Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Mapya yaibuka mauaji ya Aneth Msuya

Kumbe wewe ni stadi wa kuua?

Kuua ni haramu hata ukificha (siri itafichuka tu, kama haiwezi kufichuka hapa duniani basi huko Akhera siri itafichuka tu na utahukumiwa tu, hilo ni lazima, ALLAH anasikia na anaona kila kitu, hauwezi kumficha kitu).
Hapo ndy role ya Bwana YESU inaonekana mtafanya uovu lkn kuna kitu mtajisahau hili mjedakwa,damu ya mtu wa Mungu haiwezi potezwa na Binadamu...lazima itakulilia tu!
 
Hii kesi ukiwa mwepesi wa kufikiri utahukumu haraka sana lakini ukisikiliza pande zote bila kuwa na hisia zozote utauona mwanga fulani wa ukweli.
 
Usikurupuke,soma mada fuatilia michango ya watu,huu ni mjadala,kama huna la kuandika pita kimya
We ndo unakurupuka mada ni nyingine umeleta ukabila inahusu acha chuki wanawake katili wako dunia mzima siyo wapare na wachaga tuu we ndo km huna cha kuchangia kistaarabu tulia
 
Pesa sabuni ya roho lakini mwisho wake inaacha ddoa lisiloweza kufutika kamwe
 
ukisoma vema huu uzi utagundua kuna asilimia Zaidi ya 90 huyo Mariam (mke wa marehemu) sio muhisika. Familia za design hii ni shida sana ukiolewa. Kuna issue ya visa chuki na kugombea mali. Mtakuja kugundua baadae.
Mi nashaurii mkionaa mmeolewaa kwenyee familiaaa kama hizi zapesaa zitaletaa shidaaa mumeooo akifaatu wahiimahakamani omba talaka kablaa ajazikwa inaruhusiwa yaani unajitoa AMA kukatakitovu kabsa NA familia hio baada ya mwezi unaoana NA chendedee wakosaafii wakuguse waone
 
We ndo unakurupuka mada ni nyingine umeleta ukabila inahusu acha chuki wanawake katili wako dunia mzima siyo wapare na wachaga tuu we ndo km huna cha kuchangia kistaarabu tulia
Kweli watu wamekomalia wanawake wa eneo Fulani wakatili, wanaume je? mbona baadhi yenu siku hizi mnaolea sababu pia, dunia imeshaenda kusiko imepinda hata kusudi la mme na mke katika familia limeshapindishwa, kwahiyo pindukieni huko mkitaka kujadili tabia mkijua hizi tabia ni individual personalities case
 
Shidaaa kubwa siioni halo nashauri waanzie hapa haoo wachunguzi

1))mahusiano ya erasto NA wafanyabiashara wenzie wamadini
2))waangalie mahusiano yaliokuwepo kati ya dadamtu NA marehemu erasto vs mamasaimon
3))waangalie ugomvi uliozukakwa familia katiya dadamtu NA mke wa erasto
4))waangaliee zile kesi walizopelekana hukonyuma polisi erasto akiwa hai kati ya WiFi NA Dada MTU
5))Waangalie vile vitisho vya Mali wakati wa msiba wa marehemu erasto vs familia ya msuya
6))waangalie kelelee za familiaya msuya kwanini kaka alizikwa kule mererani NA sio Kyle kwao walipotoka....
7))wakaangalie mahusiano yaliokuwepo kati ya mama saimon NA wifizake....
8))waendee wakaangaliee zilemali za erasto alizotoa huyumama kwa familia ya msuya zote huku ana watoto ....
9))wambane vizuriii huyoo dadaaa atasema yoote aliemwambiaaa amtaje mama simon...
10))wakae vizuri NA mume wa marehemu awaeleze mahusiano yaliopo katiya mke wa erasto+maliza rerasto+mkewake(rip Anne)+familia ya msuya in general vs Familia ya huyo mamaa

Watapataukweli

wakifankiwa kupata jibu la namba tisa " binti kusema aliyemshahuri amtaje mke wa marehemu" mchezo utakuwa umenoga na ukienda ukingoni
 
Nakumbuka...nikiwa primary...kuna hadithi ya "Nani atamvisha paka kengele"... believe me or not kuna mchezo mchafu umefanywa na ndugu perhaps hata huyo Mariam.. What goes around comes around...teh teh teh
 
Acheni ukabilam nakimbiaaa kabisaa ukoo auruhusukuongeleaa ukabilaa duniani
 
ukisoma vema huu uzi utagundua kuna asilimia Zaidi ya 90 huyo Mariam (mke wa marehemu) sio muhisika. Familia za design hii ni shida sana ukiolewa. Kuna issue ya visa chuki na kugombea mali. Mtakuja kugundua baadae.
mh ziko nyingi sana mkuu familia za style hii huwezi jua ni hiyo yako au ya wenzako ni mpaka yakukute ndo utajua binadamu hawana jema hata siku moja.uwe una mali uwe huna watataka vitu hata vya ndani mpk glasi chezea shetan.
 
Back
Top Bottom