Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Ukikopa lazima ulipe deni lako, sasa wanaoingiza siasa wanapotosha ukweli tu...
 
Nasimamia katika ile dhana ya innocence until proven guilty.Katika utawala bora ilitakiwa ajieleze kwanza kwa nini Bunge lisichukue hatua kabla ya kumfukuza...Je kama ana ushahdi kuwa hajakosa mikutano mitatu au kama ana sababu za msingi za kukosa kuhudhuria vikao huoni kama bunge litakuwa limekurupuka kumfukuza?

Napenda tusimamie kanuni na sheria ila haki ionekane kutendeka.

HAKI GANI WATU WANAITAKA ZAIDI? NASSAR NI MSOMI NA MWELEWA SANA/ ANAJUA TAARIBU ZOTE. HATUA ILIYOCHUKULIWA NA SPIKA NI NDO HAKI YENYEWE YA WANANCHI WA ARUMERU. WANANCHI WA ARUMERU WANA HAKI ZAIDI YA KUWAKILISHWA MATATIZO YAO BUNGENI KULIKO HAKI YA MTU MOJA (NASSARI).
 
Busara wakati wa vita ni kupigana vita.
Nimeipanda busara hii na kuelewa kinagaubaga. Ukweli ni kwamba X-MP kauaibisha upinzani, wasomi na viongozi vijana. Anataka ithibitike kweli waTz ni wavivu na janjajanja kumbe ni yeye tu. Si busara kujiruhusu baadae ukatoa taarifa hata kama boss wako unamdharau! Watumishi wa namna hii ni mizigo, heri spika kautua.
 
Halafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.


2005-2015 Ikulu ilikuwa Kama Mgahawa wa Chai wa wana Jangwani

Sasa hivi Ni zamu yetu wana Msimbazi

Watuvumilie Basi
 
Halafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Umemaliza upuuzi wako ulioko kichwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mfanyabiashara mkubwa mwenye kampuni zaidi ya 200 ndani na nje ya nchi TSH 26 ni kiwango cha kawaida sana kudaiwa tatizo lipo jambo lingine nyuma ya pazia ndio linalomuweka uchi zama hizi
Hivi hii benki ya NBC ya Tanzania ina uwezo wa kumkopesha mtu mmoja tsh bilioni 25? Mbona ni kama pesa nyingi au kuna kitu sijaelewa?
 
Hilo ndilo kosa alilolifanya Manji. Kuwekeza kwenye biashara ambazo michakato yake inapitia kwenye tenda. Anahonga bilioni anapata faida ya bilioni. So anakuwa kawafanyia kazi wengine. Wajanja kina Mo na Bakhresa waliwekeza kwenye biashara za retail.wanafanya clean business wanapiga pesa...
Nakubaliana na naunga mkono mkuu.

Na utajiri wake unaonyesha bila kufanya lobbying fulani fulani ngumu ku win. Kwaiyo alikamata watu(vigogo) fulani akawa anajipigia madili kadri anayotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutambiana kote walikokuwa wanatambiana na Mengi kumbe ni madeni matupu yamewatawala.
Hakuna mfanya biashara yeyote yule aliyefanikiwa bila kutumia mikopo vinginevyo utakuwa hutumii akili kubeza mikopo

In God we trust
 
Back
Top Bottom