busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,711
- 2,579
Busara ni pamoja na kunukuu miongozo iliyompa uhalali Mh. Spika kufanya maamuzi. Kweli kwamba CHADEMA mnadharaulika sometimes kwa kuwa critics kwa mambo yenye hoja za msingi.Naona uwezo wa kufikiri ni mdogo sana .Sio kila mahali ni kutumia sheria, kuna mahali busara inatakiwa itumike ,kama hii issue ya Nasari, sio mihemuko Kama wewe ulivyo sasa hivi!
Nasimamia katika ile dhana ya innocence until proven guilty.Katika utawala bora ilitakiwa ajieleze kwanza kwa nini Bunge lisichukue hatua kabla ya kumfukuza...Je kama ana ushahdi kuwa hajakosa mikutano mitatu au kama ana sababu za msingi za kukosa kuhudhuria vikao huoni kama bunge litakuwa limekurupuka kumfukuza?Mtoro Bungeni anatakiwa aitwe au Yeye ndiyo afanye Juhudi zake Kujipeleka mbele ya Pilato Bunge?
ccm kwa ccm wananyoshana, wacha wafu wazikane.Mahakama Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC. Manji anadaiwa zaidi ya shilingi bilioni 25 ambazo ameshindwa kuzirejesha kwa wakati kwa mujibu wa mkataba
View attachment 1048101
Daaaa manji ameenda magogoni lini na toka lini akawa mmiliki wa channel tenHuyo huyo aliyewazawadia ccm Chanel ten alivyoenda magogoni
Na dili za magumashi umesahau,Manji hana tofauti sana na joka la makengeza kwenye ku mastermind madili madili.Pole sana Manji... Manji ni moja ya Watanzania ambao walijitahidi kutoa ajira, na wananchi wengi walionja pesa yake, enzi za ufalme wake... Ila ndo ivo tena. Maisha ni kupanda na kushuka...
Ajitahidi tu kuwa mbunifu aweze kuimaliza hiyo mikopo chefuchefu, maisha yaendelee...
Hapa nakubaliana na wewe kwa asilimia miaHalafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Tatizo lako la ushoga umeanza toka ukiwa mdogo kwahiyo halitibiki endelea nalo tuHalafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Halafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Hilo ndilo kosa alilolifanya Manji. Kuwekeza kwenye biashara ambazo michakato yake inapitia kwenye tenda. Anahonga bilioni anapata faida ya bilioni. So anakuwa kawafanyia kazi wengine. Wajanja kina Mo na Bakhresa waliwekeza kwenye biashara za retail.wanafanya clean business wanapiga pesa...Na dili za magumashi umesahau,Manji hana tofauti sana na joka la makengeza kwenye ku mastermind madili madili.
Kila magumashi wapo hao watu,kwa maelezo yako ya ajira anakuibia buku halafu anakudanganya kwa peremende ya tshs 50,utasema anakupenda mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Madeni ya NBC yana uhusiano na Serikali?
Walianza kumnyang'anya channel 10 bado hawakitosheka. Lile litimu litaendelea kutembeza bakuli mpk lishuke darajaKumbe ndiyo maana kila alipokuwa akitaka kurudi Jangwani kuendeleza mradi wa ufugaji Vyura alikuwa anakataliwa. Walijua kuwa bado hawajamalizana naye!!
Sidhani kama kafilisika. Inawezekana kapiga hesabu na kaona bora dhamana ichukuliwe kuliko kurejesha mkopo. Biashara ni ujanja tu. Anaweza akawa ameinvest hizo hela kwingine kunakolipa zaidi kuliko mortgage aliyoweka. Bora uachie mortgage waichukue na wewe unabaki na fedha unafanya biashara. Kumbuka ndiyo manji huyu huyu kulikuwa na tetesi kuwa kafilisika. Huyu anacheza na akili za watu. Subirini tutakuja kuona baadaye.Halafu bado alikuwa anajifanya Kuitaka Yanga SC wakati kumbe ni ' Tapeli ' Mtupu. Hakuna Mhindi aliyetutesa, aliyetudhalilisha na kutudharau wana Simba SC kama huyu ila sasa tunafurahi kuona ' anavyonyooshwa ' na naomba Mamlaka husika wazidi tu ' Kumyoosha ' kwani amesababisha mabaya mengi ya Kiuchumi hapa nchini Tanzania. Asante sana Mahakama Kuu ya Tanzania na ' mkazieni ' hivyo hivyo na ' Hasira ' zangu Kwake zimezidi zaidi baada ya ' Wafuasi ' wake wana Yanga SC juzi pale kwa ' Mkapa ' zamani ' Shamba la Bibi ' ambapo walishangilia kupita maelezo goli la Kwanza la AS Vita Club huku wakiwa wanatudhihaki kwa kila namna. Hakuna Kumuonea Huruma / Imani huyu Gabachori / Panjuani.
Mambo mengine muwe mnakaa kimya kama hamjui kinachoendelea. Unajua kuna watu walipewa mali za Umma bure leo hii unasema wanafanya "Clean Business"!?.wanafanya clean business wanapiga pesa...
no, ni yule diwani wa CCM!Manji huyu huyu wa chadema?
Utaishi maisha marefu sana maana unaona mambo katika angle tofauti sio kila mtu awaze B 25 ambayo haitusaidii