GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,449
- 127,624
Kumbe ww chizi sikujua
Niongezee lingine tafadhali. Ila kama Yeye alivyotutesa katika iliyokuwa Awamu ya Mtu alliyekuwa akimpa Kiburi na Jeuri sasa Awamu hii isiyotaka Ujinga na Upumbavu inamnyoosha na Mimi naiomba izidi tu Kumnyoosha hadi ahame na nchi kabisa aende Kenya au akaishi kabisa kwa Dada yake huko nchini Canada. Hasira zangu zote kwa Yanga SC nimezihamishia Kwake.