.... huyo padre alaaniwe
evn i....mm ni mkatoliki lakin kwa hili hapana.
hii habari imekaa kimbea mbea.maana kichwa kinasema MAPADRE.lkn ukisoma ndani utakuta ni mahubiri ya PADRE mmoja ya siku moja.mi nnadhani ungesema padre asema au aamua kumpigia magufuli uraisi na wapinzani ubunge.
Kila mtu ana haki na uhuru wa kutoa maoni yake-hayo ni maoni ya Padre Mbando amesema Magufuli anatosha Urais 2015-2025.
Na wewe kama una maoni yako useme hadhalani,usisubiri kupinga maoni ya mtu mwingine
anafaa kwake yy...km anataka siasa apande majukwaani na c madhabahuni..embu fikiri kila kanisa ingemnadi mgombea wake hali ya nch itakuwaje?
Inasemekana rais mkristo atatoka katoliki tu. Na rais muislamu atatoka ------------tu hivyo basi huyu ajaye ni rais wa katoliki ingawa katoliki ilimtaka Pinda sasa inabidi wamsapoti huyu. EL dhehebu pia limemponza tz ni katoliki na shia. Mi mkatoliki wa kufa na kuzikana ila huyu padri anapaswa kuvuliwa joho mambo ya udini sifagiliii issue inaishia kwenye ukawa vs ccm
Huo ndo muongozo kwahiyo usitegemee Kama pengo atakanusha kuwa so msimamo wa kanisa
Tangu Mapadre na maaskofu walipoonekana kwenye wapokea fedha za wizi za ESROW na benk yao ndo ikahusika ,siwaamini tena na ndo malipo yao sasa wanatumikia.
Wezi hupigia debe wezi wenzao. Bila hata woga wanatumia taasisi ya dini kama kitega uchumi chao dhidi ya waumini wao. Sidhani kama waumini wao ni mataahira kiasi hicho kushindwa kuona usanii wa mapadre matapeli hawa.
Kwani Pengo si ndie alieanza kumkata lowasa ili kutengeneza njia kwa rais mkatoliki. Hata Nyerere alipomkata lowasa ni kwa maelekezo hayohayo kutoka kanisa katoliki ili achaguliwe mkatoliki. Hawa jamaa wako tayari kuleta mauaji ya kimbari kwa jina la bwana kama yaliyotokea Rwanda na Burundi. Mungu atunusuru tuvuke salama kwenye kipindi hiki cha uchaguzi kwani dalili zinajionyesha kwamba mauaji ya kimbari yanainyemelea Tanzania kwa msukumo wa kanisa katoliki.