dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
Hawa mapadre mliwasifu walivyosema waumini waseme no kwa katiba pendekezwa
Mkuu jiongeze waliungwa mkono kwenye KATIBA cz CCM waligeuza issue ya TAIFA km mali yao huoni tofauti hapo
Hawa mapadre mliwasifu walivyosema waumini waseme no kwa katiba pendekezwa
magufuli ni mpango wa mungu,hakuna namna nyingine tanzania inahitaji mtu mwenye kaliba ya magufuli aka kagame wa tanzania
Mkuu@kelao usemalo nikweli Mimi naabudu KKKT kimara namuheshimu sana Mchungaji wangu bt nasikitika aneleta HISIA zake kwamba MAGUFULI atafaa hii naichukia sana Km unavyojua viongoz wa Imani wanaushawishi mkubwa kwa waumini wao Mbaya zaidi CCM wanapoendelea kuumiza hii NCHI wanakuwa kimya hii sisawa CCM kuwa madarakani hata aje MALAIKA kupitia chama hicho hakuna Jipya litakalofanyika
Nawewe ni RAIA wa NCHI hii kwa mawazo km haya kwanini UNGA wa SEMBE usiuzwe elf 1200 kwa kilo ikiwa Tunalima wenyewe hapa tanzania
najua angemsema slaa ua lowawa msinge pinga kelele,lakini ukweli utabaki kuwa ukweli hakuna wa kumfananisha nae katika vigezo vya urais magufuli
pili kufananisha mchakato uliompata magufuli na ule wa kikwete ni kuonyesha kuwa ndo umeaza kushabikia siasa jana,
Ulaaniwe wee ----.... huyo padre alaaniwe
Wewe mtoa mada ndo mchawi,kama kimetokea kwako nyumbani wewe na mkeo,munayaongea nae padre wenu mnamfuata mnamtonya Usirudie hivi na hivi. Hata wewe ukikosana na mkeo unaongea nae taratibu na mnapata suluhisho sasa wewe unamwaga mtama kwenye kuku na hatujui kama ni ukweli.Watu kama nyie msio na common sense ni hatari sana katika jamii.Heri kufungiwa jiwe na kutupwa baharini.
Kwani mabavicha yana akili? Zaidi ya viroba vichwa vyao vitupu sana.
Mkuu Mzito Kabwela, kanisome hapa Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John, angalia uzi huu ulipandishwa lini, na ubaini sababu ni kwa nini Magufuli!.Wazee wa Kurasini ni hatari. Ilibidi Eddo akatwe tu. Niliwahi kumwambia Pasco alinielewa kwa mbaaaaaaaaali
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" JohnKatika kile kinachoonyesha viongozi wa dini kuingilia mambo ya siasa, padre amesema ujio wa Magufuli ndio jembe haswa lililokuwa linasubiriwa.
Akaendelea kusema kuwa anawaomba radhi wapinzani safari hii waachane na urais wamwachie Magufuli aweke mambo sawa. kaendelea kusema, 'wapinzani tutawapa ubunge, lkn urais Magufuli anatosha'
kwasababu kamuona magufuli anafaa ,angemsema slaa ngeshangilia ,wanafiki nyie,
huyu padre ni miongoni mwa watu wachache ambao wanajua taifa hili linamtaka mtu wa aina gani kwasasa ,hapa sio siasa ni ubora wa mtu na maitajio ya aina ya rais anayetakiwa ,asante mtumishi,
Inasemekana rais mkristo atatoka katoliki tu. Na rais muislamu atatoka ------------tu hivyo basi huyu ajaye ni rais wa katoliki ingawa katoliki ilimtaka Pinda sasa inabidi wamsapoti huyu. EL dhehebu pia limemponza tz ni katoliki na shia. Mi mkatoliki wa kufa na kuzikana ila huyu padri anapaswa kuvuliwa joho mambo ya udini sifagiliii issue inaishia kwenye ukawa vs ccm
Halafu waislam wakilalamika kuna udini si watakuwa wamesema ukweli.
kama ni kweli, padri kanikwaza sana. Kala maharage ya wapi huyu!
Mkuu kinachofanyika sio issue ya uDINI ni uCCM cz hawa viongozi wa hizi IMANI wanaamini wakiwapigia Debe wakichaguliwa watakuwa wanawakumbuka Kwani Kikwete alieitwa Chaguo la MUNGU Methodius Kilaini kwani. kikwete alikuwa Mkristo acheni kuwaza namna hiyo
Inasemekana rais mkristo atatoka katoliki tu. Na rais muislamu atatoka ------------tu hivyo basi huyu ajaye ni rais wa katoliki ingawa katoliki ilimtaka Pinda sasa inabidi wamsapoti huyu. EL dhehebu pia limemponza tz ni katoliki na shia. Mi mkatoliki wa kufa na kuzikana ila huyu padri anapaswa kuvuliwa joho mambo ya udini sifagiliii issue inaishia kwenye ukawa vs ccm