Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,629
- 6,124
Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa,
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.
Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya note hasa kwa wale wanaohifadhi fedha nyingi waweze kupunguza wingi wa note.