mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,714
Diwani wa ccm mbagala mwenyekiti wa timu ya omba ombaManji huyu huyu wa chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Diwani wa ccm mbagala mwenyekiti wa timu ya omba ombaManji huyu huyu wa chadema?
kamweneHalafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Na Rais wa Jmt..Spika alipewa ruhusa na nani?
Pole mtani hilo kwa leo tosha hongera kwa kufuzuNiongezee lingine tafadhali. Ila kama Yeye alivyotutesa katika iliyokuwa Awamu ya Mtu alliyekuwa akimpa Kiburi na Jeuri sasa Awam
Huyo Ni Binti wa Alhaj Hanzurun Mungula
Matajiri wa mwanzo mwanzo Mjini Baada ya kuzikwa Azimio la Arusha
Hanzurun Mungula aliwahi Kuwa Diwani wa Mwanayamala Bwawani Na Naibu Meya wa Jiji waKati wa Cleyst Sykes
Huyu Binti kasomea Nchini Uingereza
hivi kumbe ndio alikuwa diwani Wa chadema nilisahau iseeManji huyu huyu wa chadema?
kwani wewe manji
DuhHalafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Naona uwezo wa kufikiri ni mdogo sana .Sio kila mahali ni kutumia sheria, kuna mahali busara inatakiwa itumike ,kama hii issue ya Nasari, sio mihemuko Kama wewe ulivyo sasa hivi!So Jackal umeona nimechangia ki CCM sana eti? Umewahi kuajiriwa au umejiajiri? Wafanyakazi wako unaweza kukubaliana nao tu wawe wanakaa makwao bila ruhusa yako? Au mahali unapofanyia kazi (kama umeajiriwa) unaweza kukaa tu home bila ruhusa?
Tumia akili, kuwa na MAHABA na CHADEMA siyo lazima uwe MPUMBAVU. Huyu mnayemtetea ameonesha dharau kubwa sana kwa waliomchagua, alipata ubunge kwa neema sana leo analeta sababu nyepesi kwenye jambo zito.
Amefukuzwa na CHADEMA mmepoteza jimbo tayari, na mimi nasema;
"HUYU ALIFIKA BEI, MBINU ALIYOTUMIA NI WELL PLANNED..."
Endeleeni kupoteza muda kumtetea wakati yeye anawachora tu.
Mimi sipo CCM wala CHADEMA ila huwa sipendi UJINGA.
Manji huyu huyu wa chadema?
Kutambiana kote walikokuwa wanatambiana na Mengi kumbe ni madeni matupu yamewatawala.