TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,065
- 15,575
Wakati dunia inahamia kwenye cashless, kuna watu wanawaza kuongeza noti. Mimi nashauri serikali iache kabisa kuingiza noti na sarafu kwenye mzunguko na iondoe tozo watu walipe kwa mitandao kuanzia supermarket, madukani mpaka kwa mama ntilie iwe mwendo wa mpesa tu.