Ahmed Lukinga
Member
- Jul 3, 2011
- 5
- 0
Kitabu kinakwenda kwa jina "The Zanzibar Revolution" By Field MAshal John Okello.Nilibahatika kukisoma mpaka 'CHAPTER 5'.MTUNZI AKIWA NI YEYE MWENYEWE NA KUSAIDIWA KUANDIKA NA JAMAA FULANI, ANAELEZA KUWA WATAWALA WA AFRIKA MASHARIKI WALIMUHOFIA SANA KUTOKANA NA UELEWA WAKE MPANA KTK MBINU ZA KIVITA NA HATA USHAWISHIKWA WANAJAMII.Ni nini hii sasa?Lengo liko wazi!!Watawala, watawala, watawala!