Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Na baada ya kufwata mashart ya mganga ndo walitoka
We dada unamengiii unayoyajuaaa kuhusu familia y erasto...panapobidi kutujuza tujuze tu mana inaonesha bado unamengine sema unahitaji tukupe muda tu au siyooo!?😛
 
Mke wa Mjomba wangu alikuwa ni mpare. Ni mke wa ndoa na alizaa naye watoto watatu. Mke akawa mzinzi kupindukia. Akamuua mjomba kwa njia aliyojua yeye kwani alitoka mkutano AICC Arusha wakati huo akiwa IDM Mzumbe. Akafa na kabla hata ya arobaini akamleta yule hawara wa mwanaume wa Msoma ndani ya nyumba ya marehemu mjomba wangu. Mjomba mdogo alipohoji akamwambia kuwa atampelekwa aliko kaka yake. Akaahamisha watoto wa kike wawili akapeleka kwa wazazi wake upareni. Baba yake alikuwa na duka Moshi mjini (mpare). Mtoto wa kiume alibaki na mama Morogoro. Akaanza kumnyanyasa mwanaye wa kuzaa na mjoma akimwambia hana mali pale wala kitu gani, yaani mtoto mdogo maneno makali kabisa. Akazaa na mkurya mtoto mwingine akawa ni priority kwake. Yule mwanaye yaani mtoto wa mjomba wa kiume sasa kwa kukosa malezi akaingia makundi ya wavuta bangi Morogoro. Akaanza kumsumbua mama yake. Akamleta kwa mjiomba mdogo akiwa ameshaharibika. Hakuweza kusoma tena mwishowe akaingia mitaani na leo hana maisha kabisa. Mkurya sidhani kama wako wote tena. Kimbembe kikawa kinamtokea roho ya marehemu mjomba ikawa inamfuata kila mahali hasa usiku, akaona anazidiwa akaja kwa mjomba ili akamwonyeshe kaburi la mume (alimzika mume akaondoka siku hiyo hiyo hakulala kwenye msiba na baada ya msiba kwa miaka zaidi ya kumi hakurudi tena kwa wakwe hata kusafisha kaburi la mume). Mjomba mdogo hakukataa akampeleka akaliona kaburi la mume wakaondoka. Baada ya siku kadhaa akarudi peke yake akachukua udongo na vitu vingine juu ya kaburi ili kwenda kutambikia mume asiwe anamtokea tena. Ndugu zangu usiue, damu ya mtu inalia, Huwa inarudi kama si kwako basi ni kwa kizazi chako cha kwanza hadi cha nne. Binafsi yule mama aliniachia majonzi makubwa sana kwa kuwa mjomba wangu alikuwa mpole sana na mkarimu. Alikuwa ni nguzo kwa bibi na babu yangu mzaa mama. Alipokufa babu yangu alipata shock kubwa sana na hakuamka tena alilala kitandani mpaka akafariki mwaka 2000 (Rest in Peace Babu Yangu). Wapare Mungu awasamehe sana ila wengi wenu hamna historia njema kwa kuwa mmejaa ushirikina na uzinzi. Samahani sana kwa kusema ukweli. Rest in Peace Uncle 1984.
 
Use your brain my dear. I wasnt asking him/her not to use English, I was simply asking him/her to use a language that he is fluent in. I am fluent in both languages although when i want to avoid grammatical errors or when am not sure... i stick to my mother tongue. Go back and read his original comment then come back here and comment.
Ki-swaenglish
 
Nimeusoma huu uzi hadi hapa, kinachoonekana hapa inawezekana huyo mke wa marehemu erasto katwisha tu zigo na wauaji kwa vile tu kulikua na mgogoro wa kifamilia, na wauaji wanaiangalia hii picha huku wenyewe wakila kuku kwa mrija.. Uhusika wake hauna mashiko zaidi ya huo mgogoro baada ya mumewe kuuliwa!! Time will tell.!
definitely so do I
 
Mke wa Mjomba wangu alikuwa ni mpare. Ni mke wa ndoa na alizaa naye watoto watatu. Mke akawa mzinzi kupindukia. Akamuua mjomba kwa njia aliyojua yeye kwani alitoka mkutano AICC Arusha wakati huo akiwa IDM Mzumbe. Akafa na kabla hata ya arobaini akamleta yule hawara wa mwanaume wa Msoma ndani ya nyumba ya marehemu mjomba wangu. Mjomba mdogo alipohoji akamwambia kuwa atampelekwa aliko kaka yake. Akaahamisha watoto wa kike wawili akapeleka kwa wazazi wake upareni. Baba yake alikuwa na duka Moshi mjini (mpare). Mtoto wa kiume alibaki na mama Morogoro. Akaanza kumnyanyasa mwanaye wa kuzaa na mjoma akimwambia hana mali pale wala kitu gani, yaani mtoto mdogo maneno makali kabisa. Akazaa na mkurya mtoto mwingine akawa ni priority kwake. Yule mwanaye yaani mtoto wa mjomba wa kiume sasa kwa kukosa malezi akaingia makundi ya wavuta bangi Morogoro. Akaanza kumsumbua mama yake. Akamleta kwa mjiomba mdogo akiwa ameshaharibika. Hakuweza kusoma tena mwishowe akaingia mitaani na leo hana maisha kabisa. Mkurya sidhani kama wako wote tena. Kimbembe kikawa kinamtokea roho ya marehemu mjomba ikawa inamfuata kila mahali hasa usiku, akaona anazidiwa akaja kwa mjomba ili akamwonyeshe kaburi la mume (alimzika mume akaondoka siku hiyo hiyo hakulala kwenye msiba na baada ya msiba kwa miaka zaidi ya kumi hakurudi tena kwa wakwe hata kusafisha kaburi la mume). Mjomba mdogo hakukataa akampeleka akaliona kaburi la mume wakaondoka. Baada ya siku kadhaa akarudi peke yake akachukua udongo na vitu vingine juu ya kaburi ili kwenda kutambikia mume asiwe anamtokea tena. Ndugu zangu usiue, damu ya mtu inalia, Huwa inarudi kama si kwako basi ni kwa kizazi chako cha kwanza hadi cha nne. Binafsi yule mama aliniachia majonzi makubwa sana kwa kuwa mjomba wangu alikuwa mpole sana na mkarimu. Alikuwa ni nguzo kwa bibi na babu yangu mzaa mama. Alipokufa babu yangu alipata shock kubwa sana na hakuamka tena alilala kitandani mpaka akafariki mwaka 2000 (Rest in Peace Babu Yangu). Wapare Mungu awasamehe sana ila wengi wenu hamna historia njema kwa kuwa mmejaa ushirikina na uzinzi. Samahani sana kwa kusema ukweli. Rest in Peace Uncle 1984.
Pole
 
Mimi binafsi nashangaa ni kwanini hawa wanaojiita JF ni home of great thinkers wana akili ndogo kiasi hiki?? Huyo mke wa Msuya ile mali ni yake na watoto wake kwa 100%. Kisheria iko hivo, Biashara ya Msuya ni ya Erasto Msuya si ya Familia yote ya Msuya. Kuliko huyo mama kutumia njia ya kuuwa na kupiga risasi ndugu wa Erasto ni mahakama tu ndio njia rahisi kwake ambayo itatoa hizo mali kwa yeye pamoja na wanawe. Nashangaa hapa watu wanatoka povu bila hata ya kujiuliza maswali madogo..

Je, Ile mali aliyoacha Erasto Msuya ni ya Erasto Msuya au ni ya Familia ya Msuya?? Kama ni ya Familia mgawanyo ukoje?? Kama ni yake pekee kwanini Familia yote kwa ujumla inaingilia hizo mali wakati inasemekana yule mke wa Msuya alitoa 20% ya mali (Zaidi ya 1 Billion) kwa Mama wa Msuya na Familia kwa Ujumla...

Je, ile kesi ya Mauaji ya Msuya iliisha?? Kama bado haijaisha kwanini tusijiulize kuna watuhumiwa nyuma ya pazia wanapandikiza mauaji ndani ya hii familia ili wao baadae waachiwe huru na tuhuma ziamie kwa wengine?? Waliomuua Msuya ni watu wakubwa wenye pesa, Je hawa watu hawawezi kutumia pesa na akili kujinasua na kuwaingiza wengine kwenye mauaji yale hasa ukizingatia wamechukulia advantage migogoro iliyoko kwenye Familia ya Msuya?

Je, Mke wa Msuya alikuwa na sababu gani ya kumuua Annate? Msuya aliacha wosia unaoonyesha Annate apewe kiasi fulani cha mali zake?? Kama hakuacha, kwanini sasa Mke wa Msuya amuue Annate?

Mimi binafsi nahisi kuna watu wako nje ya hizi familia ndio wanawaendesha hawa watu kwa kuchukulia advantage hilo suala la ugomvi wa familia. Yawezekana ni walewale wauaji wa Msuya ama watu wengine tu ambao nao wanazitaka hizo mali. Hii familia isipokuwa smart na kumrudia Mungu watamalizana..

Ukifuatlia sana na narudia tena aslimia Zaidi ya 90 huyo mama sioni sababu ya yeye kumua Wifi yake, mali ni zake alishashinda na kesi hakamuue kwa sababu gani haswa?
 
Halafu hao ndugu hawariziki kaka yao alipokufa aliacha urithi na Mali walipewa ila hawariziki wanataka Mali zote alizoacha kaka yao hawaangalii kama kaka yao ameacha watoto 4 na mjane tangu kaka yao kafa mama saimon haishi kwa raha wala amani ni kumtukana vitisho kibao na ndio maana wanakufa juzi huyo dada yake anathe Joyce kafiwa na mtoto wake wa kumzaa na huyo atasema mama saimon ndio kamuua wamuache mama wa watu aishi maisha yake kwa amani na watoto wake
 
Jamani hivi hawa wanawake KASIKAZINI(uchagani na kwingineko).....mbona wako hivi jamani....utotoni huwa wanawanlishwa madudu gani?.
Bora yeye kaishia std 7 kuliko wewe uliyesoma na kuja kutunga uongo hapa acha uongo na unafki huyo mwanaume mwingine unaye mjua labda baba yako mzazi maana mama saimon ameolewa na erasto na ndio alikuwa mwanaume wa kwanza na baada ya mume wake kufa hajatangaza ndoa sasa labda ndoa alitangaza mama yako ukamfananisha na mama saimon
 
Mke wa Mjomba wangu alikuwa ni mpare. Ni mke wa ndoa na alizaa naye watoto watatu. Mke akawa mzinzi kupindukia. Akamuua mjomba kwa njia aliyojua yeye kwani alitoka mkutano AICC Arusha wakati huo akiwa IDM Mzumbe. Akafa na kabla hata ya arobaini akamleta yule hawara wa mwanaume wa Msoma ndani ya nyumba ya marehemu mjomba wangu. Mjomba mdogo alipohoji akamwambia kuwa atampelekwa aliko kaka yake. Akaahamisha watoto wa kike wawili akapeleka kwa wazazi wake upareni. Baba yake alikuwa na duka Moshi mjini (mpare). Mtoto wa kiume alibaki na mama Morogoro. Akaanza kumnyanyasa mwanaye wa kuzaa na mjoma akimwambia hana mali pale wala kitu gani, yaani mtoto mdogo maneno makali kabisa. Akazaa na mkurya mtoto mwingine akawa ni priority kwake. Yule mwanaye yaani mtoto wa mjomba wa kiume sasa kwa kukosa malezi akaingia makundi ya wavuta bangi Morogoro. Akaanza kumsumbua mama yake. Akamleta kwa mjiomba mdogo akiwa ameshaharibika. Hakuweza kusoma tena mwishowe akaingia mitaani na leo hana maisha kabisa. Mkurya sidhani kama wako wote tena. Kimbembe kikawa kinamtokea roho ya marehemu mjomba ikawa inamfuata kila mahali hasa usiku, akaona anazidiwa akaja kwa mjomba ili akamwonyeshe kaburi la mume (alimzika mume akaondoka siku hiyo hiyo hakulala kwenye msiba na baada ya msiba kwa miaka zaidi ya kumi hakurudi tena kwa wakwe hata kusafisha kaburi la mume). Mjomba mdogo hakukataa akampeleka akaliona kaburi la mume wakaondoka. Baada ya siku kadhaa akarudi peke yake akachukua udongo na vitu vingine juu ya kaburi ili kwenda kutambikia mume asiwe anamtokea tena. Ndugu zangu usiue, damu ya mtu inalia, Huwa inarudi kama si kwako basi ni kwa kizazi chako cha kwanza hadi cha nne. Binafsi yule mama aliniachia majonzi makubwa sana kwa kuwa mjomba wangu alikuwa mpole sana na mkarimu. Alikuwa ni nguzo kwa bibi na babu yangu mzaa mama. Alipokufa babu yangu alipata shock kubwa sana na hakuamka tena alilala kitandani mpaka akafariki mwaka 2000 (Rest in Peace Babu Yangu). Wapare Mungu awasamehe sana ila wengi wenu hamna historia njema kwa kuwa mmejaa ushirikina na uzinzi. Samahani sana kwa kusema ukweli. Rest in Peace Uncle 1984.
Du pole sana mkuu naunga mkono hoja mimi binafsi baba angu mdogo alikiona cha moto kwa mwanamke wa kipare mpk alihama mji kimya kimya maana ilikua patashika kwenye ukoo huyo mwanamke .Kwa kweli wanawake hawa wachache ninaowajua wa kipare siez mshauri ndugu yangu achukue huko maana asijeangukia pua .Rafiki yangu mmoja mwenyewe mama yake ni mpare na alimkataza mwanae asijeangukia huko ktk pitapita zake.At the same time siwezi kumhusisha huyu mama kwa hayo mambo pia.
 
Use your brain my dear. I wasnt asking him/her not to use English, I was simply asking him/her to use a language that he is fluent in. I am fluent in both languages although when i want to avoid grammatical errors or when am not sure... i stick to my mother tongue. Go back and read his original comment then come back here and comment.
Sijaelewa chochote,tumia lugha ya taifa!
 
Usitukane mnduhu wangu. Vandu vashihe vatete mira kila kindu kinemanyikana
Ambura vandu veudhi sanaaaaa vekunda kugaya Mongo kangi wekelie mmaa na ni vandu vethimmanya hata vandughu vakwe twehujie chuku twethigaya chochothe kangi achwe mti tha mwana enyie dhia
 
Pole sana sasa napata picha kuh huyo Mama...
Of course mm simuhusishi moja kwa moja kwa Na mauaji ila naunga dots tu tabia zake mimi nilipewa nyumba ya kuishi Na erasto wakati nasimamia kazi zake yaani nilikuwa naishi hovyo huyu mama alikuwa ananivizia madirisha anachungulia anatuma watu Yani alinibugudhi sana acha alipe alichopanda...... sitaki kukumbuka kabisaa. Kama ni yeye aumbuke maana Wafanyakazi wake alikuwa anatuletea umafya wa kimaandazi
 
Wewe unayesema mama saimon unamjua vizuri ukome hiyo ndoa aliyotangaza alikuwa anaolewa na baba yako au msipende kuongea vitu msivyovijua usikute hata humjui unamsikia kwa jina fala wewe
Mary unaukaribu wowote na mama saimon?? n kama unao jitahidi kuwaleza watu unachokijua kuhusu mama saimon mana yawezekana wanayoongea watu wengine humu ndani ni upotoshaji,labda utusaidie wewe
Nawasilisha kwako!!
 
Back
Top Bottom