Mapendekezo: Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango ifute matumizi ya fedha za sarafu na itengeneze noti mpya ya shilingi elfu 20 na elfu 50

Rhz4567

JF-Expert Member
Mar 16, 2018
4,629
6,124
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
 
Mzunguko wa fedha mdogo sana ungekuwa mkubwa sana wangeprint

Lakini kwa sasa ninakushangaa wewe unaishi dunia ya wapi watu wenye pesa nyingi hawahifadhi nyumbani ni benki na miamala mingi huifanya kwa ki electronic hivyo kufanya washikaji pesa taslimu kupungua

Hizi sarafu zinahitajika sana kwa majority ya watanzania kulipa nauli za daladala,kununua mahitaji mitaani mfano magenge ya kuuza nyanya,vitunguu nk

Kununua maandazi,chapati nk
Pia kuna sekta imeingia ya kucheza kamari zinahitajika sana hizo sarafu
 
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
Noti ya efu 50 ni kitu gani utalipia....? Noti ya elfu 10 chenchi ni shida seuze ulete elfu 50??? UMESIMA HADI LEVEL GANI WEWE?
 
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
Mara paaap,unaidondosha noti yako ya hamsini
 
Unajua kwanini huwa pesa inabadilishwa na kuwa Sarafu ?

Ni kwamba inatumika sana na kutengeneza noti ya hio pesa itakuwa gharama za kubadilisha kila inapochakaa..., kwahio kila noti iliyokuwa inatumika ikabadilika kuwa sarafu jua kwamba pesa imeshuka thamani..., yaani ile pesa inatumika zaidi kuliko mwanzo..., tulikuwa na tshs 1 (sarafu) tshs 5 noti ila kutokana na kwamba tano inatumika sana ikawa safaru, ikaja 20, ikaja 50, ikaja 100, ikaja 200 ikaja 500 tutaelekea kwenye 1000...
 
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
New Money printing indicates high rate of inflation
 
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
yamepita masaa matatu natamani kununua Muhindi wa kuchoma nina elf 10 mfukoni kila nikitaka kwenda kununua nasita maana najua ntamsumbua mama wa watu kutafuta chenji
 
yamepita masaa matatu natamani kununua Muhindi wa kuchoma nina elf 10 mfukoni kila nikitaka kwenda kununua nasita maana najua ntamsumbua mama wa watu kutafuta chenji
Ishu ni kwamba fedha za sarafu zisitumike tena,yaani kuanzia shilingi mia tano ya note hadi elfu 50 sasa hapo utapata usumbufu upi wa kupata chenji
 
Mzunguko wa fedha mdogo sana ungekuwa mkubwa sana wangeprint

Lakini kwa sasa ninakushangaa wewe unaishi dunia ya wapi watu wenye pesa nyingi hawahifadhi nyumbani ni benki na miamala mingi huifanya kwa ki electronic hivyo kufanya washikaji pesa taslimu kupungua

Hizi sarafu zinahitajika sana kwa majority ya watanzania kulipa nauli za daladala,kununua mahitaji mitaani mfano magenge ya kuuza nyanya,vitunguu nk

Kununua maandazi,chapati nk
Pia kuna sekta imeingia ya kucheza kamari zinahitajika sana hizo sarafu
Comment Bora kabisa
 
Umeshawaza unanunua vocha ya 1,000 halafu mtu kakupa note ya 50,000? Sitaki hata kuwaza daladala konda kapewa 50,000 akate 400.
Sasa mia nne inaingiaje hapo mkuu?,fedha hizi za sarafu ndy zinasababisha uhaba na mzunguko mdogo wa fedha za note
 
Noti ya efu 50 ni kitu gani utalipia....? Noti ya elfu 10 chenchi ni shida seuze ulete elfu 50??? UMESIMA HADI LEVEL GANI WEWE?
Shida wp hizi sarafu ndy shida,fedha zikiwa kwa mfumo wa note hapatakuwa na usumbufu wa chenji kama ilivyo sasa
 
Back
Top Bottom