Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Padri Mapunda ndio Msemakweli
Wazee wa Kurasini ni hatari. Ilibidi Eddo akatwe tu. Niliwahi kumwambia Pasco alinielewa kwa mbaaaaaaaaaliInasemekana rais mkristo atatoka katoliki tu. Na rais muislamu atatoka ------------tu hivyo basi huyu ajaye ni rais wa katoliki ingawa katoliki ilimtaka Pinda sasa inabidi wamsapoti huyu. EL dhehebu pia limemponza tz ni katoliki na shia.
Unajua mwisho wa siku ktk jamii za kiafrika hatutajua nani ana akili timamu kama Padre anayesemekana ni msomi ingawa mm huwa sina uhakika sana maana nijuavyo mm ELIMU ya mtu yeyote yule hupimwa kwa mawazo na matendo yake kama watu wanasema huyu mtu ni msomi halafu yeye anaongea ujinga na upumbavu waziwazi bila haya wala soni huyo moja kwa moja si msomi na lengo lake ni kutuangamiza ss waamini,kimsingi wenye kufanya shughuli za kiuchumi ni ss na wao mapadre na maaskofu wanasubiri pesa za maangaiko yetu.Ni wakati muafaka kwa waamini kujiongeza na kutokuwaamini mapadri na maaskofu kupindukia tukumbuke tukiwaachia wao kufikiri kwa ajili yetu mwisho wa siku wenye kuambulia mateso ni ss.Mapadri ni binadamu kama ss wanazaliwa kwetu na jukumu la kumjua MUNGU na kumtumikia ni letu sote.Tuamke watanzania wa kabila na dini zote na tukumbuke historia ni mwalimu mzuri,Kikwete tulimshangilia na kumwita chaguo la MUNGU na kumkaribisha Madhabahuni leo hii kila MTU analia kwa maisha magumu,udini,kukithiri kwa ufisadi na utoshaji wa nyara za nchi huku mtu aliyeitwa chaguo la MUNGU na haohao mapadri na maaskofu akilinda uozo kwa gharama zote.Inawezekanaje Leo hii watu walewale waendelee kutuchagulia viongozi nadhani sasa tusemi imetosha na waache kila mwananchi achague alicho ona bila kupotoshwa na MTU awaye yote.Ninawasihi waamini kumwomba MUNGU na kuachana na ujinga wa kuchaguliwa viongozi na baadhi ya watu wasio na Roho Mtakatifu na kuishia kutudanganya.Huu ni mwaka wa kuachana na MAZOEA MABAYA ktk kuchagua viongozi ili tusonge mbele kimaendeleo na tukileta utani na mizaha tutabaki maskini pamoja na kuwa na rasilimali nyingi ktk Afrika.
Katika kile kinachoonyesha viongozi wa dini kuingilia mambo ya siasa, padre Mbano akihubiri ktk Ibada ya leo j2 kwenye Kanisa kuu Katoliki Songea Mjini amesema ujio wa Magufuli ndio jembe haswa lililokuwa linasubiriwa, akaendelea kusema kuwa anawaomba radhi wapinzani safari hii waachane na urais wamwachie Magufuli aweke mambo sawa. kaendelea kusema, 'wapinzani tutawapa ubunge, lkn urais Magufuli anatosha' hapa kulikuwa na minong'ono kanisani. Najiuliza ni mapadre hawa hawa na maaskofu mwaka 2005 walisema JK ni chaguo la Mungu lkn sote ni mashahidi wa kilichotokea. Kwa nini wasiwaachie wananchi waamue wenyewe? Kwa ushawishi walio nao mapadre kwa waumini wao wapinzani wasipokemea haya basi wasahau urais 2015. pia hawa mapadre wana elimu kubwa sana lkn wanashindwa kutambua kuwa wale waumini wanaowahubiria kuwa ni wafuasi wa vyama mbali mbali..
Acha ujinga,wenye akili na busara wanatambua wapi nchi yetu inatakiwa kukaa.magufuli is the spesho one.viongozi w dini ni binadamu kama sisi na mambo ya kiroho kila MTU a a yake.nakuhakikishia hakuna kiongozi wa dini kwenye kujali utu na maslahi ya taifa anaweza kumkataa magufuli.viva john pombe magufuli.tuache ushabiki wa kijinga.upinzani haujajipanga kuchukua nchi na kama wakimchukua lowasa nakwambia tunarudi chama kimoja ccm.watanzania si wale,sasa wanajua mbivu na mbichi.tusubiri tume ya uchaguzi itangaze siku ya kampeni.
Tatizo la mapdre hawa ni wao kujiona wamesoma na wanajua zaidi kuliko sisi waamini wao!! Hili ndilo kosa kubwa wanalofanya. Humo kanisani kuna watu wengi tu tena sana wanaowazidi Elimu na uelewa, kinachotupeleka pale ni kutimiza imani yetu lakini si kutulisha mambo ambayo hayakutupeleka pale, kama wanataka kuzungumza siasa wasubiri mikutano ya hadhara nao watoe yao ya moyoni na kanisani au msikitini ambako kila mtu ana chama chake. Wakiendekeza mambo haya kuelekea uchaguzi mkuu sadaka zitapungua sana na mahudhurio pia.sio wote wapo wengine kama huyu padre wenye jicho la pekee na kutusaidia sisi tunaoendekeza miemuko ya siasa chafu na kupoteza weredi wa kujua kiongozi bora,
Kumkomesha padre kama huyo kama atatoa mahubiri kama hayo msuse kutoa sadaka ndo atajua mmekasirika, hatarudia tena.
ama kweli kipofu hawezi kumwongoza kipofu mwenzake wote watatumbukia shimoni,
haya maneno Naona sasa yanachukua nafasi hasa kwa viongozi wa dini wakati mwingine wazuie midomo yao wawapo mimbarini,
wakati mwingine najiuliza hivi tumelogwa na nani?
Maana ni wepesi wa kusahau kwa kudanganywa na tunakubali kudanganyika,
ccm hata haje malaika kwa mfumo ulivyo hawezi fanya chochote, tatizo siyo mtu tatizo ni mfumo,
hawa watumishi wajitathimini sana,wapo walio sema mh kikwete ni chaguo la MUNGU leo wamekula kona,
mapadre hawapswi kujifanya wanauwezo wa kichagulia watu viongozi
Wewe unafikiri wote tuko pamoja na wewe??? Sadaka tutatoa wewe ni nani? wakutuzuia tusitoe sadaka?? Amesema maoni yake kama binadamu ni juu yako kufuata au kutofuata!! Mbona mahibiri mengine waumini pia huwa hawafuati kama vile watu wanaambiwa wasizini au kuiba lakini wakitoka tu Kanisani wanaendelea na makosa yaleyale tuuu!!!! Acheni siasa ukwara hapa??!!! Magufuli ndo raisi wa TZ.
Mie ni mkatoliki tena mseminari lakini niseme tu kuwa Padri huyo ni mpu.mbavu kama alivyokuwa Kilaini mwaka 2005.
Kwani mabavicha yana akili? Zaidi ya viroba vichwa vyao vitupu sana.