Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Jamaa walimtosa vibaya sana, nilisoma kitabu chake ndop maana hawa wanaosherekea leo nawaona wanafiki tuu

yaani tumejaa unafiki mpaka unakera. Kila kitu katika historia yetu kinaonekana kama hakiko sawasawa. Mbona juzi kati hapa tuliambiwa eti bila wazee sijui wangapi uhuru wa Tanganyika usingekuwepo halafu wameamua kumtosa huyo John Okello zenj? Kama karume hakupindua, hata tufanye nini, ukweli ni kuwa hakupindua. Imefika sehemu sasa tukubari ukweli ili mbele ya safari maisha yetu yawe wa uungwana na amani zaidi. Jasho la mtu haliliwi!!!
 
Historia haitamsahau huyu jamaa. Sio rahisi kuipindisha historia. Ni suala la muda tu. Hofu ni kuwa huenda akina Maalim, Jussa na wa aina hiyo wakiikamata Zanzibar Okello na wenzake wataitwa wahaini. Mchakato umeanza na SUK.
 
Historia haitamsahau huyu jamaa. Sio rahisi kuipindisha historia. Ni suala la muda tu. Hofu ni kuwa huenda akina Maalim, Jussa na wa aina hiyo wakiikamata Zanzibar Okello na wenzake wataitwa wahaini. Mchakato umeanza na SUK.

Nakuaminia. Kuna ukweli kwenye hilo, ila hakuna atakayeweza kuifuta historia! Not in our time!!!!
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu, na John Okello ni Mkristo ndiyo maana hawataki kumkumbuka! Waislamu wanaona aibu kuletewa ukombozi na mkristo!
 
Field Marshal John Gideon Okello was the leader of the Zanzibar Revolution, he was supposed to get respected by the zanzibar majority rather than Mzee Karume.

Okello was convinced he had orders in his dreams by God to break the powerful leadership of Arabs and to found the revolutionary state of Zanzibar and Pemba. On January 12 1964 Okello leaded his men and fought their way to Stone town, where the Sultan of Zanzibar lived and succeeded to overthrow the Arab domination in Zanzibar and Pemba.

Okello created a Revolutionary council and APPOINTED Abeid Aman Karume as the President, and Abdulrahman Babu as the Vice President. (these two were not informed by Okello of the coup, since they resided in Tanganyika until after the revolution, they returned to Zanzibar immediately after they were appointed to the new government by Okello.
 
Black Rose, achana na porojo za watu kama FaizaFoxy, hizi picha hata bila maneno zinajieleza. Huyo ndiye Field Marshall John Okello, kiongozi aliyeongoza mapinduzi yaliyomng'oa Sultani hapa Zanzibar. Watabana weeeeee ! lakini mwisho wa siku watamtambua tu !


Okello+Revolution+in+Zanzibar+-+small.jpg




okello_1.jpg




Okello.jpg




thumbnail.aspx





REVOLUTION+PIX.jpg



OKELLO+3.jpg



Okello+by+Mo+Amin.jpg


Asante Mag3,
Hiki ndicho kitabu nilichosoma na kuona hizo picha nikashangaa!
Hebu oneni picha hizo.Watabishaje kuhusu Role ya Okello.Wazanzibari hebu njooni mjadili.
 
Watching TBC1 yesterday and these old guards were, in an interview, trying their utmost to throw it aside ,every occasion the name Okello surfaced. In fact huyu babu mmoja went further to reducing John Okello to a mere spokesman who was tasked with announcing the revolution on state radio, just like others were tasked at the fore front. In his word, he said Okello was gifted with this big voice which merited him that kind of position in the way of "mgawanyo wa majukumu tu".
I said to myself....So all the fuss I thought I knew about Field Marshall John Okello was just a load of s**t:A S embarassed:??! I'm going back to my history books!
 
asante Black Rose...nimebaki kinywa wazi. Mbona picha zinaonyesha ndiye alikuwa kiongozi...ELIMU ni ukombozi...
 
Watching TBC1 yesterday and these old guards were, in an interview, trying their utmost to throw it aside ,every occasion the name Okello surfaced. In fact huyu babu mmoja went further to reducing John Okello to a mere spokesman who was tasked with announcing the revolution on state radio, just like others were tasked at the fore front. In his word, he said Okello was gifted with this big voice which merited him that kind of position in the way of "mgawanyo wa majukumu tu".
I said to myself....So all the fuss I thought I knew about Field Marshall John Okello was just a load of s**t:A S embarassed:??! I'm going back to my history books!

Kweli kila anayejikweza atashushwa! Tunajisahau sana sisi watanzania. Tunagombana na ukweli kila mara na matokeo ni yale yale kuishiwa kushindwa. Unafiki hautatusaidia hata siku moja. Kama ni John Okello au yeyote yule, historia lazima imuweke mahali pake.
 
Umma party cuban trained militants played major role in 64 revolution yet we have downplayed their noble contribution . History ya zanzibar imechakachuliwa sana tu,
 
Do you expect them to come to trems with the faqcts and give credits to a Kaffir from Uganda????
Never on earth.
 
Ipo makala katika Raia Mwema leo ambayo inasema Mapinduzi ya Unguja yalikuwa probably inevitable kwa vile ulipofanyika Uchaguzi ASP,ikiongozwa na Karume,ilishinda,lakini kwa vile Ushindi ulidaiwa siyo conclusive,Uchaguzi ukafanyika tena,na ASP ikiongozwa na Karume ikashinda tena,lakini mshindi wa pili,na mshindi wa tatu,wakaunda coalition Government na kuiweka kando ASP.
Kwa hiyo baadaye yakatokea Mapinduzi,ambayo Okello alisiriki, kwamba Okello alikuwa kiongozi wa tawi dogo la ASP Pemba,ambaye aliwafundisha militia waliofanya Mapinduzi.
Nilikuwa ninayo tape,niliyoipata katika ofisi ya Mwalimu,ambapo Thabit Kombo alikuwa anasimlia kuhusu haya mambo. Alikuwa shooting ilipoanza,kulikuwa na vizuizi vingi barabarani,na Karume alikuwa anataftwa sana na Waaarabu ili auawe. Na Thabit sugested to him,kwa nini wasiende Dar kujadiliano na Nyerere kuona atawashauri nini. Mzee Thabit anasema Karume aliuwa in state of frayed emotions, kwa ajili ya confusion wakati ule wa Revolutioni, it was difficult to suggest anything to him,yaani,he was risking death by making this suggestion. Lakini Karume aliafiki,kwa hiyo wakaenda Dar na jahazi,wakaongea na Nyerere,ambaye akawaambia warudi Zanzibar,akawaambia kwamba he will arm them to the teeth.
 
Ganesh,

..Okello naye alipinduliwa!!

..hata Egypt nako kuna malumbano kati ya Mohamed Naguib na Gamal Nasser.
 
Mbona hapo hakuna swali?!. Babu alikimbia zamani, Karume alitorokea bara!, shujaa ni yule aliyekuwepo, aliyeshiriki and he is none other than Okello!.
 
Jiulizeni kwanza, kwanini Okello hakushiriki na wala hajulikani kwenye harakati za kupigania Uhuru wa kwao Uganda? Ambao ulipatikana miaka michache kabla mapinduzi ya Zanzibar. Ukweli ni kuwa alienda Zanzibar kutafuta ajira ya kujikimu, mapinduzi yalipotokea, walimshirikisha ili kuwatisha waarabu waone kuwa kuna askari wa kigeni (mamluki) wengi wameingia Zanzibar, na kwa vile alikuwa na lafudhi ya kiganda, ndio sababu wakampa jukumu la kutangaza mapinduzi Redioni, na kweli waarabu waliamini kuwa wamevamiwa kwa msaada wa wapiganaji wa nje, hivyo wakatimka. Okello akapata kiburi akataka aendeshe mambo anavyotaka yeye, haikuwezekana, waliomkaribisha wakamlipa haki yake wakamuomba aondoke aende kwao au kokote anapotaka awaache wajitawale wenyewe. Tatizo liko wapi? Alichokosea ni baada ya kuondoka alisema uongo mwingi sana kujifanya yeye ndie aliyeongoza mapinduzi hayo, kwao anajulikana kwa utapeli, hakuweza kukaa, Kenya akajaribu kumtapeli Mzee Kenyatta akafungwa, alipotoka akajaribu kwenda Msumbiji kwenye vita vya ukombozi wakamkatalia, FRELIMO walimwambia akitia mguu msumbiji watamchinja, Nyerere akampiga marufuku asikanyage tena Tanganyika. Akatokomea Zambia, yasemekana huenda alifia huko. Wote waliokuwa nae, pamoja na kukiri kuwa ni mpiganaji mzuri mwenye ujasiri, lakini hakuwa muadilifu na mkweli, kitabu alichokiandika kujisifia kimejaa uongo na upotoshaji uliowaudhi waliopanga na kutekeleza mapinduzi hayo, kwani hata yeye alipangiwa nini cha kufanya. Laiti asingejikweza kupitukia, mpaka leo angekuwa anaheshimika sana Zanzibar miongoni mwa wanamapinduzi halisi.
 
Back
Top Bottom