hicho kitabu cha Masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha kwa kweli ni pumba tupu, kina faa kabisa kuchomwa moto hadharani.Niliwaonyesha watazamaji baadhi ya vitabu muhimu vya historia ya Zanzibar pamoja na kitabu, ''Masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha,'' kitabu ambacho nilisema mwandishi Minael- Hosanna O. Mdundo amepotosha mambo mengi.