo marehemu au....
No research, No right to speak.Kwa marehemu sijui ila Kuna mwingine namfahamu Na ninajua alikuwa anatembea naye