Mshana Jr
SRC ya huuyo wifiyaoo pesa za kakayaooo
Tafutaa mda kaana mmoja wa wanafamilia
AMA watoto upate kilichotokea baada ya msiba wa erasto. N shida kubwa ...ndugu wanahaha NA Mali za kaka ambazo awajui mke alifanya nn wakazipata
Kinachofanyika sasa n kumuingixa wakitarajia hizo Mali azitakuwa NA msimamizi infact ningumu kufanikiwa nawalipoyaonaa hayo walijiandaa NA wanasheria kuhusu maliza mumewe
Mwenye akili niwakumbushe tu mwanamke ana Mali nyingi sana hakuna mazingira ya yeye kumfanya amuue wifiyake kamwe kwa lipi??kilakitu kipo official kwa mjane .......NA nisahahihishe Huyo WiFi(marehemu) alikuwa akifwatilia Yale mauwaji ya kakayake nasio maliza kakake
Then amwoni mke ndie angetakiwa kuwana umoja NA wifie kwann akamuue???....
Shida kubwa ya malumbano n Mali za marehemu NA nahisi zitawamaliza kwa style HII ..nawatakia Amani ya Bwana ikawatangulie KWENYE uchunguzi wao......
Huyu bibie
Kaka mshana Jr alishindwa hats kwenda kuzika wifiee sababu yavitisho alivyopigiwa NA MTU mmoja akijihusisha NA ukaribu wa msiba
Hats mm nisingeendaa kamanatishiwa tuwaachie police wafanye uchunguzi wakweli
Ndg yangu,ngoja nikufumbue kitu! Mfano,haujasikia sehemu ya tukio la ujambazi,jambazi kadondosha kitambulisho. Ama wanandoa wakware kukutana guest kila mmoja kaja na patina? Na huo ndiyo unakuwa mwanzo wa unafiki kubumburuka.Duuu hiyo familia wasipoangalia watachinjana kama kuku
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Nakubaliana na wewe mkuu ila pia sitaki kuamini huyu mama ndie mastemind wa hili tukio ,Dunia imebeba mengi ndugu yangu ,kuanzia mauaji ya Erasto ,dada yake mwingine aliyepigwa risasi ila akapona halafu ,huyu mdogo wake aliyechinjwa ....hapana kuna wanaojua huu mchezo zaidi ya mkewe ,tusubiri tu wenye mamlaka wafanye kazi zao ,hata wasipofuata weledi bado ukweli una tabia ya kujitenga na uongoNdg yangu,ngoja nikufumbue kitu! Mfano,haujasikia sehemu ya tukio la ujambazi,jambazi kadondosha kitambulisho. Ama wanandoa wakware kukutana guest kila mmoja kaja na patina? Na huo ndiyo unakuwa mwanzo wa unafiki kubumburuka.
M/Mungu mara nyingi hudhalilisha sana wanafiki.
Huyo hg ndiyo kitambulisho cha kwenye tukio, mnyororo mzima utanaswa na mauaji ya kis..he..nzi hayatafanyika tena. Sababu simulizi hii yaonesha master mind kadakwa.
Wale wauwaji nao tumbo joto. Hawawezi kuendeleza umyama wao wakati Mastermind wao yupo ndani,Mrorongo wa kamatakamata ni mref na umepamba moto. Tutasikia mengi ya kuchefua roho kwenye kadhia hii.Na tusubiri tuone.
Jina zuri lakini ni muuaji lol!
Uchunguzi ufanyike na sheria ichukue mkondo wake, kwenda kuzimisha ndoto za binti kama yule jamani....
Hilo usemalo ni kweli shida ya huyu mama wa kimeru ni mali ya mwanae tu ......mama n watoto wa kike ndio shida kubwa hapo kungangania mali za marehemu ambazo haziwahusu kaacha mke n watoto ndio warithi wakeNi kwel hakuhudhuria ila ni baada ya mama mkwe kukutaa akidai kua akimuona atapata presha na anaweza kufa lkn pamoja na kuzuiwa kwenda alitoa wafanyakaz wa hotel yake na rambirambi shs million 3,,hiyo yote inasemekana wakwe na mawifi wanazitaka mali za marehemu ndo mana wanamsumbua mke wa bilionea Erasto,pia ndugu wa Erasto wamekuwa wakimletea watoto wa nje wakidai ni wa marehemu ili awape urithi na huyo dada anatoa tu hapo police wafanye uchunguz wa kina kuna kitu kinatafutwa
Unaavitukoo msibaa n wakutoaa taarifaa polisii uwiii lekandaooo..akikwambia MTU usije sindio unashukuru Mpwa mchango unapeleka kansanAlitoa taharifa polisi ya kutishiwa kwenda kwenye msiba?
Fungukaaa zaidilohh eeeheeeHapana hapa Arusha kuna vijimaneno sijui kama vinabeba ukweli lakini ndio habari ya mjini.Kuna madai kwamba Erasto alikuwa karibu zaidi na Dada yake kuliko mke wake hadi watu wa karibu wakawa wanahoji kulikoni.
Bibie Nifah nimetumia lugha ya kistaarabu zaidi nadhani umenielewa.
Amesahau aliemilikishwa n mkwewee hataa akitokaa ajui kisasi kinaongezeka zaidi badalayakuweka sawa NA mkwe we jamanHilo usemalo ni kweli shida ya huyu mama wa kimeru ni mali ya mwanae tu ......mama n watoto wa kike ndio shida kubwa hapo kungangania mali za marehemu ambazo haziwahusu kaacha mke n watoto ndio warithi wake
Mkuu hiyo familia inamatatizo sana mariam alishinda kesi ya mirathi na ndio mwenye mali na wanae......sasa antuja na mama yke ndio wanataka hizo mali wakti sio zao hilo liko waziinawezekana alikuwa nao erasto alikuwa mzinzi sana................
Hilo linajulikana na liko wazi....walipewa apartments nane ziko ngulelo ila naona hawaridhiki tuAmesahau aliemilikishwa n mkwewee hataa akitokaa ajui kisasi kinaongezeka zaidi badalayakuweka sawa NA mkwe we jaman
Hahaaa antuja anapoteza mda tu anahisi ukaribuwake NA marehemu ungesaidia kupataaa urithii akaahangaike NA mumewe wajikomboeeMkuu hiyo familia inamatatizo sana mariam alishinda kesi ya mirathi na ndio mwenye mali na wanae......sasa antuja na mama yke ndio wanataka hizo mali wakti sio zao hilo liko wazi
uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Connecting the dots......Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Huu mziki ndio umeanza yetu macho ila mama mkwe na dada wa erasto ndio tatizo kubwa....mauaji ya erasto na mauaji haya ya anneth hayana uhusiano hata chembe....huyu mama cdhani kma anahusika mana mariam mali yote ni yke alitafuta yeye n mumeweUzuri ni kwamba mahakama hawafanyii kazi hisia ,sitaki kuamini huyu mama anahusika au hausiki ,mwisho wa siku ukweli utajulikana tu
Ww unamlaumu muuaji kwa kuacha mark, traces.... sisi tunamlaumu kwa kutoa uhai wa mtuuwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Hapo mwisho rekebisha kuna shida kidogo. Aliyekamatwa sio dada wa marehemu bali mke kufuatia maelezo aliyotoa binti wa kazi wakati wa mahojiano na polisi