Mapadre waanza rasmi kumpigia Magufuli kampeni

Mapadre waanza rasmi kumpigia Magufuli kampeni

Kwani Pengo si ndie alieanza kumkata lowasa ili kutengeneza njia kwa rais mkatoliki. Hata Nyerere alipomkata lowasa ni kwa maelekezo hayohayo kutoka kanisa katoliki ili achaguliwe mkatoliki. Hawa jamaa wako tayari kuleta mauaji ya kimbari kwa jina la bwana kama yaliyotokea Rwanda na Burundi. Mungu atunusuru tuvuke salama kwenye kipindi hiki cha uchaguzi kwani dalili zinajionyesha kwamba mauaji ya kimbari yanainyemelea Tanzania kwa msukumo wa kanisa katoliki.

Usizungumzie hisia zako mbele ya watu kwenye uwezo wa kufikiria, tushawishi kwa facts wapi Pengo alianza kumkata Lowassa, je Pen go ana accsess ya kamati ya maadili? Je Pengo ana ushawishi kwa sheikh Kikwete mwenyekiti wa CCM? otherwise naona unapoteza hadhi ya jukwaa
 
Hiyo inajulikana toka anaingia ndio maana utakumbuka sister mmoja mkatoliki alimvisha taji na kanisa lilimpigia debe na hakuna mkatoliki aliyejitokeza kwa nia hasa ya kutaka urais. alikuwapo mwandosya morovian salim na kina kigoda.Inajulikana ni agano kuu

Walikuwepo akina sheikh Karume pia? na bado hujanijibu Kikwete naye anapokea maagizo kutoka kanisa Katoliki? Si mkapa tu influence kubwa walikuwa moyo Mwanyekiti ambaye muislamu.

Katika madhehebu ya kikristu katoliki Lina amini wengi kulinganisha na mingine,pia wamewekeza sana Katika elimu toka zamani,kama itatokea mgombea ni mkatoliki ni coincidence tu,bado naona ni uzushi tu
 
Walikuwepo akina sheikh Karume pia? na bado hujanijibu Kikwete naye anapokea maagizo kutoka kanisa Katoliki? Si mkapa tu influence kubwa walikuwa moyo Mwanyekiti ambaye muislamu.

Katika madhehebu ya kikristu katoliki Lina amini wengi kulinganisha na mingine,pia wamewekeza sana Katika elimu toka zamani,kama itatokea mgombea ni mkatoliki ni coincidence tu,bado naona ni uzushi tu

Ikiwa zamu ya wakristo basi raisi aliyepo hata kama mwisilamu atasaidia apatikane mkatoliki vivyohivyo kama ni zamu ya waislamu basi raisi aliyepo atawasaidia washia hata kama ni mkristo-ni mfumo ,ni agano
 
Kwahiyo unakubali kwamba Padre kusema kuwa Magufuli anafaa kuwa rais hakukosea? Na kama unaongelea imani, Imani ni object hata biblia inasema imani ni UHAKIKA wa mambo yatarajiwayo, sasa tafuta kosa la Padre kuusema uhakika (imani) wake mbele ya waamini.

Kutenganisha Dini na siasa ni vugumu sana na haitawezekana maana vyote vinamhusu binadamu huyu ambaye pia kwa asili anaviishi vyote. Kilichofanyika ni kuweka utaratibu kwamba dini na siasa vifanywe katika taratibu tofauti. Lakini ukitafuta maana ya DINI utakuta pia siasa imo. Kwahiyo ndugu yangu padre anaposema kesho (jumatatu) mkajiandishe kwenye BVR anatimiza wajibu wa na matakwa ya dini. Wabbilah tawfiq
Padre alifanya kosa kubwa (hasa kwa kuwa yeye anafahamu mipaka ya dini). Kutenganisha dini na siasa kwa mtazamo wa kikatoliki ni kitu kilichowezekana. Zamani siasa na dini ilikuwa kitu kimoja ndio maana wakati wa holy roman empire wafalme wote walikuwa chini ya Papa huko ulaya. Papa alikuwa na nguvu za kisiasa na ndio maana wafaransa na wajerumani kwa nyakati tofauti walionesha kujisikia wako chini ya Italia (refer: Papa Felix na baadae sana Padre martin Luther). Mtaguso wa kwanza wa Vatican ulitenganisha siasa na dini na ktk hili ningeweza kutoa maelezo ya kutosha na marefu lakini muda hautoshi ila unaweza kujikumbusha mgogoro wa Gwajima na Pengo. Gwajima hajuichochote kuhusu misingi ya ukatoliki na hasa kuhusu kutenganisha siasa na dini. Pengo ni nguli ktk hilo na alijua tofauti ya kutoa elimu ktk siasa na siasa yenyewe. Kanisa katoliki linaweza kutoa elimu kuhusu siasa na umuhimu wake ktk jamii lakini haliwezi kujiingiza ktk siasa kwa sasa maana linajua madhara yake. Ktk waraka ule wa maaskofu akiwemo Gwajima ulivuka mipaka pale uliposema utawahamasisha waumini wapige kura ya hapana na hapo ndipo Pengo alipokataa, alisema watu wanatakiwa waeleweshwe umuhimu na udhaifu wa rasimu ya katiba halafu wataamua wao wachague kipi. Hoja hii ya Pengo hakuitoa kienyeji ilitokana na msingi wa imani yake na kwa msingi huo huo Padre huyo wa songea alikosea sana kuamua kuwachagulia kiongozi waumini aliokuwa anawahubiria. Na tatizo la viongozi wa dini ovyo kama Padre huyo na Gwajima linaweza kusababisha matatizo makubwa mno ktk jamii kuliko watz wengi tunavyofikiria. Kuna faida ya CCM kupoteza ushawishi na Upinzani kupata nguvu lakini watu wa pembeni kama viongozi wa dini hawatakiwi kuishi kwa mazoea wakati siasa za TZ zinabadilika, maana matamko kama hayo yawezekana hayakuwa na madhara huko nyuma kwasababu CCM ilikuwa ina nguvu sana na Upinzani ulikuwa dhaifu sana, lakini hilo haliwezi kuwa kweli kila wakati hata pale mazingira ya kisiasa yanapobadilika.
 
Just for curiosity. imagine kama angesema kwamba CCM waachane na Urais, urais ni Dr. Slaa. Dr. Slaa anatosha. Hivi reaction ingekuwa je?

Maana huyo Padre kasem,a hivyo akija Padre mwingine naye akasema vivyo hivyo ila kwenye jina la Magufuri akali replace na Jina la Dr. Slaa isije ikawa NONGWA.
 
sio udini ccm inapanga hivyo, baada ya miaka 10 atakuja muislam na lazima awe shia yaani BAKWATA na wakatoliki hawatagombea maana wanajua hilo-JKhakupata upinzani kutoka katoliki ni kina mwandosia monrovian muslims wenzie
Naona unaongea kwa hisia zaidi, ndio maana unaweza hata taarifa ambazo sio kweli. Mwandosya sio Moravian ni Mlutheran (KKKT) huwa anaalikwa tu ktk shughuli za Moravian.
 
Maparoko kama hawa wasijifanye wao ndo wanajua zaidi,kama wamechoka kuhubiri habari za Mungu basi waamue moja kumtumikia Kaisari
 
Katika kile kinachoonyesha viongozi wa dini kuingilia mambo ya siasa, padre Mbano akihubiri ktk Ibada ya leo j2 kwenye Kanisa kuu Katoliki Songea Mjini amesema ujio wa Magufuli ndio jembe haswa lililokuwa linasubiriwa.

Akaendelea kusema kuwa anawaomba radhi wapinzani safari hii waachane na urais wamwachie Magufuli aweke mambo sawa. kaendelea kusema, 'wapinzani tutawapa ubunge, lkn urais Magufuli anatosha' hapa kulikuwa na minong'ono kanisani. Najiuliza ni mapadre hawa hawa na maaskofu mwaka 2005 walisema JK ni chaguo la Mungu lkn sote ni mashahidi wa kilichotokea. Kwa nini wasiwaachie wananchi waamue wenyewe?

Kwa ushawishi walio nao mapadre kwa waumini wao wapinzani wasipokemea haya basi wasahau urais 2015. Pia hawa mapadre wana elimu kubwa sana lkn wanashindwa kutambua kuwa wale waumini wanaowahubiria kuwa ni wafuasi wa vyama mbali mbali..








 
Last edited by a moderator:


Watu wanaochafua Taifa namna hii na wanaachiwa sielewi maana yake. kweli tupambane na ujinga, ni adui mkubwa.kama mtu unaeleza ujinga hivi na watu wanakusikiliza. kipofu anamwongoza kipofu mwenzake. Kazi kweli.
 
Last edited by a moderator:
Huu ni mpango kutoka Vatican kuhakikisha ni mkristo mkatoliki tu anayetawala Tanzania kama sio muislamu. Alianza Pengo kumuengua lowasa kwa kudai kwamba tusimchague mtu tajiri kwenda ikulu. Sasa mapadre wakatoliki wanaendeleza sera ileile kwa kumpigia debe magufuli kwa sababu tu ni mkatoliki bila kuangalia athari ambazo taifa letu litazipata kama CCM ikiendelea kuwepo madarakani. Mungu atunusuru kwani hawa jamaa wako tayari kumwaga damu ili kukidhi matakwa yao ya kidunia kama yaliyotokea Rwanda na Burundi walipoingilia kati mchakato wa kisiasa na kusababisha mauaji ya kimbari.

ukileta mambo ya udini ni kuwa na akili fupi,hili ni tatizo la watu waliopata utapiamlo wakati wa utoto.
 
watu wanaochafua taifa namna hii na wanaachiwa sielewi maana yake. Kweli tupambane na ujinga, ni adui mkubwa.kama mtu unaeleza ujinga hivi na watu wanakusikiliza. Kipofu anamwongoza kipofu mwenzake. Kazi kweli.

hivi hicho kitabu kaandika yeye ??? Msikilize vizuri anaongea nini , au kwa sababu anawaanika ndio unaleta mambo ya taifa ???


ENDELEA KUMSIKILIZA


 
Last edited by a moderator:
hivi hicho kitabu kaandika yeye ??? Msikilize vizuri anaongea nini , au kwa sababu anawaanika ndio unaleta mambo ya taifa ???


ENDELEA KUMSIKILIZA




Kweli ukiwa na unformed mind with a lot of un fabricated reasons mm kazi kweli. Sasa mzee kitabu hata wewe unaweza kuandika ili kuwaaminisha watu hivyo wakati ni totally different from reality. Tunaitaji watanzania wenzangu kupambana na ujinga kwanza na tutaishi na amani. Ecco that's why other people nowadays they cling to prudence as much as possible hence the fact that can let together the development and not only the unique individual other wise unique can be the hinderness to welfare of the whole citizens.take care.
 
Last edited by a moderator:
Dr mbano mwalimu wangu wa philosophy daima nilikuamin nikadhan haya makandokando huna
Dah umenisikitisha
Msameheni bure
Nitamwambia nitakapomuona
Ana mahubir mazur hiyo lakn kachemka
 
Back
Top Bottom