Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

hahaa huyu mwanamke alikuwa katili anasura inayosomeka kabisaa............
thiough erasto alikuwa mtu wa watu japo alikuwa na mapungufu yake ...... mke sasaa ghrrrrrrrrrrrrrrr


tupia japo picha yake
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................[/QUOTE ]
Jesus! Eras to nae ali anza wapi Na hili shangingi on a sasa majanga Kwa kwenda mbele
 
Erasto alikuwa anatembea Na dadake mke alijua alipoenda kushtaki familia ikamwambia atulie ndio lexus Na mapesa yanapotoka
Hii familia ina uchafu wa kutisha
Sasa hapo familia yenye uchafu ni ipi?@mulhat mpunga
 
Kwa hizi comments tu,...erasto alikuwa na maadui Wengi wa kujitengenezea. Ukianza na aliyepokonywa Mke.
 
Ulivyo komaa kukataa siyo mchaga, nyie ni walewale mwanamkw yeyote wa kaskazini iwe Arusha au Kilimanjaro ukiondoa wamasai mliobaki ni wauwaji wakubwa rohombaya km wasomali tuu.

Try to use at least 5% of your brain to think....otherwise take your stupidity out of here!
 
Kwa marehemu sijui ila Kuna mwingine namfahamu Na ninajua alikuwa anatembea naye

Hujui, pengine ni kwasababu ulichosema ni uongo au ni fununu tuu ambazo hazina ukweli wowote. Watu wengine muwe mnaongea vitu mlivyo na uhakika navyo au kama ni fununu sema ni fununu. Duh!
 
Erasto alikuwa anatembea Na dadake mke alijua alipoenda kushtaki familia ikamwambia atulie ndio lexus Na mapesa yanapotoka
Hii familia ina uchafu wa kutisha

.....toka mwanzo wa huu uzi umekuwa una comment kwa mihemko sana; hata km unaifahamu hiyo familia sio lazima ujue kila kitu kinachowahusu!, naona sasa umeanza kuleta story za vijiweni!, km umeishiwa maneno kaa kimya, utazame comment za wengine!
 
Nimeusoma huu uzi hadi hapa, kinachoonekana hapa inawezekana huyo mke wa marehemu erasto katwisha tu zigo na wauaji kwa vile tu kulikua na mgogoro wa kifamilia, na wauaji wanaiangalia hii picha huku wenyewe wakila kuku kwa mrija.. Uhusika wake hauna mashiko zaidi ya huo mgogoro baada ya mumewe kuuliwa!! Time will tell.!
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Ahsante kwa taarifa lkn tililika kdg kisa kilikuwa nn mpaka akushikie Bastola...
 
Aiseeeee huwezi kujua wanawake wanataka au hawataki nini sasa hg kamtaja mke wa msuya kama mshiriki wa mauaji na fukuto linasema walianza kugombea Mali na kuna tetesi nyingine sitoiweka hapa

Iweke mkuu tungependa kuijua
 
Mali mali mali = kifo iposiku damu ya annathe Mungu atailipia walio katisha uhai wake wata wekwa wazi
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Weka picha yake hapa.
 
Back
Top Bottom