Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,877
Hahaaaaa mpwa hizo sababu azijitoshelezi hats nusuUmemsikia tena Dr.Ulimbokaa..umeona tena Madokta wakugomaa.jiongezee Mkuu.
Hahaaaaa mpwa hizo sababu azijitoshelezi hats nusuUmemsikia tena Dr.Ulimbokaa..umeona tena Madokta wakugomaa.jiongezee Mkuu.
Rekebisha sentensi yako isomeke wanaume wenye hela wasioeoe hovyo waangalie mwanamke wa kuoa.Kuna wanaume hela za kusababisha mtu amuue kwa tamaa hawana zaidi utapata hasara na dhambi ya bureni mtu wawapi huyo mwanamke? nyie mnaoaa angalieni na wanawake wa kuoa sio mnaoaoa tu

Eti alifanikisha kwa Mali mazishi..ivi unaijuaa familia ile vizuri...Wala hawakuitsji Fedha zake.There will be no Stone left Unturned.Story nzima inaonesha tangu afariki kaka wa marehemu familia imekuwa na mgogoro wa mali, na huyu mama alishinda kesi, kwa chuki ndani ya familia yawezekana kuna kitu kilisababisha, soma nyuma kuna taarifa mamamkwe alisema alimwaona atakufa na pressure, isingekuwa busara akaenda angekufa mama mtu mgekuja na mengine, ila pia wanadai alishikiriki kwa mali kufanikisha mazishi
kabaki mashinji hajaingia kwenye targetUmemsikia tena Dr.Ulimbokaa..umeona tena Madokta wakugomaa.jiongezee Mkuu.
nahisi u mmojawapo, mtegemea cha ndugu hufa maskini au ndio uishia hayo tunayoyaona kwenye hii familia, kila mtu ale kwa jasho lakeEti alifanikisha kwa Mali mazishi..ivi unaijuaa familia ile vizuri...Wala hawakuitsji Fedha zake.There will be no Stone left Unturned.
Unasapot post angu au upo negative Ni kama umejichanganyanahisi u mmojawapo, mtegemea cha ndugu hufa maskini au ndio uishia hayo tunayoyaona kwenye hii familia, kila mtu ale kwa jasho lake
soma ramani wakati wa mahusiano, ukishaona familia yenye roho za chuki, visa visasa na utegemezi wa hali ya juu, au mumewe/mkewe ndio jicho lao lote hawafanyi kazi wanamwangalia yeye anza tu mapema, bora kuepusha shari kuliko shari kamili. Waweza kujikuta visa, kulogana nk nkmh ziko nyingi sana mkuu familia za style hii huwezi jua ni hiyo yako au ya wenzako ni mpaka yakukute ndo utajua binadamu hawana jema hata siku moja.uwe una mali uwe huna watataka vitu hata vya ndani mpk glasi chezea shetan.
issue ya kujitoa kwa mali na kusaidia sikuongea mimi wameongea wanaojua kua alitoa naye mchango na wafanyakazi wake walihudhuria, hicho ndio kiini cha hoja uliyoijibu awaliUnasapot post angu au upo negative Ni kama umejichanganya
Yupo sahihi kusema aliondoka kabla ya tukio, maana yake Ni siku ileile bt mapema kabla ya tukioNi siku ile ile fatiliaaaa kwa wafanyakazi wenzake wa Wizara ya Fedha.
kwani ukiuwa mwenye pesa hupati dhambi?Rekebisha sentensi yako isomeke wanaume wenye hela wasioeoe hovyo waangalie mwanamke wa kuoa.Kuna wanaume hela za kusababisha mtu amuue kwa tamaa hawana zaidi utapata hasara na dhambi ya bure![]()
![]()
![]()
![]()
hahahah dah ni kweli lakini haya mambo hayana ukajura ni familia chache sana zilizostaarabika nakumbuka kuna jirani mmoja mmewe alifariki na walikua wameoana just like 7month mume akafariki na jamaa mwenyewe alikua hana hata wazazi wako wawil tu yeye na dada yake so alikua anaishi kwenye one bedroom house ana kitanda ,kochi na vitu vidogodogo ndo alikua anaanza maisha so alipofariki alimwacha yule mke mjamzito huez amini baada ya mazishi ndugu sijui walitoka wapi wanataka vile vitu kule ndani ya chumba wachukue yule mwanamke arudi kwao ilikua inahuzunisha sana kochi moja tena limechakaa na kitanda nayo ni njaa au ? du!.mke aliwaachia akasepa kwao.So haijalishi una mali ya aina gani ndugu ni shidaaaaa!!!!!!!!!soma ramani wakati wa mahusiano, ukishaona familia yenye roho za chuki, visa visasa na utegemezi wa hali ya juu, au mumewe/mkewe ndio jicho lao lote hawafanyi kazi wanamwangalia yeye anza tu mapema, bora kuepusha shari kuliko shari kamili. Waweza kujikuta visa, kulogana nk nk
Haya makabila yenye inferiority complex ni tabu sanaa. Ikitokea tatizo kwa mmachame utasikia wamachame wanaua waume zao, ikatokea ni mchaga sio wa machame utasikia wachaga wanaua waume zao, ikatokea ni mtu wa kaskazini sio mchaga utasikia ndio zao watu wa kaskazini wanaua waume zao. Ila ikitokea ni kabila tofauti na kaskazini wala hutokaa usikie habari hizo. Yale ya flora mbasha haikusemwa kabila lake kwa aliyoyafanya. Watu wa makabila mtabaki kuwa masikini hadi mnakufa hii ni kutokana na limitation ya uwezo wa kufikiri kwenu, wanawake wachaga wenyewe hawapendi kuolewa na makabila tofauti sema tuu hutokea koz ya mipango ya Mungu.Kweli watu wamekomalia wanawake wa eneo Fulani wakatili, wanaume je? mbona baadhi yenu siku hizi mnaolea sababu pia, dunia imeshaenda kusiko imepinda hata kusudi la mme na mke katika familia limeshapindishwa, kwahiyo pindukieni huko mkitaka kujadili tabia mkijua hizi tabia ni individual personalities case
Umeongea vema kabisa... Wasipoangalia wataisha wote au mali yote ndiyo itapotea..Msilolijua ni usiku wa kiza!
Hii kesi haiko ki wepesi hivyo kama inavyoonekana.......
inayotakiwa ni mali ila na visasi vipo tena vibichi!
Kuna watu ni zaidi ya wanyama.......
... Cain aliambiwa... dhambi inakuotea mlangoni pako!
Za gizani zile.... masharti penzi mpaka na dada unadhani ndugu watakosa zitaka wakati na "wao"
kawezesha?
Na mwisho ni kupukutika watu na mali...
kumaanisha...
mke alichangia dhahiri ila na dada alichangia kwa siri!
Vita haitakwisha... mpaka koo na koo...
Habari kubwa hii.....!
Mimi binafsi nashangaa ni kwanini hawa wanaojiita JF ni home of great thinkers wana akili ndogo kiasi hiki?? Huyo mke wa Msuya ile mali ni yake na watoto wake kwa 100%. Kisheria iko hivo, Biashara ya Msuya ni ya Erasto Msuya si ya Familia yote ya Msuya. Kuliko huyo mama kutumia njia ya kuuwa na kupiga risasi ndugu wa Erasto ni mahakama tu ndio njia rahisi kwake ambayo itatoa hizo mali kwa yeye pamoja na wanawe. Nashangaa hapa watu wanatoka povu bila hata ya kujiuliza maswali madogo..ukisoma vema huu uzi utagundua kuna asilimia Zaidi ya 90 huyo Mariam (mke wa marehemu) sio muhisika. Familia za design hii ni shida sana ukiolewa. Kuna issue ya visa chuki na kugombea mali. Mtakuja kugundua baadae.
Kwani kufanikisha Msiba ni mpaka utoe fedha?? Wewe nimesoma michango yako kwenye huu uzi either wewe ni ndugu wa Msuya ambaye unazitolea macho hizo mali kwa kumuonea wivu Mama Msuya ama ni mpambe umetumwa humu kuja kuchafua tu..Eti alifanikisha kwa Mali mazishi..ivi unaijuaa familia ile vizuri...Wala hawakuitsji Fedha zake.There will be no Stone left Unturned.
Kwakweli kwa hili yote yanawezekana.. ipo siku ukweli utakua wazi.Story nzima inaonesha tangu afariki kaka wa marehemu familia imekuwa na mgogoro wa mali, na huyu mama alishinda kesi, kwa chuki ndani ya familia yawezekana kuna kitu kilisababisha, soma nyuma kuna taarifa mamamkwe alisema alimwaona atakufa na pressure, isingekuwa busara akaenda angekufa mama mtu mgekuja na mengine, ila pia wanadai alishikiriki kwa mali kufanikisha mazishi
dah hafahamiki kwenye riadha nn?Hahaha yupo mmoja yuko anawakilisha Tz Olympics anaitwa somebody Mushi anafanya PhD hapo Univ of Adelaide