Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Kinachoongelewa hapa ni kifo cha Dada msuya sasa naona wachambuzi Wa utajiri wake alikoanzia wametia timu.
Wamesahau kwamba mafaanikio ya NTU ni siri yake na Mungu wake
 
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
Yaani ukiunga dots unapata hayo majibu,
Wanawake nyinyi watu wabaya sana aisee, si ajabu hata Mungu alituasaga tuishi nanyi kwa akili sana
 
unapokuwa mjinga lazima na action zako ni za kijinga tu. Watatiwa nguvuni kama sisimizi shimoni
Unajua HG alijua siku ile akibaki ndani naye angeuwawa ndo mana Alikimbiaa kosa lake pamoja Na kutishwaaa angekimbilia police lkn ajabu Mpaka siku ya mauaji aliingia ndani ya fensi.Aneth akamuona akamwandikia sms Mama yake..(Ilo nalo Ni kosa angeomba Msaada kwa mahitaji)halafu mama akafuataaa(Funzo kwetu Ni nini?tusiwaunderstimate Watu wa chini yetu..kwa kuwa Ufahamj Elimu hana HG alitumika bila kununua Na si ajabu naye Angepotezwa kama muuaji aliweza kumuua Aneth Hg ingekuwa Sekunde(Swali Je HG alipandikizwa Muda??Maana inasemekana alikuwa mfanyakazi wa Mama ake Anate wa Muda mrefu sana..Hata siku Anate analalamika msichana kwa kuwa alikaa Muda mrefu Na Mama ake Mama akaona Amsafirishe huyo huyo Getu(This was very sad incident In this year to me)So Tragedy.
 
HUYO MWANAMKE MAMA SAIMON NIMEFANYA KAZI NAYE NA NINGESHANGAA KAMA ASINGEHUSIKA NAMJUA VIZURI TABIA ZAKE MI ALISHAWAHI KUNIKAMATIA BASTOLA................ WACHA AISOME NAMBA.KWANZA MUMEWE ALIVYOFARIKI HATA KABLA MACHUNGU HAYAJAISHA ALITANGAZA NDOA NA MTU MWINGINE NA ERASTO HAKUWA MUME WA KWANZA ,,,,,,, ALIOLEWA MUME AKAWA HANA MKWANJA WA KUTOSHA ERASTO KAJA KAMUOA.................
Huna kapicha kake inaonekana Ni mzuri sana.
 
Mbona haueleweki jamani hebu rekebisha makosa
Nyiee mnaboaaaa..kama hamuelewi.mbona.mnachangia..ingekuwa walimu.Shida sana.Jari content mbwembwe achana nazo.Mmeelewa sana..kutaka kuonyesha mnajua.kukosoaaa
 
Ni August 9, 2016 ambapo stori inayochukua headlines kwenye magazeti ya Tanzania ni kuhusiana na kukamatwa kwa mke wa marehemu wa bilionea Erasto Msuya.

Kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima limeripoti kwamba Miriam Msuya alikamatwa
juzi na Jeshi la Polisi nyumbani kwake Sakina Arusha kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi kuhusu tuhuma za mauaji ya Aneth Msuya ambaye ni dada wa bilionea Erasto Msuya.

Gazeti la Tanzania Daima leo August 9 2016 limeripoti kuwa mke wa Msuya alikamatwa baada ya msichana wa kazi wa marehemu Aneth Msuya kumtaja kuhusika. Mfanyakazi huyo wa ndani ni mmoja kati wa watu wanaoshikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji
hayo.

Sasa millardayo.com & Ayo TV imempata kamanda wa polisi Arusha Liberatus Sabas na kayaongea haya;

"Nadhani kama mtakuwa mnakumbuka hilo tukio lilitokea jiji Dar es Salaam
kwahiyo hapa baada ya uchunguzi kufanyika jeshi la Polisi likamkamata mke wa marehemu Erasto Msuya ambae ni Miriam Msuya na kusafirishwa Dar es Salaam kwa ajili ya uchuguzi wa kina, alikamatwa Alhamisi iliyopita. "
Every crime leaves a trail of evidence!
 
uwiii kati ya matukio ya mauaji ya kijinga niliyowahi kushuhudia ni hili...walishindwaje ata ,kumzimisha beki taraa na kumfunga vikamba vya uongo na ukweli....elimu elimu elimu!!! wacha anyee debe kubwa jinga shenzi kabisaaa
Mungu alipanga kuwaumbuaa .Yoote hayo walipanga mwishoni wakajisahau wakamwamuru aache kazi..Mara tena wakamwamuru ampigie simu mama Ake Anete aseme alitekwa. That is Power of God.
 
hashindwi yule mama kanasura ya ukatili khaaaaaaaaaaaa
Picha yake..Ni pm basi ili nijue tu pic yakee..Story za mauaji Ni nyingi ila hii ilinivunjaa Maini yoote.Nilijiuliza why nimekuwa so taken Na hii ishu..ila Sasa.nimejua sababu....
 
Nasikia hakuhudhuria maziko ya wifi yake (Marehemu Aneth).
Najiuliza...Aneth ndio alikuwa mstari wa mbele katika kesi ya mauji ya kaka yake.
Kama wifi yake huyo anahusika katika mauaji yake (Aneth) probably anahusika katika mauaji ya mumewe (Erasto)
Hatari sana.
hata ivo mtuhumiwa wa ile kesi ya mauaji ya erasto msuya alifutiwa mashtaka ya mauaji hayo na DPP kwa wkati ule elieza felishi.ila malipo APA APA duniani naamini kwa wakati huu ao waliohusika kwa aneth sheria itafanya kazi yake
 
Kama kweli huyu mama ndio alipanga mauaji ya wifi yake atakuwa mjinga kushirikisha house girl, kwanza kitendo cha house girl kuacha kazi ghafla tena boss wake akiwa kazini ni udhaifu mkubwa, bora angeacha kabla au wangemwacha aendelee na kazi, kukuacha kazi na siku hiyo hiyo mauaji yanatekelezwa na mtu asiye mpelelezi angeanza kumtafuta house girl
Kweli kabisa.Iyo Ni nguvu ya Mungu kuwaumbua..mm napenda Picha Zao ziwe wazi
 
Back
Top Bottom