Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,920
- 30,263
Siku chache zilizopita niliandika hapa kuhusu John Okello na pia nikaweka na video inayoeleza safari ya Okello Pemba mwezi Machi 1964 baada ya mapinduzi.
Sharif Mohamed Yahya kutoka Tanga kaniandikia hayo maneno hapo chini na kaandika kwa herufi kubwa tupu.
Nami nabakisha hivyo hivyo herufi kubwa kama nilivyopokea:
KUNA JAMBO JENGINE HALIZUNGUMZWI PIA KUHUSU AMRI ZA OKELLO.
PALE ALIPOTOA AMRI KALI KUHUSU MTAA WA MALINDI WAJITOKEZE WAMEPIGA MAGOTI NA YEYE ATAPITA HUKO KUKAGUA.
HABIBU UMAR BIN SUMEYT AKAWA WA KWANZA KUTOKA NA KUPIGA MAGOTI.
WAKAMNASIHI WATU ARUDI NDANI AKAGOMA.
WAKAENDA KWA KARUME, KARUME AMTUMA BABU AKAMUONDOE NA ZIARA HIYO IKAFUTWA.
WAMESEMA WENYE KUSEMA KUWA HAPO NDIO ULIKUWA MWANZO WA MWISHO WA OKELLO.
Sharif Mohamed Yahya kutoka Tanga kaniandikia hayo maneno hapo chini na kaandika kwa herufi kubwa tupu.
Nami nabakisha hivyo hivyo herufi kubwa kama nilivyopokea:
KUNA JAMBO JENGINE HALIZUNGUMZWI PIA KUHUSU AMRI ZA OKELLO.
PALE ALIPOTOA AMRI KALI KUHUSU MTAA WA MALINDI WAJITOKEZE WAMEPIGA MAGOTI NA YEYE ATAPITA HUKO KUKAGUA.
HABIBU UMAR BIN SUMEYT AKAWA WA KWANZA KUTOKA NA KUPIGA MAGOTI.
WAKAMNASIHI WATU ARUDI NDANI AKAGOMA.
WAKAENDA KWA KARUME, KARUME AMTUMA BABU AKAMUONDOE NA ZIARA HIYO IKAFUTWA.
WAMESEMA WENYE KUSEMA KUWA HAPO NDIO ULIKUWA MWANZO WA MWISHO WA OKELLO.